Mke malaya, nimfanyaje?

Pole Kaka!Ambao Hatujaoa Tunajifunza Kitu!Kwa Jinsi Alivyokujibu ni dhahiri kakuchoka!Wataarifu wazazi wake Au Ndugu Zake Kila Kitu Kisha Akikataa Kuondoka Basi Mwache Akae Ila Mfanyie mgomo baridi
 
Piga wewe unafikiri wazazi wetu kwann walikuwa wanapiga?
 
Ukaanza kuhojiwa wewe......af hata hujajitumia picha pia hna mamlaka kama mwanaume hapo....we sio kichwa...af umejibiwa simple kabisaa ...wti ulichokitaka umepata.....sio bure kuna shida sana kwako.....basi kama hujui cha kufanya hama
 
Well said bro.....pole sana aisee
 
Hivi mwanamke anataka ndoa au anataka agegedwe vizuri sana kipi anataka ..... Au haiwezekani asiwe na kimoja so ikikosekana moja anaisaka kwingine
 
Yaa sijaelewa...hayo maswali, wewe ndio ulikuwa una muuliza, au yeye alikuwa anakuuliza wewe..
Kama ni yeye alikuwa anakuuliza, hizo nguvu alizipata wapi, dah tunatofautiana sana.
Kwan jaman akiuliza amekosea nn
 
Yaa sijaelewa...hayo maswali, wewe ndio ulikuwa una muuliza, au yeye alikuwa anakuuliza wewe..
Kama ni yeye alikuwa anakuuliza, hizo nguvu alizipata wapi, dah tunatofautiana sana.
Ila ni mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu
 
Huna chako apo baba Kam umeshidwa kumfkuza muachie nyumba usepe
 
Pole sana..... naamini hupendi shari kabisa, ni busara ya hali ya juu uliyotumia.
- nenda ustawi wa jamii waeleze hayo yote bila kuficha na kusudio lako.....acha kufikiria mali zilizopo,,,,chukulia za watoto.
- angalia ni namna gani watoto wataishi kwa furaha all the time.....kaanze upya,,,,,tena hata hukupaswa kuja huku kwanza,,,atakuua huyo ngobero.....aidha kwa sumu au presha.......ukipata mwingine kamwe usisogelee simu yake....
 
Mambo ya ndoa niamazito sana kubebeka katika fikra zetu hasa wanaume tulio na majukumu mengi. Pole sana
 
Hivi mwanamke anataka ndoa au anataka agegedwe vizuri sana kipi anataka ..... Au haiwezekani asiwe na kimoja so ikikosekana moja anaisaka kwingine
Mwanamke hata ukimla vizuri kiasi gani hiyo si dawa ya kuacha kuchepuka.Kugegedwa ni starehe ya aina ya pekee kuliko starehe zote, kwa hiyo ni lazima baada ya kutoka kwako atatamani pia aonje utamu mahali pengine ukoje.Hii ni shida ya ulimwengu mzima na sidhani kama kuna dawa ya kukomesha.Zaidi ya starehe kwa mwanamke pia kuna kujipatia kipato baada ya kuhongwa.Kwa upande wa wanaume nako kuko vile vile, mwanaume anatamani kuwa na mwanamke mwingine tofauti na mkewe kwa sababu moja tu; nayo ni kutafuta starehe kuona kwingine kuna kuwa vipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…