Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Wewe Kongosho,Huwezi kulinganisha ndoa na huo upuuzi wa nje. Kwenye ndoa watu wanatafuta optimum utility wakati huko nje ni kusaka maximum returns. Unadhani demands ziko sawa?Hebu jaribu uwapeleke watoto out for dinner halafu uwambie kuwa menu ni ugali na maharage tena yale mekundu uone kama hawajakususia misosi yako!Noana watu wote wamekana ni taboo kujihusisha mambo haya.Hivi kweli, hakuna watu wa ndoa wanaotafuta mipango ya kando kwa ajili ya manjonjo kama haya?
Last edited by a moderator: