Bado mi nakuwa na dukuduku hapa...
Wakati tunaoana au kabla (kama tulianza mapema), ilikuwa 'ordinary' sex... Then miaka miwili baadaye, anasema anataka sijui 69, sijui lap dance, sijui strip nini, na mambo mengine kibaao... swali linaweza kufuata ni ...mh, umejifunzia wapi yote haya?!... Familia nyingi zimetulea tukiamini kuwa kutazama filamu za ngono ni dhambi, kuongelea ngono na watu wengine ni dhambi n.k. Wakati watu wanaoana, kila mtu anakuwa hataki amuonyeshe mwenzie alikuwa anafanya 'dhambi' hizo. Au hakuna mtu anataka mwenzie ajue kuwa ofisini ana CDs za X anazoangalia 'kisiri', na washkaji au na secretary. So, kudemand vitu vpya ndoani, is some kind of a risk..
Upo sawa kiasi flan hasa ki-mapokeo, ila kumbuka hakuna chuo au certificate ya best perfamance ya tendo la ndoa.
Nimejiita mwalimu na wangu Preta nikamwita kocha! Lengo ni kujenga taswira nzima ya umuhimu wa kufundishana yale ambayo mnaona yanadescribe best performance na satisfaction ya tendo la ndoa. Mjue hakuna anayefundishwa toka huko atokako, sharti mmoja awe kocha na mwingine mwalimu ili mambo yaende sawa, ni upuuzi kujifanya mjuzi nje wakati kwako kunadoda! If u don do it, others will do it 4 u!! Imajini, unamlisha, unamvalisha, unampamba unampigisha gold, halafu wenzako waoneshe ufundi kwenye kiwanja chako, lazima utakuwa *****!!!
Hayo ya kuogopa kuulizwa ni ya kizamani, mi nkipata BLUE kali, kwanza natabasamu, navuta pumzi namshika mkono Preta wangu, naendanae kwa chumba, nawasha deki na tv, then naweka hako ka blue, pazuri nastop, tunapractise tukiweza tunaenda next episode. Mbona Preta mi hajawahi nikoromea! tena juzi tu yeye ndo alikuja na moja ya kibongo bongo wala sijamkoromea! Nakupenda Preta
Mkuu hili ni suala la kisaikolojia zaidi, ......na naamini hata wanawake wanaokubali kuchepuka wanakutana na mambo kama hayo...Muziki lazima utakuwa tofauti na ule wa nyumbani....Kila matu anataka kuprove kama kweli "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe??"!!Hebu jiulize, kwani watoto ambao wanasumbua kula chakula nyumbani kwao wakienda ugenini wanakula kama viwavi jeshi??Babu DC!!
Nimependa hapo kwenye viwavi jeshi.
Haya mambo ni foolishness.
Nimetoka kumuangalia Shwaziniger (jina lake gumu nadhani utakuwa umeshamjua yule mcheza filamu na ex governor) anahojiwa na Morgan CNN; anasema anajutia kumchiti mkewe...na ana hope one day watarudiana na Maria...
Anaulizwa kwa nini ulichiti? Hukufikiria madhara yake baadae...anasema hakuwa anafikiria chochote. He was just stupid. Lakini Maria ni the most perfect woman of his life (kama nime m quote vizuri). Ila hajuhi kama watarudiana kwani hawezi kumsemea Maria. Ila yeye hiyo ni wish yake.
Morgan anamuuliza sasa wewe ulivotembea na house maid ni kwa kuwa ulijua itakuwa ngumu kugundulika kwa kuwa ni mtu wa ndani au? Anasema sina jibu I was just stupid and was not thinking of anything.
Nikajisemea kimoyo moyo...kitu kina thamani ukikipoteza eeh. Wakati anafungua zipo hakujua kuwa Maria ni perfect mpaka amefikia kuzaa na maid. Bado tu alikuwa afikirii chochote kuhusu outcome ya kutembea nje.
