chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 203
Shantel mdomo uliponza kichwaUnampigaje mkeo halafu mjamzito, kwanza angekuwa na tabia hizo asingeropoka chochote, itakuwa tu amejua maybe alipeleka wageni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shantel mdomo uliponza kichwaUnampigaje mkeo halafu mjamzito, kwanza angekuwa na tabia hizo asingeropoka chochote, itakuwa tu amejua maybe alipeleka wageni
Kwy RED kumbe huwa wanaenda kufanyaje?Kama huyo mke ni mfanyakazi wa ofisi ambazo uwa zinapokea wageni wa kiofisi anaweza kufahamu gharama za guest house. Pia si kila anayeenda guest house anaenda kwa ajili ya kufanya uzinzi.
<br />Lakimi kweli alijuaje banaaaa?
teh teh teh,kweli wewe kisukari,uko sawa shostsorry nimepost bila kumaliza nilichataka kusema.namuonea huruma huyo mke,kama huyo mume ameweza kumpiga mke wake mbele za watu,hiyo ndoa yao itakuwa ni ya vipigo tu.wanaume wa aina hiyo,huwa hawaachi tabia ya kupiga piga.akishakupiga ataomba msamaha,baadae atarudia tena.huyo jamaa angekuwa mstaarabu angalau angemuuliza vizuri,wakiwa wenyewe peke yao,na sio mbele za watu hivyo.watu wengine mbona hawana heshima?
..kweli,tulimbeleza mke kuwa avumilie japo ilikuwa kazi ngumu sana na sisi tulishindwa kuwaacha katika hali hiyo kwani tulikuwa nao muda mwingi siku hiyo na jamaa angempiga sana bila sisi...mwishowe alikubali kuingia kwenye gari tukawapeleka kwao kwenye saa sita usiku hivi,pia tulimsihi mume asimpige tenawanaume wasiojiamini siku zote ngumi mkononi...pole zake huyo dada, shez preg, still jamaa kampiga , ni hv ndoa changa hapo ataambiwa vumilia ndio mumeo huyo bt wanaume wa ngumi mkononi huwa hawaachi wajameni hata wakiomba msamaha kwa machozi!
<br />......jana nilitembelewa nyumbani na rafiki yangu akiwa na mkewe(mjamzito miezi 6 sasa) na wamefunga ndoa wiki 3 zilizopita,tukapa dinner pamoja na mke wangu na baade usiku tukatoka kumalizia siku sehemu fulani kwa vinywaji....huko tukakutana na baba yake mdogo,mgeni kabisa mji huu hivyo ikabidi atafutiwe g/house kwa malazi,katika kujadili sehemu rahisi mkewe pia akasema sehemu anayoijua kuwa ninzuri na rahisi,hapo ndio shida ilipoanzia,ugomvi mkubwa uliibuka baina ya wanandoa hao mbele yetu,mke alipigwa,mume akimtuhumu mkewe ni malaya na anapelekwa sehemu hizo na wanaume wengine ndio maana anajua!mengi nilijiuliza hivyo nikaona ni vema niliweke hapa tujadili,hii imekaa kaaje wajamani?
huyo mwanaume ana ufinyu wa akili, utampigaje mkeo? Tena mjamzito? Kwa wivu wa kipuuzi na kutokujiamini? Kwa nini asimuulize amejuaje akapata jibu? Kwani yeye bei za hoteli hazijui? Na kama anazijua amejuaje? Nachukia mijanaume inayogeuza wakezao punching bag
Kwy RED kumbe huwa wanaenda kufanyaje?
......jana nilitembelewa nyumbani na rafiki yangu akiwa na mkewe(mjamzito miezi 6 sasa) na wamefunga ndoa wiki 3 zilizopita,tukapa dinner pamoja na mke wangu na baade usiku tukatoka kumalizia siku sehemu fulani kwa vinywaji....huko tukakutana na baba yake mdogo,mgeni kabisa mji huu hivyo ikabidi atafutiwe g/house kwa malazi,katika kujadili sehemu rahisi mkewe pia akasema sehemu anayoijua kuwa ninzuri na rahisi,hapo ndio shida ilipoanzia,ugomvi mkubwa uliibuka baina ya wanandoa hao mbele yetu,mke alipigwa,mume akimtuhumu mkewe ni malaya na anapelekwa sehemu hizo na wanaume wengine ndio maana anajua!mengi nilijiuliza hivyo nikaona ni vema niliweke hapa tujadili,hii imekaa kaaje wajamani?