Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMMA katika kata ya Songambele kasema CCM oye

Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMMA katika kata ya Songambele kasema CCM oye

mtotofisi

Member
Joined
Aug 24, 2020
Posts
27
Reaction score
47
Katika Hali ya kushangaza Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMA katika kata ya Songambele aliposimamishwa kumuombea Kura mumewe badala ya kusema CHAUMA OYE badala yake akasema CCM OYEEEE!!!!

Ilikuwa ni úzinduzi wa kampení ya mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHAUMMA

Ndugu Devota Minja

 
Ndiyo ya mkoka kuelekea kiteto
hiyo njia naijua sana Hadi Kijiji Moja alipoanzia ana makinda spika mstaafu kulima mahindi na kuhifadhi godown ukiwa mkoka hapa unaelekea kulia kama ukitokea songambele
 
Katika Hali ya kushangaza Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMA katika kata ya Songambele aliposimamishwa kumuombea Kura mumewe badala ya kusema CHAUMA OYE badala yake akasema CCM OYEEEE!!!!

Ilikuwa ni úzinduzi wa kampení ya mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHAUMMA

Ndugu Devota Minja

View attachment 3465089
Kwani, kuna tofauti kati ya CCM na CHAUMWA, ACT, na manyang'au wengine wanaoshiriki uchaguzi haramu?
 
Katika Hali ya kushangaza Mke wa Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CHAUMA katika kata ya Songambele aliposimamishwa kumuombea Kura mumewe badala ya kusema CHAUMA OYE badala yake akasema CCM OYEEEE!!!!

Ilikuwa ni úzinduzi wa kampení ya mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHAUMMA

Ndugu Devota Minja

View attachment 3465089
 
Back
Top Bottom