Mke malaya, nimfanyaje?

Mpaka umepata muda wa kuja kuomba ushauri hapa JF maana yake wewe ndio umeolewa.Cha msingi nenda kapime UKIMWI kabla hujaamua kuusambaza kwa wengine...mke wako anakujibu hivyo kwasababu anakudharau cha msingi mpe makofi ya kutosha tu mwenyewe nyumba ataiona chungu atasepa bila ya kupenda.
 
Hawez kuondoka bila kutimiza lengo lake la kukuondoa dunian,sasa ww unapomwacha hapo unajipalilia kifo chako
 
Itakuwa yeye ndio analisha familia ikiwemo wewe .
Kingine mmekaa muda watu huchokana eti .
Au hujui mmkae mpaka watoto mpate awe tu mwaminifu?
Kwanza ametaka tu uione makusudi kwa maana asingeacha simu.Au
Ulishawahi kumfanyia hivyo nayeye ndio anakurudishia .
Unajua kuoana nakuishi na mtu mpaka aje mumoja kufa kunakazii.
Inaonyesha hizo ndizo lifestyle yenu mmezoea hapo ndani wewe ndio unakuwa unaumia zaidi kushinda yeye ndio maana anafanya kikuume.
Haya ndio mashauri nakupa chagua moja.
Naikusaidie.
Ila huwezi kumfukuza couse mmeshaazaanaye watoto hawaezi kaa na mama wa kambo eti kisa umemfumania kwenye whtsupp hiyo nikichekesho.
Eti unamfukuza anabakii ulitaka aemde wapi?
Naanawatoto naalikuwa busy anawatafutia watoto chakula .
Wewe ukiwa busy unatafuta njee wakumtunza .
Halafu unaelekea wewe ni wale sampuli chafu zenye madharau.
Na ndio mke kachoka anakuonyeshea kuwahaupo mwenyewe kiakili sio kiumbulula.
 
We ni jinsia gan me au ke..
 
Wewe ni mwanaumwe au mvulana??
Yani amekujibu simple kweli kuonesha jinsi gani anakuchukulia.
Tafuta hela kijana.
Kuna kaka yangu pamoja na visenti vyake mkewe kamsaliti, mwezi wa saba huu hawako pamoja ,unaweza ukawa na pesa na ukaibiwa mke pamoja na pesa zako.
 
mkuu..kama upo kwenye ndoa zingatia yafuatayo

UVUMILIVUUU TUUU...

Binafsi nikikupa kisa changu ndo utaweza choka...
wewe tambua mwanamke akiamua kugawa uchi atagawa tu..uwe mvumilivu ,,

ila uvumilie kama kaamua kugawa uchi wakati wewe unamtimizia kila kituuu...

kama humtimizii mahitaji ya ndani, na unasema uwe mvumilivu huo ni uzuzu...maana hatotulia kamwe nae atatafuta tonge pengine tu ..jua hilo
 
Kuna member humu alisema
''Mwanamke akisha mvulia chupi
mwanaume mwingine huyo si wako
tena,na wala usitegemee heshima,upendo wala amani ktk nyumba yako''
 
Kuna member humu alisema
''Mwanamke akisha mvulia chupi
mwanaume mwingine huyo si wako
tena,na wala usitegemee heshima,upendo wala amani ktk nyumba yako''
Ila unakaukweli hapo ila je kama mwanaume akivua boxer kwa mwanamke mwingine sio wangu pia?
 
sijawahi kutumiema pesa yake ata sent 5 ila tambua
 
Dah braza ulipiga moyo konde sana
 
sijawahi kutumiema pesa yake ata sent 5 ila tambua
Oh sawa kwanini unaomba ushauri huku watu wataongea mengi.
Ila mtu atakayekushauri vizuri ni yule mtu anayekufahamu.
Mfano Mama yako baba na ndugu zako.
So ukienda kwa marafiko zero watakushauri tofauti.
Ila wazazi ni kipaumbele katika maisha ukiwa na shida wafuate wao ndio wanasema ukweli tu ukuume au usikuume
 
Unaomba ushauri wa nini fukuza mbali..au mpaka akuletee ukimwi yani kweli iki nacho kinaitaji ushauri...duh kweli tunatofautiana na kwa majibu yake anaonekana anakuzidi nguvu au ulimwendekeza akawa na final say
 
Fukuza haiitaji ushauri dah kweli tunatofautiana na kwa majibu yake anaonekana kakuzidi nguvu...inaonekana ulimwendekeza
 
Fukuza haiitaji ushauri dah kweli tunatofautiana na kwa majibu yake anaonekana kakuzidi nguvu...inaonekana ulimwendekeza
Sio rahisi hivyo kama unavyofikiria kwa mtu uliyemwamini na kumpenda
 
Sio rahisi hivyo kama unavyofikiria kwa mtu uliyemwamini na kumpenda
Akimletea UKIMWI cz alimpenda haina shida sio ili awaache watoto yatima na hao wahuni...mkuu naona na wewe una mawazo kama ya mleta mada pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…