sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,498
Yalaaaaaa! Umeoa wewe?? If yes mkeo kazi anayo! Daaah! Alikutenda nini mpaka umwite pepo mchafu? Pole ndugu yangu!mke ni pepo mchafu
Yalaaaaaa! Umeoa wewe?? If yes mkeo kazi anayo! Daaah! Alikutenda nini mpaka umwite pepo mchafu? Pole ndugu yangu!mke ni pepo mchafu
Yalaaaaaa! Umeoa wewe?? If yes mkeo kazi anayo! Daaah! Alikutenda nini mpaka umwite pepo mchafu? Pole ndugu yangu!
Pole yeye coz yaonekana mke kamchefua kweli kweli.Pole yeye au pole mke?
Mi nadhani mke anastahili zaidi...kua na mume anaekuona/kuita pepo si mchezo!Pole yeye coz yaonekana mke kamchefua kweli kweli.
Ni kweli mke anastahili, bt ukute hajui kama mwenzie anamwona ni pepo! Mh, hii kali mke kuwa pepo afu bado uendelee kuishi nae, yawezekana kweli jamani??Mi nadhani mke anastahili zaidi...kua na mume anaekuona/kuita pepo si mchezo!
Pole kwa lolote lililokukuta lililosababishwa na mkeo, usijumuishe wote kiranja mkuuMke ni chanzo cha matatizo. Sio ndugu yako wala rafiki yako. Ukioa tu, urafiki na washkaji unaharibika kama hauko stable. Pia undugu huvunjwa na wake zetu.
Ni kweli mke anastahili, bt ukute hajui kama mwenzie anamwona ni pepo! Mh, hii kali mke kuwa pepo afu bado uendelee kuishi nae, yawezekana kweli jamani??
Unapomuoa anakua ndugu yako!Ili ndoa idumu na iwe na furaha mfanye rafiki yako!
hii ya ukweli sana, nimeikubali. Much love and respesct
nauliza hili swali ili nipate kuelewa.
Huu msemo huwa unanitatiza sana kwa nini mwanamume anaambiwa awaache baba na mama yake aambatane na mkewe ndio maana wazazi wa mke bado wanakuwa benet kwenye ndoa ya mtoto wao au vipi embu baelezeeMke si ndugu na wala si rafiki. Biblia inatuambia kuwa mke na mume ni mwili mmoja
"Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake na aambatane na
mkewe; na hao wawili wata kuwa mwili mmoja"
Matayo 19:5
Sijaelewa swali ama km nimeelewa basi mantiki yake imenipotea...aliyeuliza swali nafikiri alikua na jibu hivyo si vibaya akaweka naye jibu lake ili tusitoke nje ya mawazo yake!...Maswali mengine bwana!