Mke wa balozi mtamu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,082
Reaction score
859,211
kuna kawimbo kakichokozi mno kanaimbwa na wazee fulani hivi kibarazani huku wakinywa bia
Mmoja anaaza....
Matembele.....
Wengine wanaitikia...
Matembele ni matamu kama mke wa jirani...
Halafu wanaendelea kwa kupokezana
Matembele ni matamu kama mke wa mwenye nyumba[emoji12] [emoji15] [emoji35] [emoji3]
....Matembele ni matamu kama mke wa balozi [emoji87] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125].....!!!
Ni kawimbo kanakoleta burudani lakini ile ni tafsida....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]usiniulize zaidi sitakwambia
 
Ohoo! Kimbia hapo Mkuu,sasa hivi wataendelea

Matembele ni matamu kama mke wa Mkul.......

Ohooo! Mi sipo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji470] [emoji470] [emoji470]
 
k
Kabishwa... Muka omushaija kiba Kibira kitahwa abaigi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…