William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Sijui sheria za Tanzania kuhusu uchunguzi wa mauaji kama haya, maana za majuu the husband automatically anakuwa the first suspect, sasa sijui sisi Tanzania.
- Majuu wanaangalia kama mume alikuwa na vimada, alikuwa na mapenzi ya kweli na mkewe, I mean wanaangalia mengi sana ambayo yanaweza kuwafikisha kwenye the truth, tena kesi nyingi za namna hii ukiangalia huko majuu huamuliwa na circumstantial evidence na waume wengi wameishia kupatikana guilty, si unajua criminology ndio mambo yangu. Bwa! ha! ha!
Resepct.
FMEs!
- Majuu wanaangalia kama mume alikuwa na vimada, alikuwa na mapenzi ya kweli na mkewe, I mean wanaangalia mengi sana ambayo yanaweza kuwafikisha kwenye the truth, tena kesi nyingi za namna hii ukiangalia huko majuu huamuliwa na circumstantial evidence na waume wengi wameishia kupatikana guilty, si unajua criminology ndio mambo yangu. Bwa! ha! ha!
Resepct.
FMEs!