Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Ni kwelii,,je kwa wanaume??Me nilikuwaga na gfriend wa aina hiyo nikajua ni upendo/wivu wake kwangu so sikuwa namtilia shaka wala kumquat ilia sana mambo yake wala simu zake. Pia nyendo zake niliziamini kwani muda mwingi tupo wote.
Duuuuuh, siku amekwenda salon akaiacha simu yake kwenye charge uzuri pattern nilikuwa nazifahamu.
Niliyokutana nayo humo ni hatari, sms za mabwana kama nane hv tofauti ambao tayari washamkaza wengine wachungaji, maboss wake, hadi fundi carpenter... Sms nyingine ilikuwa ya jana yake katoka kupasuliwa room no 15 guest, mana ndo alipoelekezwa na boss wake.
Hapo ndipo nilipoamini ule usemi wa "mwizi hamwamini mtu yoyote anaona kila mtu naye ni mwizi "
Uzuri nilikuwa simpendi kivile so nikapata strong reason ya kumpiga chini siku hiyohiyo.
Ogopa sana wanawake wenye wivu kupita kiasi, hiyo huwa ni ngao ya kufunikia uchafu wao.
bora nijinyamazie tu watoto wa mujini wanasema kuliamsha dude maana anakaba hadi nanihii! Hahahahahahaha halafu kubadili vitasa vyote vya nyumbamume hata kuingia nyumbani kwake hawezi halafu huku unaimbiwa nyimbo ya Rihanna. Bora watu wamejitambua lakini utasikia mie sina wivu
Hahaaa. Ila namsifu ni mjanja sana ujue anajua kuchunga mzigo wake.
Pia sikuwa najua kumbe BAK na wewe ni muoga wa kuamshiwa madude kiasi hicho. Ila naamini hana wivu ni mahaba tu yale sio bure.
muue maana amekuwa kero sasa.
Me nilikuwaga na gfriend wa aina hiyo nikajua ni upendo/wivu wake kwangu so sikuwa namtilia shaka wala kumquat ilia sana mambo yake wala simu zake. Pia nyendo zake niliziamini kwani muda mwingi tupo wote.
Duuuuuh, siku amekwenda salon akaiacha simu yake kwenye charge uzuri pattern nilikuwa nazifahamu.
Niliyokutana nayo humo ni hatari, sms za mabwana kama nane hv tofauti ambao tayari washamkaza wengine wachungaji, maboss wake, hadi fundi carpenter... Sms nyingine ilikuwa ya jana yake katoka kupasuliwa room no 15 guest, mana ndo alipoelekezwa na boss wake.
Hapo ndipo nilipoamini ule usemi wa "mwizi hamwamini mtu yoyote anaona kila mtu naye ni mwizi "
Uzuri nilikuwa simpendi kivile so nikapata strong reason ya kumpiga chini siku hiyohiyo.
Ogopa sana wanawake wenye wivu kupita kiasi, hiyo huwa ni ngao ya kufunikia uchafu wao.
ebu mchunguze vizuri mkeo kama kuna jambo anaficha..wivu uliopitiliza unakua na mashaka sana...
1. cmu usiweke password. passowrd ndiyo huvuta aone ulichoficha humo.
2. akifuta wateja - kama ni kweli basi punguza matumizi home maaana mwambie umewatukana wateja na sina mawasiliano kwa hiyo aelewe hilo.
3, kaa naye mueleweshe - ila na wewe kweli uwe mwaminifu.
nini tena mummy?
Sitii neno boss wangunini tena mummy?
nyie ndi mko hivyo bibie. Majanga kwa kwenda mbele, yaani utamuona mtu ana wivu huo utadhani kakoleeeea kumbe mfyuuuuuuSitii neno boss wangu
Mh! Mahaba ya kubadili hadi vitasa!sipendi kununiwa hasa pale kununiwa ni kwa sababu ambazo hazihusu kitu ila wivu wa kukaba hadi nanihii
Mwingine mwenye wivu wa kupitiliza huyu hapa. Aliliamsha dude wakiwa angani ikabidi hadi pilot ashuke ardhini ili kuwafukuza ndani ya ndege.
http://nyp.st/2zoVSAV
Nakubali ana wivu ila haujamfikia huyo mama wa ki Iran aisee.
Ila yote kwa yote wivu ni sunna BAK.Huyo aisee kaniacha hoi! Alianzisha ugomvi ndani ya ndege bila simile wala aibu angalau ya kusubiri wafike waendako. Njemba ililala ndani ya ndege mke akatumia dole la mume kuifungua simu na kuona siri zote za mchepuko.