Je ni kweli wanaume mnaotoka nje akili inakuwa haifikirii chochote kuhusu madhara yake na ni kweli mnafikiri kutumia kichwa cha pili? LOL.
Maana hizi interviews za hawa mastaa zimenifanya nianze kukosa imani na hii jinsia ya 'me'.
boss nasikitikika sana nimeuona uzi huu siku 3 baada ya kuueka hapa na nimepitia koment zote 18 hapo juu.Thanx kwa mchango
umeelewa mno mada yangu
sasa swali hapa ni hili......'mke anatosha kuwa burudani kwa mume'?
kabla hapajachimbika, ataanzia wapi kwanza ku-suggest hayo mambo?ni kweli kwamba wanawake ni viburudisho (we used to call them that in uni), but mambo aliyoyataja The Boss kwenye post #1 yako hasa kwa vijana wa leo. for wale walioishi zaidi au kupitia unyago sioni wakiiga haya mambo, yaani mama Kongosho au FP aombwe 3some patachimbika siku hiyo lol.
lastly Kaunga naomba kuja kwenye hiyo b.shower as mlinzi :biggrin:
Yaani kwanza ni marufuku mke wangu kulala na nguo.
Yes, ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex, sipendi aniletee kauzibe au mizengwe yoyote, napenda aniachie mwili wake wote nijivinjari kwa raha zangu kila nipatapo ashki.
Anipe burudani zote nitakazo hitaji hilo ni jukumu lake kama mke wangu.
Unachoeleza hapa ni very true theoretically, but practically tutakuwa tunadanganyana au tunajidanganya mkuu, believe me... Hakuna mpnz yasiyo na ladha, kama mtu akufanyie kitu ambacho ni wewe umemfundisha. Ndo maana kila siku nawashangaa wanaosema kuwa mtu amfundishe mwenzie stail... It doesnt work
SWALI LA KIZUSHI; Kwa assessment ya avatar, wewe na preta naona kama wote wadada... Is it not?
Hahahahahaha,Hawa vijana wa siku hizi hawakosi pa kuanzia. Unweza kupewa hata link + picha zinazotembea na mnato!!kabla hapajachimbika, ataanzia wapi kwanza ku-suggest hayo mambo?
unafikiri hao vijana wamedata 100%? wanaangalia kwanza, wakiona kuna loophole ndo wanaingiaHahahahahaha,Hawa vijana wa siku hizi hawakosi pa kuanzia. Unweza kupewa hata link + picha zinazotembea na mnato!!
boss nasikitikika sana nimeuona uzi huu siku 3 baada ya kuueka hapa na nimepitia koment zote 18 hapo juu.
naona nianze kujibu swali hili:-
maisha ya wife and husband yalitegemewa yawe ni complete package isiyo na mapungufu hasa when it comes to pleasure of making love. Kusudio la kuwa two as one is for each other to satisfy his/her partner bila tashwishwi yyte ile.
like yale ambayo kwenu mnajua ndio furaha yenu basi you will take it that way. kuna wengine burudani na kiburudisho kwao iko kwenye kufanya kwa namna yyte ile iwe ni bj ama wereva but mwisho wa siku wote wana enjoy. kuna couples ambazo kwao getting down inside the car, ama kwenye beaches ni sahihi na raha sana lkn wapo wengine hlii hawaliwez simply jinsi walivyouzwa ama walivyozoea.
kwangu mimi naafiki mke ndio kiburudisho pekee cha mume na mume ndio kiburudisho pekee cha mke. taboo kubwa kati ya zote ni sodomy tu kwangu mimi.
Nimependa hapo kwenye viwavi jeshi.
Haya mambo ni foolishness.
Nimetoka kumuangalia Shwaziniger (jina lake gumu nadhani utakuwa umeshamjua yule mcheza filamu na ex governor) anahojiwa na Morgan CNN; anasema anajutia kumchiti mkewe...na ana hope one day watarudiana na Maria...
