Mke ni 'kiburudisho cha mume'?

...kwenye list yako (b4 I forget), namba 3 (threesome), niseme ukweli tu....binafsi bado sijakubaliana nayo...yaani a man, his wife wake na mwanamke mwingine?? bado bado :nono:

ama a man, his wife na another man? Manake kama ni adventure tuzifanye wote. Threesome is cheating!!!!!?
 
tatizo la wanandoa kuogopana. What is wrong with a nice bj, lap dance ama strip tease with your hazbend? Tunarudi.kule.kwenye 'shkamoo mume wangu'. Baada ya shkamoo kuna lapdance kweli? Im seriously considering kuweka strip pole in my bedroom,lol

Hahahaaaaaa! Girl your Bad A*SS!!!!! Striping Poll!? Damn! Your the coolest BIT*CH EVER for a wife!!! LOL!!!!
 
ama a man, his wife na another man? Manake kama ni adventure tuzifanye wote. Threesome is cheating!!!!!?
yaani ni "cheating" ambayo hata wife anakuwa ameafiki. kwa culture za wenzetu baadhi wanaona pouwa. for instance utaona wenzetu wana vitu kama group relationships ambayo inaweza husisha zaidi ya watu hata wanne, it's kinda terrible if u ask me.

mie kwa uafrika wangu kusema kweli hapo siwezi aisee...
 
kutegemeana na utayari wa mke, unaweza kumshape kukustarehesha in the best ways possible. the ugly side of this is that, wanawake wengine hawatoi ushirikiano :A S 39:. baadhi ya wanawake ni waoga na ndio anaweza ibuka na "hayo kawafanyie m****a wako"...ila wengine can be conditioned to fit ur needs mpaka ukafurahi. wametofautiana, hawafanani...
 
tatizo la wanandoa kuogopana. What is wrong with a nice bj, lap dance ama strip tease with your hazbend? Tunarudi.kule.kwenye 'shkamoo mume wangu'. Baada ya shkamoo kuna lapdance kweli? Im seriously considering kuweka strip pole in my bedroom,lol

natamani wake zoote wawe na mind kama yako lol
 
Nimeingia kwenye ndoa juzi tu sina hata miezi mitatu naona hapa ni pa wakubwa wenye uzoefu zaidi yangu, naenda kulala lakini najua kesho nikifungua ntapata maujuzi ya kutosha kuwapelekea hata ndugu zangu wa Katavi
 
tatizo la wanandoa kuogopana. What is wrong with a nice bj, lap dance ama strip tease with your hazbend? Tunarudi.kule.kwenye 'shkamoo mume wangu'. Baada ya shkamoo kuna lapdance kweli? Im seriously considering kuweka strip pole in my bedroom,lol

naam naam...well said
 
Kwangu nafasi ya mume wa mtu hamnaaaa! Sitaki stress za ada ya mtoto sijui, wakwe wanahitaji nauli waje, harusi ya shemeji blah! blah! blah! achia mbali risk ya kuchanwa chanwa na VIWEMBE mkifumaniwa chobingo!!!!!! Mi wangu VIJANA wasio na majukumu na Pesa ya ziada ipo ikiningoja niitumie.

Kuhusu kuwafurahisha na kuwaridhisha Wake zao ni haki kwa kweli, ukizingatia baada ya uzazi, SEXY SHAPE KUSHNEY BABUJ, Tambi tambi, nido saa nane kasorobo ya usiku, they have sacrifised a lot to start a family with you, so its fare n square UMPE EXTRA LOVE, CARE N RESPECT, Hata kama viwango vyake kwenye 6 by 6 ni F umuangalie mwanao na kumshukuru mamushka (shughuli ile ya kuleta kiumbe ni balaaaa! Nusu ya kufa)

Sio mkeo akizaa, shepu kushney unaanza kumkwepa kutoka nae out!

Mimi mume wa mtu hata iweje simpi KIDUDE for the sake of the wife!!!! Ila pesa yake naila mtanisamehe kwa hilo!.

Astaghafulilah,....jamani jamani.
naomba hii iwe script ya movie tu na sio maisha halisi.
 
Na yeye ana hiyo access kwenye mwili wako au?

swali zuri
au what if mke kwa utashi tu hataki kuwa 'kiburudisho' kwa mumewe
anataka 'kuhehimiwa' the old fashion way?
 
Back
Top Bottom