Mke ni 'kiburudisho cha mume'?

Mke ni 'kiburudisho cha mume'?

yaani mume anijie kasoma sijui kaangalia movie anataka nimpe t*G* nimpe eti mwanamke mpumbavu atavunja nyumba yake! thubutu.................... kwanza kama ananiheshimu hatathubutu hata kunitamkia

mhhhhh FP mama, t*G* ni abomination...that is what I believe ooh
 
nilidhani na wewe umejiunga na lile group jingine.
huwezi jua bwana, nyuma ya screen kunaficha vikongwe wanaojidai mashalobaro/warembo au vijana wanaojitangazia kuzeeka.
haya mzee mwenzangu, mambo ambayo vijana wa sasa wanayoyafanya hata ukiyafikiria unajihisi unatenda dhambi

Ukisoma vizuuri humu utakuta kila mwanamke anasema
ukiacha 'tigo' na 'threesome' mengine niko tayari kufanya au kujifunza
sasa hili la 'kujifunza hili' ndio main theme hapa
what women are ready to do for their husbands....
na kama ni sahihi kwenye ndoa
kumbuka hapa ninachosema ni kuwa
yaweza kuwa mumeo anayapata kwingine now
na hataki wewe umfanyie
kumbe na wewe uko tayari kuyafanya mfano hilo la 'lap dance na stripping kama King'asti alivyosema kule
 
Last edited by a moderator:
yaani mume anijie kasoma sijui kaangalia movie anataka nimpe t*G* nimpe eti mwanamke mpumbavu atavunja nyumba yake! thubutu.................... kwanza kama ananiheshimu hatathubutu hata kunitamkia

FP usisahau hizi taboos zinatofautiana watu na watu
zipo ndoa zingine hayo tayari ni part of the menu now...
so kuya mention ilikuwa tu kupanua wigo wa watu kuzungumza
 
Last edited by a moderator:
Nyumbakubwa nimeongelea universal zaidi
kuna ndoa hasa za Wazungu yapo saana
na waswahili wanao olewa na wazungu wanayakuta ingawa hawasemi

back to kwako
uko tayari kujifunza stripping na lap dance mumeo akikuomba?

hapo penye RED panahusu sana mdau, tunajaribu kutoa mawazo in a larger spectrum
 
Tuwe realistic bana....ni stripe mi najiuza? Hivi ataanzia wapi kuomba ni stripe wakati am always naked while in bed????

Haya mambo kama hamkuanza mkiwa lovers ni ngumu kuya introduce ndani ya ndoa. si kila kitu cha kujifunza bana.

Inakuwa too artificial...


Najua kuna wanaofanya lakini si kwa kuombwa ni kwa kuwa wana vi element vya ukomedi.

Si wengine hata kucheza show hatujawahi. Lol.. Iwe stripe dance.

Kama kucheza basi tucheze wote si mie ndio niwe kideo.


Nyumbakubwa nimeongelea universal zaidi
kuna ndoa hasa za Wazungu yapo saana
na waswahili wanao olewa na wazungu wanayakuta ingawa hawasemi

back to kwako
uko tayari kujifunza stripping na lap dance mumeo akikuomba?
 
kwa cost ya nani? pole sana.
bra zote hizi! kisa na mkasa?

Cost ya baby dady ofcourse, ikishindikana yangu wenyewe! LOL! Shosti kitamnadani unalala na braaaa? Afu mi yangu madogooo, sasa nawaza yakisinyaa baada ya kunyonywa si itabaki NGOZI inaninginia? Nyie mliojaaliwa ndo bra zinawafaaa!
 
Unajua The Boss haya ya 'anapata kwingine' yataharibu hii mada kabisa. Yani unataka tuanze ku compete na vimada tutaweza wapi si ndio yale yale ya kuishia kutoa TIGO...yani nikijua unapata nje ndo ujua hata kifo cha mende hupati.
Malizia haja zako huko huko.



