Mke mwema hatoki kwa bwana anatoka akilini mwako

Mke mwema hatoki kwa bwana anatoka akilini mwako

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,880
Ule msemo wa mke mwema anatoka kwa bwana naona kama ni stagnant perception!

Uwezo wa kupata mke mwema unatokana na akili yako na sio kusubiri ety bwana.

Just imagine.
Katika akili yako unawaza makalio makubwa ndio mke mwema
Bro makalio hayawezi kuleta ugali ila mindset so play part kubwa kuwngalia someone ability to think and making solutions sio makalio makubwa na shepu.

Just imagine
Unadate na mwanamke ambaye ana dress poor...hana tabia njema kwenye mazungumo, yani yupo hovyo! Yani huyo ndio mzazi mwenzio mana ukimpa mimba tu umeisha

Last, muonekano wa mwanamke liwe jambo la mwisho kabisa katika kufinf life partner.

Uzuri ni
Imani.
Huruma
Upendo
Hofu ya mungu.
Busara..
Usafi biinafsi
Malezi bora

Ukipata mwanamke mwenye tabia hizo jiandae kwenda peponi
 
Ukijua tabia siyo kitu cha kudumu, utafuta huu uzi uandike upya
Tabia sio kitu cha kudumu?? Tabia inabadilika kutokana na the way unamtreat someone, na huu msemo unaosema tabia ni kama ngozi? Inakuaje?? Futa utopolo huo
 
Well said, tatizo dada zetu wanataka mume mwenye kila kitu.
 
Binadamu yoyote ana tabia zenye asili mbili

1) Tabia za asili yaani urithi...mfano umalaya..uongo...wizi..n.k hizi tabia mara nyingi hutokana na vina saba

2)Tabia zinazotokana na kimazingira...hizi hutokana na marafiki..ndugu...au..hali flan apitiayo huyo muhusika mfano ulevi...uchafu...lugha mbovu


●JITAHIDI UZIJUE KUTOFAUTISHA TABIA ZA ASILI ZA KOO YAO NA TABIA ALIZOIGA KUTOKANA NA MAZINGIRA...MAANA HIZI ZA KIMAZINGIRA AKIBADILI MAZINGIRA ANAWEZA ZIACHA

Point to note..HUWEZI MKUTA MTU PERFECT HAPA DUNIANI KM UNATAFUTA MKE JITAHIDI KUZIJUA TABIA ZAKE ZA ASILI HIZI NI NGUMU KUZIBADILI MARA NYINGI HUWA DAMUNI

UTAZIJUAJE HIZI TABIA?
1)Unapomtongoza mwanamke yoyote ficha wasifu wako km kazi..na mali na udress normal hii itakufanya umjue mtu huyo ni wanamna gani anadharau au anathamin yoyote bila kuangalia material things

2) Kuwa unemmotional hii itamfanya afanye vitu vingi sana ili akufurahishe hapo ndio utagundua pia baadhi ya tabia halisi za mchumba wako

3) Tengeneza migogoro feki hii pia ni muhimu kujua muhusika akiwa na hasira anakuwaje
Hapa pia neno lolote atoalo mdomoni mwanamke akiwa na hasira lisikilize kwa umakini na utafakari lina maana gani
 
Binadamu yoyote ana tabia zenye asili mbili

1) Tabia za asili yaani urithi...mfano umalaya..uongo...wizi..n.k hizi tabia mara nyingi hutokana na vina saba

2)Tabia zinazotokana na kimazingira...hizi hutokana na marafiki..ndugu...au..hali flan apitiayo huyo muhusika mfano ulevi...uchafu...lugha mbovu


●JITAHIDI UZIJUE KUTOFAUTISHA TABIA ZA ASILI ZA KOO YAO NA TABIA ALIZOIGA KUTOKANA NA MAZINGIRA...MAANA HIZI ZA KIMAZINGIRA AKIBADILI MAZINGIRA ANAWEZA ZIACHA

Point to note..HUWEZI MKUTA MTU PERFECT HAPA DUNIANI KM UNATAFUTA MKE JITAHIDI KUZIJUA TABIA ZAKE ZA ASILI HIZI NI NGUMU KUZIBADILI MARA NYINGI HUWA DAMUNI

