Mke/mume jihadhari kuingilia mawasiliano ya simu (hacking)

Mke/mume jihadhari kuingilia mawasiliano ya simu (hacking)

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,718
Simu za android zimekuwa breach ikija suala la kutaka kujua simu ya yoyote unaemtaka jinsi anavyotumia (hack) watumiaji wa hizi simu wamekuwa victim bila kujua wanafuatiliwa kirahisi na wapenzi wao kuweni makini maana mahusiano ya sasahivi yanavunjika katika simu za mkononi zilipoingia.
 
Hivi ni possible kutrace mawasiliano ya mpnz ikiwa yeye hana android phone?if yes how?na kama haiwezekani nini kinahitajika kuweza ku hack mawasiliano ya mwenza wako!!!?
 
Hivi ni possible kutrace mawasiliano ya mpnz ikiwa yeye hana android phone?if yes how?na kama haiwezekani nini kinahitajika kuweza ku hack mawasiliano ya mwenza wako!!!?
Inawezekana kw android ila ifon ngumu kdg.android vulnerable OS
 
Back
Top Bottom