Ukisoma vizuuri humu utakuta kila mwanamke anasema
ukiacha 'tigo' na 'threesome' mengine niko tayari kufanya au kujifunza
sasa hili la 'kujifunza hili' ndio main theme hapa
what women are ready to do for their husbands....
na kama ni sahihi kwenye ndoa
kumbuka hapa ninachosema ni kuwa
yaweza kuwa mumeo anayapata kwingine now
na hataki wewe umfanyie
kumbe na wewe uko tayari kuyafanya mfano hilo la 'lap dance na stripping kama King'asti alivyosema kule
 
hivi na wanamme nao wanafanya stripping na lap dance?

Je, wamme wako tayari kuwafanyia wake zao? Au ndo na wanawake wanafuata kwa vidumu?
 
Ukisoma vizuuri humu utakuta kila mwanamke anasema
ukiacha 'tigo' na 'threesome' mengine niko tayari kufanya au kujifunza
sasa hili la 'kujifunza hili' ndio main theme hapa
what women are ready to do for their husbands....
na kama ni sahihi kwenye ndoa
kumbuka hapa ninachosema ni kuwa
yaweza kuwa mumeo anayapata kwingine now
na hataki wewe umfanyie
kumbe na wewe uko tayari kuyafanya mfano hilo la 'lap dance na stripping kama King'asti alivyosema kule
ukiondoa hayo mawili, mengine yanaweza kufanyika. hii itategemea na comfortability ya wote wa2, kama mnaweza kujifunza na ikawa poa tu, i.e. hakuna mmoja wenu anayehisi ananyanyashwa, why not?
na sijui labda kama sijaelewa kinachozungumziwa hapa, kwa mawazo yangu, namna/jinsi/njia ambazo wanandoa wanatumis kuburudishana ni up to wanandoa wenyewe
 
Tuwe realistic bana....ni stripe mi najiuza? Hivi ataanzia wapi kuomba ni stripe wakati am always naked while in bed????

Haya mambo kama hamkuanza mkiwa lovers ni ngumu kuya introduce ndani ya ndoa. si kila kitu cha kujifunza bana.

Inakuwa too artificial...


Najua kuna wanaofanya lakini si kwa kuombwa ni kwa kuwa wana vi element vya ukomedi.

Si wengine hata kucheza show hatujawahi. Lol.. Iwe stripe dance.

Kama kucheza basi tucheze wote si mie ndio niwe kideo.


Yaani unaongea kitu exactly nilichofikiria
mfano wewe hujawahi fanya kwa mumeo
sasa mumeo akutane navyo nje huko halafu adate navyo
je wewe utasema ahh si bora angeniambia nikamfanyia?
au utasemaje? mfano ni kitu ambacho si taboo kubwa kwako
 
Cost ya baby dady ofcourse, ikishindikana yangu wenyewe! LOL! Shosti kitamnadani unalala na braaaa? Afu mi yangu madogooo, sasa nawaza yakisinyaa baada ya kunyonywa si itabaki NGOZI inaninginia? Nyie mliojaaliwa ndo bra zinawafaaa!
kwenye cost sikumaanisha hela rafiki, nilimaanisha cost ya afya yako
 
nyumba kubwa, hata kama unapita naked kila siku.

Huoni tofauti ukiongeza vionjo vya ka muziki mororo huku unasaula ka blauzi tupa kule, mara kisketi umerusha angani.

Unabaki ba vijiguo viwili, unamchezea tentemente mara ki bra umemrushia na mara kinguo cha mwisho sakafuni.

Nafikiria tu kwa sauti
 
Last edited by a moderator:
Unajua The Boss haya ya 'anapata kwingine' yataharibu hii mada kabisa. Yani unataka tuanze ku compete na vimada tutaweza wapi si ndio yale yale ya kuishia kutoa TIGO...yani nikijua unapata nje ndo ujua hata kifo cha mende hupati.
Malizia haja zako huko huko.


ok ondoa hilo la kupata kwingine
hebu tuchukulie anatamani but kukwambia hawezi...
 
Tuwe realistic bana....ni stripe mi najiuza? Hivi ataanzia wapi kuomba ni stripe wakati am always naked while in bed????

Haya mambo kama hamkuanza mkiwa lovers ni ngumu kuya introduce ndani ya ndoa. si kila kitu cha kujifunza bana.

