Mke wa kaka anataka tuendelee

Naichukia JF siku hizi inavijana wenye vistori vya kugushi ,mpo kwenye sherehe ,shemeji ananzaje kusema mtoke mita hizo eti mkacheze mziki? Acha chai ndugu
 
Ila kaka ni mtata balaa pia ndio namtegemea kiuchumi sasa itakukuaje nikidakwa.....
Siku zote vijana wanaoishi kwa kumtegemea mtu huwa hawawezi kuacha ujinga walio nao na wepesi sana kusahau mema ya watu wao wa karibu
 
Shemeji anataka kuhakikisha mnarithishana kila kitu na kaka yako mpaka lile gonjwa.
 
Mwangaluka bhabha!

SIKONGE SEHEMU GANI?

Disco la mringiriri ni balaaa!

DIWANI WA KILOKENI.

Usiendelee kula huyu mmbulu, una jalaani wewe mwenyewe na nduguzo hawata kuelewa,
MALAYA ATAONNDOKA, UDUGU NA KAKA YAKO UTADUMU.

inaonekana yeye ndiye aliye kutongoza......!
 
Ni kwambie tu ukiacha kumchakata ndio mambo yote yataharibika. Hata huo msaada wa Kaka yako utaukosa . Maana huyo shemeji yako atajihami akijua kuna kitu unataka umuharibie hivyo lazima akuwahi hata Kama huna mpango wa kumuharibia.


Cha kufanya kwa sababu ulisha gonga hata ukiacha tayari uligonga hivyo haita saidia.

Hivyo basi endelea kumla ila kwa kutumia akili Sana na inatakiwa wewe ndio umkontroo na asikuone Kama mtoto akuone mtu mwenye misimamo yako . Acha kujichekesha chekesha mbele yake . Uwe kauzu kwake ....punguza kabisa mazoea na utani kwake yaaani mbadirikie Hadi ashangae ila hakikisha unamtomba ipasavyo .

Ukifanya hivi utamfanya akuamini na awe comfortable na atakupa heshima ya hali ya juu.

Ila ukileta hayo niliyo kukataza penzi lenu halita fichika .
 
kama umeshajua ya kwamba ni kosa na ni uvunjifu wa heshima na ustaarabu
Haitakiwi kurudia makosa
Maana lipo linalofuata ambalo ni baya na utakuwa kama aliyelogwa
Heshima na busara ni mambo ya kheri
So Achana naye na ukikaa naye ataendelea kukushawishi na kushawishiwa
 
Sasa mdogo angu wewe unataka kupigwa kwa mpalange
 
Hii habari ingekuwa tofauti sana kama usingetaja kabila la shemeji yako.
Anyway ni family issue hivyo ita kikao cha wanafamilia kisha mjadiliane hili suala.



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unamtegemea kaka yako kwa kila kitu ila bado unamgonga shemeji hapo umechemka acha kabisa.
 
Naichukia JF siku hizi inavijana wenye vistori vya kugushi ,mpo kwenye sherehe ,shemeji ananzaje kusema mtoke mita hizo eti mkacheze mziki? Acha chai ndugu
mkuu Huijui mikesha ya kijijini Kaa kimya wew mboga saba huezi jua hayo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…