Anaulizwa kwa nini ulichiti? Hukufikiria madhara yake baadae...anasema hakuwa anafikiria chochote. He was just stupid. Lakini Maria ni the most perfect woman of his life (kama nime m quote vizuri). Ila hajuhi kama watarudiana kwani hawezi kumsemea Maria. Ila yeye hiyo ni wish yake.
Morgan anamuuliza sasa wewe ulivotembea na house maid ni kwa kuwa ulijua itakuwa ngumu kugundulika kwa kuwa ni mtu wa ndani au? Anasema sina jibu I was just stupid and was not thinking of anything.
Nikajisemea kimoyo moyo...kitu kina thamani ukikipoteza eeh. Wakati anafungua zipo hakujua kuwa Maria ni perfect mpaka amefikia kuzaa na maid. Bado tu alikuwa afikirii chochote kuhusu outcome ya kutembea nje.
Je ni kweli wanaume mnaotoka nje akili inakuwa haifikirii chochote kuhusu madhara yake na ni kweli mnafikiri kutumia kichwa cha pili? LOL.
Maana hizi interviews za hawa mastaa zimenifanya nianze kukosa imani na hii jinsia ya 'me'.
The Boss nimeikutia mada mkiani..but sio issue ngoja nimwage nondozz zangu!
Kikubwa ninachokiona mimi kwenye suala la ufanyaji mapenzi kwenye ndoa ni 'namna mnavyochukuliana toka day 1'..
Kwa mfano kuna wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuliona tendo la ndoa as a decent act.. hata baadhi ya styles zingine tuza kawaida hawawezi kufanya..kwao 'cockroach killer' ndio kila kitu...Wamejijenga sana kuliabudu tendo la ndoa na kuliona kama takatifu na linatakiwa kufanywa in a humble way..Huwa huwezi kuwaletea habari hzi za lap dance, striping and tease,sucking sijui threesome nakadhalika..lazima wakukimbize!
Lakini kuna wengine mapenzi wanayafanya kama 'umalaya ulioruhusiwa'..these people can negotiate which way to go and which sex type to undertake..Simaanishi watakupa everything but wako tayari kujifunza matendo mapya ya ngono na sex kwa ujumla..na daima hawaongozwi na kusema nimfurahishe mume ila na wao pia wanajiweka kwenye position ya kufaidi.They can sometimes even be initiators..with new techniques often.. Kosa linalofanyika mara nyingi kwenye ndoa ni ile dhana ya 'nimfurahishe'...ukishkuwa na mentality hii utakuwa unaona sex ni mzigo na huwezi kufurahia tendo. With these women as a man i bet at least huwezi kuitafuta hii huduma mbali u can get it from within...
Na lazima utambue mkiwa kwenye ndoa unamsoma mtu wako..na kwa bahati mbaya tukatae tukubali baadhi ya wanawake anaweza kukubali tu kukufanyia kitu fulani in a sake kwamba unapenda and it is not kwamba na yeye anapenda..so, as u said kuna baadhi ya huduma itabidi tu zitafutwe nje..though unajua hata wife angekuwa na uwezo wa kuelewa angekupatia...
boss hapa nina majibu katika milango tofauti sana ila labda niya samarizi kwenye haya hapa.Karibuu
Je unaonaje wale ambao wanaona mke sio kiburudisho bali mke
unapaswa 'kumheshimu zaidi'?
boss hapa nina majibu katika milango tofauti sana ila labda niya samarizi kwenye haya hapa.
huu ni mfumo dume ambao umejengwa katika misingi ya ubabe na ya kutaka recognition zaid kuliko kutenda kwa upendo, busara na heshima ili haya yakuletee heshima unayoitaka.
to me when making love hakuna heshima hapa najiachia to the fullest tena with joyful ili niweze kuattain maximum pleasure from what we are doing. baada ya hapo nikiwa nje napaaswa kuheshimu as you are ma hubby and am your wife.
ulivyosema hiyo 'umalaya ulioruhusiwa' natamani wadada wachangie hiyo point...