tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
WanaJF,
Nawatakia maandalizi mema ya V-Day. Naamini kila siku inatkiwa iwe ya kivalentine.
Ninatatizwa na suala tajwa hapo juu - Mke kubadili jina la ukoo(surname) baada ya kuolewa na kuchukua uko wa mumewe.
Kumekuwa na mabadiliko kwenye suala hili ...
1. wanawake wengine hawabadili kabisa yaani wanabaki na majina yao ya ukoo kama kabla hawajaolewa
2. wanawake wengine wanabadili kwa kuungisha majina yote mawili. mfano Mr. K. Ali ana mchumbia Miss. M. John baada ya kuolewa Mrs. L . John-Ali.
3. Wengine wanaachana na majina yao, kwa mfano wa 2. atakuwa anaitwa Mrs. M . Ali
1. Je kuna umuhimu gani wakubadili au kutobadili?
2. Madhara yake ni nini?
3. Historia yake ilianza lini na wapi?
Asanteni
Nawatakia maandalizi mema ya V-Day. Naamini kila siku inatkiwa iwe ya kivalentine.
Ninatatizwa na suala tajwa hapo juu - Mke kubadili jina la ukoo(surname) baada ya kuolewa na kuchukua uko wa mumewe.
Kumekuwa na mabadiliko kwenye suala hili ...
1. wanawake wengine hawabadili kabisa yaani wanabaki na majina yao ya ukoo kama kabla hawajaolewa
2. wanawake wengine wanabadili kwa kuungisha majina yote mawili. mfano Mr. K. Ali ana mchumbia Miss. M. John baada ya kuolewa Mrs. L . John-Ali.
3. Wengine wanaachana na majina yao, kwa mfano wa 2. atakuwa anaitwa Mrs. M . Ali
1. Je kuna umuhimu gani wakubadili au kutobadili?
2. Madhara yake ni nini?
3. Historia yake ilianza lini na wapi?
Asanteni