Atakua AlikibaMimi sijausikia
Kaimba nani ??
kweli aisee maana sio kwa UTUMBO aliokuwa anaimba huyo jamaaAtakua Alikiba
Nauliza tu....Mchochezi
nilitaka namimi nikaonje wa balozi wetu nione kama ananoga
Kabishwa... Muka omushaija kiba Kibira kitahwa abaigi!kuna kawimbo kakichokozi mno kanaimbwa na wazee fulani hivi kibarazani huku wakinywa bia
Mmoja anaaza....
Matembele.....
Wengine wanaitikia...
Matembele ni matamu kama mke wa jirani...
Halafu wanaendelea kwa kupokezana
Matembele ni matamu kama mke wa mwenye nyumba
....Matembele ni matamu kama mke wa balozi.....!!!
Ni kawimbo kanakoleta burudani lakini ile ni tafsida....usiniulize zaidi sitakwambia