Mke wa mpangaji mwenzangu

Mke wa mpangaji mwenzangu

Mimi ni kijana ambae sijaoa na nimepanga chumba ambapo hapo napoishi anakaa jamaa fluani mwenye mke na mtoto mmoja.

Mimi na jamaa wote tunashinda kwenye mishe zetu bt inatokeaga muda mwingne mchana naenda nyumbani coz ni karibu na kazini kwangu.

Kimbembe kinakuja pale napokua natoka zangu ndani kwangu aidha naingia uani au bafuni kuoga sababu jamaa chumba chake kiko karibu na choo*bafu na kina dirisha upande huo unakuta shemeji huyo(mkewe jamaa)amelala ndani kwake amevaa chupi tu halafu kapandisha pazia kila kitu wazi wazi hivyo basi nashindwa kumuelewa jirani huyo anamaana gani.

Ukizingatia hapo nyuma huyo mkewe jamaa alikua akiniwekea mitego ya kukaa vibaya nikamwambia akapunguza bt saivi simuelewi kabisa.

Ananizingua ukizingatia mimi bado bachelor na nawaheshimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app


Mtafune
 
huitaji kuwa na masterz au degree kujua hii ni chai kwa akili ya kawaida tu


nawasilisha
 
Mimi ni kijana ambae sijaoa na nimepanga chumba ambapo hapo napoishi anakaa jamaa fluani mwenye mke na mtoto mmoja.

Mimi na jamaa wote tunashinda kwenye mishe zetu bt inatokeaga muda mwingne mchana naenda nyumbani coz ni karibu na kazini kwangu.

Kimbembe kinakuja pale napokua natoka zangu ndani kwangu aidha naingia uani au bafuni kuoga sababu jamaa chumba chake kiko karibu na choo*bafu na kina dirisha upande huo unakuta shemeji huyo(mkewe jamaa)amelala ndani kwake amevaa chupi tu halafu kapandisha pazia kila kitu wazi wazi hivyo basi nashindwa kumuelewa jirani huyo anamaana gani.

Ukizingatia hapo nyuma huyo mkewe jamaa alikua akiniwekea mitego ya kukaa vibaya nikamwambia akapunguza bt saivi simuelewi kabisa.

Ananizingua ukizingatia mimi bado bachelor na nawaheshimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengne wajinga Sana, mtu kalala ndani kwake unasema anakutega, acha shobo na wake za Watu mjinga ww...
Halafu inaonesha hata kuongoza hujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina lengo lolote la kumtongoza wala cjawahi kua na hisia nae na sina mpanho wowote wa kmutaka mke wa mtu kwani hapo hapo kna binti mbichi tu cjawahi mtaka sembuse hyo mke wa jamaa nachotaka ni heshima kama nilivo mheshimu ck zote
Sawa baba umesomeka nakushauri jifanye kama umuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa staili hii nyumba za kupanga zitakushinda mkuu..ukikagua jirani na hostel unaweza fungwa kwa ubakaji, ogopa mke wa mtu kama uogopavyo tupu ya mtoto mdogo
 
Back
Top Bottom