Tena sana kwanza inakuwa imetanukaNa kama ana manyonyo makubwa hahaha utakua ukivaa tishet inakaa hovyo sana kifuani mwako.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Acha ushamba bwana mvulanaMama samia kasema tuko huru kuongea na huu ndio uhuru wenyewe
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu yeye atakua anafanya kuonesha mapenzi tu.
Nimefanya hayo ila anangoja nikitoka anazi vaa zangu sasa sijui zina niniAnza kumnunulia nguo kama zako,yani ukinunua tishet lako,mnunulie na yeye kama hilohilo,ili akivaa la kwako,we unalichukua lile la kwenye begi ambalo linafanana na alilolichukua.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Nimefanya hayo ila anangoja nikitoka anazi vaa zangu sasa sijui zina nini
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
HiyiWeka picha yake tumuone alivyopendeza...
Acha kununua t-shirts, ambazo ni rahisi kuvaliana, nunua shart linaloonekana ni la kiume kabisa, hata akilivaa na wewe ukivaa, hautaambiwa ni la mkeo.Kwa muda sasa nimekuwa niki keleka pale wife anapotupia/vaa tisheti zangu
Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu havai anaweka tu kwa begi
Mara nyingi hua namuhoji majibu sipati ya kueleweka na mimi nimemvumilia nimechoka
Kuna muda Natamani hata nichome moto nguo zangu zenyewe nibaki tu na nguo ninazo vaa mwilini
Hata nikiitwa kauka ni kuvae poa tu maana unapita kitaa na tisheti unasikia kavaa la mke wake sasa mambo gani haya
Naombeni kujuzwa hili ni haki mke kuvaa nguo za mpenzi wake
Na je hiyi hali ya mke kupenda kuvaa nguo za mumewe kitaalam linaitwaje?
Mahaba Baba hayo..embu acha kumind vitu vidogovidogo...😂😂
Badhi ya wanaume wa jf bwana
Mwingine alilalamika mkewe anamganda ganda mara hataki akumbatiwe kila saa
Mwingine hataki mkewe avae nguo zake
Mwingine eti mkewe anampiga mizinga..Sasa usipompa hela ,nani ampe?
Kutwa zima, wanaume wanaleta malalamiko yasiyo ya msingi kuhusu ndoa zao compared na wanawake....
Na wanawivu kinoma akiona Tu umevaa t-shirt umependeza anayo tena anaivutavuta Sana ili ck ukiivaa isikukae vzr , na pia waliomuona wajue wewe umeoaDuuh
Kamchoka tu.Sio tu sahihi bali ni sexy.....
Inaonekana una roho mbaya sana wewe.
Sahihi nimewaza kama ww piaUsituchanganye akili hapa,sema unapenda na umekuja hapa kuturingishia
Mwenzio anajivunia kuvaa nguo zako ili aonekane na wanawake wenzake kuwa wewe ni wake....unakasirika nini?Kwa muda sasa nimekuwa niki keleka pale wife anapotupia/vaa tisheti zangu
Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu havai anaweka tu kwa begi
Mara nyingi hua namuhoji majibu sipati ya kueleweka na mimi nimemvumilia nimechoka
Kuna muda Natamani hata nichome moto nguo zangu zenyewe nibaki tu na nguo ninazo vaa mwilini
Hata nikiitwa kauka ni kuvae poa tu maana unapita kitaa na tisheti unasikia kavaa la mke wake sasa mambo gani haya
Naombeni kujuzwa hili ni haki mke kuvaa nguo za mpenzi wake
Na je hiyi hali ya mke kupenda kuvaa nguo za mumewe kitaalam linaitwaje?