UTAZIJUAJE HIZI TABIA?
1)Unapomtongoza mwanamke yoyote ficha wasifu wako km kazi..na mali na udress normal hii itakufanya umjue mtu huyo ni wanamna gani anadharau au anathamin yoyote bila kuangalia material things

2) Kuwa unemmotional hii itamfanya afanye vitu vingi sana ili akufurahishe hapo ndio utagundua pia baadhi ya tabia halisi za mchumba wako

3) Tengeneza migogoro feki hii pia ni muhimu kujua muhusika akiwa na hasira anakuwaje
Hapa pia neno lolote atoalo mdomoni mwanamke akiwa na hasira lisikilize kwa umakini na utafakari lina maana gani
Daaa kazii ipooo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuteni pisi za kueleweka usijeshituka usiku ukaanza Jiuliza huyu mwamba nimelalanae katokea wapi...?? Ukaanza kupiga kelele kutuamsha majirani tuje tumtoe pisimwamba
 
Ule msemo wa mke mwema anatoka kwa bwana naona kama ni stagnant perception!

Uwezo wa kupata mke mwema unatokana na akili yako na sio kusubiri ety bwana.

Just imagine.
Katika akili yako unawaza makalio makubwa ndio mke mwema
Bro makalio hayawezi kuleta ugali ila mindset so play part kubwa kuwngalia someone ability to think and making solutions sio makalio makubwa na shepu.

Just imagine
Unadate na mwanamke ambaye ana dress poor...hana tabia njema kwenye mazungumo, yani yupo hovyo! Yani huyo ndio mzazi mwenzio mana ukimpa mimba tu umeisha

Last, muonekano wa mwanamke liwe jambo la mwisho kabisa katika kufinf life partner.

Uzuri ni
Imani.
Huruma
Upendo
Hofu ya mungu.
Busara..
Usafi biinafsi
Malezi bora

Ukipata mwanamke mwenye tabia hizo jiandae kwenda peponi
Wake bora
_.jpg
_ (3).jpg
 
Sijasoma Uzi ila kichwa cha habari kinanitosha kutoa maoni, "wakati wa uchumba ni wakati wa kujua kama ni mke mwema" mke kutoka kwa Mungu, ni kumsingizia Mungu, ni wewe mwenyewe. Ni sawa na kusema, nitafyatua tu watoto Mungu anajua watakula nini! Kakutuma ukafanye starehe halafu matokeo yake umuachie Mungu? Tuwe na upeo mzuri wa kufikiri!
 
Aisee, cha kwanza kabisa naangalia uzuri wa sura halafu hayo mengine ndio yatafata.
Hata kama una tabia nzuri kama za malaika ila kama una sura mbovu aisee unipitie mbali
 
Tatzo wake wema ni wabaya kwa sura na umbo ,wamekuwa wema tu kwa sababu hawana jinsi.
 
Binadamu yoyote ana tabia zenye asili mbili

1) Tabia za asili yaani urithi...mfano umalaya..uongo...wizi..n.k hizi tabia mara nyingi hutokana na vina saba

2)Tabia zinazotokana na kimazingira...hizi hutokana na marafiki..ndugu...au..hali flan apitiayo huyo muhusika mfano ulevi...uchafu...lugha mbovu


●JITAHIDI UZIJUE KUTOFAUTISHA TABIA ZA ASILI ZA KOO YAO NA TABIA ALIZOIGA KUTOKANA NA MAZINGIRA...MAANA HIZI ZA KIMAZINGIRA AKIBADILI MAZINGIRA ANAWEZA ZIACHA

Point to note..HUWEZI MKUTA MTU PERFECT HAPA DUNIANI KM UNATAFUTA MKE JITAHIDI KUZIJUA TABIA ZAKE ZA ASILI HIZI NI NGUMU KUZIBADILI MARA NYINGI HUWA DAMUNI

UTAZIJUAJE HIZI TABIA?
1)Unapomtongoza mwanamke yoyote ficha wasifu wako km kazi..na mali na udress normal hii itakufanya umjue mtu huyo ni wanamna gani anadharau au anathamin yoyote bila kuangalia material things

2) Kuwa unemmotional hii itamfanya afanye vitu vingi sana ili akufurahishe hapo ndio utagundua pia baadhi ya tabia halisi za mchumba wako

3) Tengeneza migogoro feki hii pia ni muhimu kujua muhusika akiwa na hasira anakuwaje
Hapa pia neno lolote atoalo mdomoni mwanamke akiwa na hasira lisikilize kwa umakini na utafakari lina maana gani
 
Ule msemo wa mke mwema anatoka kwa bwana naona kama ni stagnant perception!