Inakuwa too artificial...


Najua kuna wanaofanya lakini si kwa kuombwa ni kwa kuwa wana vi element vya ukomedi.

Si wengine hata kucheza show hatujawahi. Lol.. Iwe stripe dance.

Kama kucheza basi tucheze wote si mie ndio niwe kideo.

ha ha haaa yaani nimecheka, ati uwe kideo, dah! nimependa sana mchango huu.
they say penye nia pana njia kwaiyo wenye nia na wanaoona wanayaweza njia mojawapo ni hizo...:lol:
 
ukiondoa hayo mawili, mengine yanaweza kufanyika. hii itategemea na comfortability ya wote wa2, kama mnaweza kujifunza na ikawa poa tu, i.e. hakuna mmoja wenu anayehisi ananyanyashwa, why not?
na sijui labda kama sijaelewa kinachozungumziwa hapa, kwa mawazo yangu, namna/jinsi/njia ambazo wanandoa wanatumis kuburudishana ni up to wanandoa wenyewe

so bora mumeo akueleze kuwa anataka a lap dance?
 
si kila besidei utoe zawadi ya keki kwa mke au mme.

Unaweza strip na kudance nadhani

watoto wakatoa keki kwa baba.

Yaani unaongea kitu exactly nilichofikiria
mfano wewe hujawahi fanya kwa mumeo
sasa mumeo akutane navyo nje huko halafu adate navyo
je wewe utasema ahh si bora angeniambia nikamfanyia?
au utasemaje? mfano ni kitu ambacho si taboo kubwa kwako
 
kwenye cost sikumaanisha hela rafiki, nilimaanisha cost ya afya yako

Naelewa, ila ndo hivo ntabaki na NGOZI ZINANING'INIA kifuani!!! LOL!!! Maisha haya!!!!! Ntakuwa najifichaje sasa baba watoto asinione bila bra!!!? Hahahaaaa!
 
FP usisahau hizi taboos zinatofautiana watu na watu
zipo ndoa zingine hayo tayari ni part of the menu now...
so kuya mention ilikuwa tu kupanua wigo wa watu kuzungumza
ndo maana nimesema, kama wote wapo comfortable kwa hilo waendelee, huwezi jua, labda huyo jamaa alimuoa sababu tangu wanaanza alikuwa anampa hiyo kitu ndo hasa sababu iliyomfanya amuoe. lakini haiwezekani hatukuwa tunafanya toka mwanzo, ghafla unanijia kuniambia tufanye hivyo. kama kitu ambacho nadhani nitaweza kujaribu nitafanya hivyo otherwise ahesabu maumivu
 
Mwanaume chovya chovya atachovya tuuuu. Maana anajuaje anayeenda kulala nae ana swaga zipi? SI kaamua tu kuchovya? Utajua atakutana na vingapi huko nje ili umfanyie akikutana navyo asishtuke? Tunarudi kule kule...mpaka kukutana navyo maanake keshatoka...hata akutane na kifo cha mende bado ametoka nje ya ndoa.


Unataka kunambia wanaowakamata wake za watu ni stippers, three some, watoa tigo...na mengine ambayo si ya kawaida?

Kwa mpango huo mi nitoe kwenye viburudisho ...tunaburudishana...hata wanaume wako wenye perfomance zero kwa nini mwanamke tu ndio awe chombo???


Yaani unaongea kitu exactly nilichofikiria
mfano wewe hujawahi fanya kwa mumeo
sasa mumeo akutane navyo nje huko halafu adate navyo
je wewe utasema ahh si bora angeniambia nikamfanyia?
au utasemaje? mfano ni kitu ambacho si taboo kubwa kwako
 
Naelewa, ila ndo hivo ntabaki na NGOZI ZINANING'INIA kifuani!!! LOL!!! Maisha haya!!!!! Ntakuwa najifichaje sasa baba watoto asinione bila bra!!!? Hahahaaaa!
wow! huyo baba watoto akitaka yabaki hivyo basi asikuzalishe. otherwise akubali matokeo
 
Back
Top Bottom