Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,159
- 1,944
Habarini JF
Katika maisha yetu tumekuwa tukisikia au kuhubiriwa kuwa mke mwema anatoka kwa bwana yaani ili upate mke bora yakupasa umuombe mwenyezi Mungu.
Pia, najua unaweza kutumia elimu ya dini kujibu swali hili (sawa) lakini hebu tujaribu kuintergrate elimu ya dini na reality ya maisha ambavyo inatakiwa iwe.
Swali
i. Je mume mwema anatoka wapi?
ii. Je katika maisha hamna umuhimu wa kuwa na mume mwema kama tu ashapatikana mke mwema?
iii. Je huo wema unaozungumziwa ndio huu huu jamii tunaoujua?
iv. Je jamii ina mchango gani katika kutengeneza mume mwema?
Najua hii mada inaweza ikawa ni ya dini lakini naomba tuijadili kijamii zaidi.
Karibuni.. Monday 06:44 October 21
Katika maisha yetu tumekuwa tukisikia au kuhubiriwa kuwa mke mwema anatoka kwa bwana yaani ili upate mke bora yakupasa umuombe mwenyezi Mungu.
Pia, najua unaweza kutumia elimu ya dini kujibu swali hili (sawa) lakini hebu tujaribu kuintergrate elimu ya dini na reality ya maisha ambavyo inatakiwa iwe.
Swali
i. Je mume mwema anatoka wapi?
ii. Je katika maisha hamna umuhimu wa kuwa na mume mwema kama tu ashapatikana mke mwema?
iii. Je huo wema unaozungumziwa ndio huu huu jamii tunaoujua?
iv. Je jamii ina mchango gani katika kutengeneza mume mwema?
Najua hii mada inaweza ikawa ni ya dini lakini naomba tuijadili kijamii zaidi.
Karibuni.. Monday 06:44 October 21