Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you better be called light city,great thinking capacity,cheersHuyo mwanamume ni mpuuzi...nadhani bado yuko under age!!
Kwa watu wenye A, B, C za uchnguzi, hiyo taarifa ilikuwa ni tip ya nguvu sana na alitakiwa aanze kuutafuta ukweli. Kwa sasa amehangaika na hisia zake na ukweli wenyewe hatakaa aupate maishani...Na kwa mwendo huo, hiyo ndoa imeshaingia doa...Aombe Mungu wapate hata huyo mtoto wakiwa bado wako pamoja...Mzimu wa bei za gust house utaendelea kumtafuna siku zoooote!!
Babu DC (1947)!!
you better be called light city,great thinking capacity,cheers
bebii si kuna matangazo ya hoteli kwenye Tv na redio pia na magazeti?Pia anaweza kujua kupitia ndugu au rafiki au mikutano mabilmbali aliyo hudhuria..Hacheni jamani kujua mbona simple tu.Na je mwanaume yeye kweli hajui g.housi?Mwongo huyoLakimi kweli alijuaje banaaaa?