Uwezo wa kupata mke mwema unatokana na akili yako na sio kusubiri ety bwana.

Just imagine.
Katika akili yako unawaza makalio makubwa ndio mke mwema
Bro makalio hayawezi kuleta ugali ila mindset so play part kubwa kuwngalia someone ability to think and making solutions sio makalio makubwa na shepu.

Just imagine
Unadate na mwanamke ambaye ana dress poor...hana tabia njema kwenye mazungumo, yani yupo hovyo! Yani huyo ndio mzazi mwenzio mana ukimpa mimba tu umeisha

Last, muonekano wa mwanamke liwe jambo la mwisho kabisa katika kufinf life partner.

Uzuri ni
Imani.
Huruma
Upendo
Hofu ya mungu.
Busara..
Usafi biinafsi
Malezi bora

Ukipata mwanamke mwenye tabia hizo jiandae kwenda peponi
Mke mwema anatoka kwa Bwana (Mungu) katika maana ya kwamba yeye Bwana amekupa akili na katika vitabu vyake amekuonyesha sifa za mke bora.

Kwa hiyo kazi ni kwako kutumia mashauri yake na utashi wa akili aliyokupa
 
Mume yoyote yule anafaa haijalishi maskin au yukoje kikubwa mapenzi ya dhati.........mungu nijalie mume Bora na mwenye mapenzi ya kweli
 
Ule msemo wa mke mwema anatoka kwa bwana naona kama ni stagnant perception!

Uwezo wa kupata mke mwema unatokana na akili yako na sio kusubiri ety bwana.

Just imagine.
Katika akili yako unawaza makalio makubwa ndio mke mwema
Bro makalio hayawezi kuleta ugali ila mindset so play part kubwa kuwngalia someone ability to think and making solutions sio makalio makubwa na shepu.

Just imagine
Unadate na mwanamke ambaye ana dress poor...hana tabia njema kwenye mazungumo, yani yupo hovyo! Yani huyo ndio mzazi mwenzio mana ukimpa mimba tu umeisha

Last, muonekano wa mwanamke liwe jambo la mwisho kabisa katika kufinf life partner.

Uzuri ni
Imani.
Huruma
Upendo
Hofu ya mungu.
Busara..
Usafi biinafsi
Malezi bora

Ukipata mwanamke mwenye tabia hizo jiandae kwenda peponi
Nakubaliana nawe kabisa, ndugu. Ni muhimu kuelewa kuwa uzuri wa mtu hauwezi kutafsiriwa kwa sura au umbo la mwili tu. Uzuri wa kweli unatokana na tabia, imani, hofu ya Mungu, na uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo. Kama tunavyosoma katika kitabu kitakatifu cha Qur'an, "Mola wenu amewaumba kutoka kwa nafsi moja, na ameumba kutoka kwayo mwenzi wake, ili apate amani na utulivu katika maisha yake" (Surat Ar-Rum 30:21).

Kwa hiyo, ni muhimu kuangalia zaidi ya muonekano wa mtu na kuzingatia tabia zao na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi. Kama alivyosema mwanafalsafa Mfaransa, Antoine de Saint-Exupéry, "Uzuri wa kweli haupo kwenye uso, bali ni kioo cha roho."

Katika Biblia, tunaweza kusoma kuhusu sifa za mke mwema katika mstari wa Methali 31:10-31. Mstari huo unasema kuwa mke mwema ni thamani kubwa na anathaminiwa sana na mume wake. Anakuwa na sifa kama vile uaminifu, bidii, busara, upendo, huruma, na hofu ya Bwana.

Tunapaswa kuangalia zaidi ya sura ya mtu na kuzingatia tabia zao, busara, huruma, upendo na hofu ya Mungu. Mwanamke mwenye tabia hizo atakuwa mzazi mwema na mke mwema pia. Twende kinyume na dhana ya zamani kwamba mke mwema anatoka kwa bwana na badala yake tuchukue hatua ya kuchagua mwenzi wa maisha yetu kwa busara na hekima. 😀👌
 
"Hakuna mke mwema" imeletwa kwenu kwa hisani ya #KataaNdoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom