Mke atuhumiwa kuua waume zake, mjamzito na mtoto kwa sumu

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,603
99,622
Jamaa yetu mmoja baada ya kumalizana elimu ya kidato cha nne, Kisha kupitia VETA kusomea mambo ya umeme aliamua kujiunga jeshi la wananchi. Miaka 8 tu baada kukaa jeshini akafukuzwa jeshini kwa matatizo ya kinidhamu.

Baada ya kurudi mtaani maisha yakawa magumu Kiasi chake ukzingatia alikuwa na MKE na mtoto mmoja na hakujiandaa kivyovyote kama angeweza kuachishwa kazi.

Mungu Si athuman ktk omba omba kazi huku na kule kwa vyeti vyake vya VETA akaja kufanikiwa kupata kazi kwenye kiwanda kimoja cha simenti hapa Dar. Alifanya kazi kama mtu wa chini kwa miaka 4 baadae akaja pandishwa cheo na kuanza kulipwa vizuri pale kiwandani na maisha yake na familia yake yakaenda Safi.

Kuna kipindi akaja kuumwa sana appendix, ikabidi akafanyiwe operation. Miongoni mwa waliokuwa karibu nae hospitali pale akiuguzwa alikuwa ni nesi mmoja ni single mother yuko kwenye early 30s. Wakajikuta wamependana sana, mpaka jamaa anapona anaruhusiwa pale hospitali tayari yule nesi keshakuwa Mchepuko wake...
 
Mapenz yalipokolea Mchepuko yule akawa anataka aolewe kabisa awe MKE mdg maana dini ya jamaa inaruhusu. Jamaa akamuahid atalitimiza ila ampe MuDA kwanza mahusiano Yao bado machanga sana na kuna vitu havielewi khs baba wa mtoto wake uyo alienae. Yule nesi akamwambia kua baba wa mtoto wake aliekua mme wake alishafariki dunia anamlea mtoto yule peke yake.

Jamaa baada ya kufatilia akagundua baba wa mtoto wake yupo Hapa Hapa mjini,Tena wanafanya wote kazi hospital moja. Alipomrudishia mrejesho huyo nesi wake mchepuko, akapanik na kubadili statement kua alimaanisha aliefariki Ni mume wake wa ndoa, huyo anaemsema Ni walizaa wote TU ila hawakuoana. Wanafanya wote kazi ila Hawana mahusiano Tena ya kimapenzi, Kama mawasiliano Ni yakazi TU maana mtoto hata matunzo hatoi.

Jamaa alipokuja kuomba USHAUR kwetu wa kumuoa uyo Mchepuko na Hizi mikaganyiko za wanaume zake akatusimulia, wadau wakawambia asitishe kwanza kumuoa japo dini inaruhusu maana mahusiano yake ya zamani na haya ya Sasa na uyu mfanyakaz na mzazi mwenzie Yana walakini sana na inaonekana mwanamke huyu hajatulia vizur.

Kwamba aliolewa Kwa ndoa na mme wake ambae Ni Mwalimu ila hawakupata mtoto na uyo ticha akafa kwa kujiua (huenda Ni stress za mapenzi kutoka kwa mkewe zilimuua).

Kisha hata mwaka uliofata tangu mume wake afariki akaenda kuzaa na mwanaume mwingine. Kibaya zaidi mwanaume mwenyewe Ni mtu wa pale pale kazin kwake ambae Ni daktari. Japo wameachana Ila inaleta walakini.usikute uto ticha aliwafumania akanywa sumu akajiua wanawake wanasiri nyingi Sana.
Kweli jamaa akawa anasita sana kumuoa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa bahati mbaya huo huo mwaka mkewe akiwa mjamzito miez 6 akaja kuumwa ghafla sana na mimba yake tumboni kutoka. Baada ya mimba kutoka nae mkewe hakuwa na bahati nzuri alipata coma akazima gafla hospitali na hakuchukua MUDA Sana nae akapoteza maisha. Jamaa akabaki mgane.

Baada ya MKE wake kufariki mwaka na nusu mbele jamaa ikabidi amuoe Mchepuko wake huyo nesi rasmi kwa ndoa ili waishi pamoja na wamlee pamoja mtoto wa marehemu MKE wake pamoja na mtoto wa huyo daktari mfanyakazi mwenzie na huyo nesi.

Maisha yalienda vizuri sana jamaa kapata sana pesa, kanunua viwanja kadhaa, nyumba kadhaa na mali nyingine kadhaa. Sasa kuna kipindi huyo nesi wake akaja kuwa mjamzito. Yule nesi alikuwa na wivu balaa, jamaa alikuwa hapumui. Wivu sio wivu, kisirani sio kisirani , jamaa alikosa Raha na Uhuru ndani ya ndoa yake.

Mwanamke anahitaji MuDA wote awe nae, Anampangia mpaka marafiki wa kuwa nae, ndugu zake wakija kwake mke huyo anafukuza. Ugomvi kidogo mke wake anatishia kama vipi waachane.

Jamaa alipokuja kuomba USHAUR tukamwambia "itakuwa mimba hiyo inamsumbua, mvumilie TU akijifungua atakaa sawa". jamaa akasema "sawa"

Baada ya nesi kujifungua na kurejea kazini tabia zile za wivu wivu na kisirani zikaisha. Maisha yakaendelea vizuri kwa upendo Kama kawaida. Hawakukawia sana mtoto wa jamaa (yule wa marehemu MKE wake) akaumwa sana, kupimwa akakutwa ini lake lina shida, akatibiwa sana miezi miwili mfululizo ikashindikana na bahati mbaya mtoto yule akafariki dunia tukazika msiba ukaisha. Jamaa akabaki na mkewe huyo nesi na watoto wake wawili (yaan mmoja wa daktari, mwingine wa kwake huyo aliejifungua)...
 
Miezi kadhaa mbele ndugu mmoja wa yule nesi mkewe akaja kupata kesi. Jamaa kajitoa sana kuchangia ile kesi ili shemeji yake (Kaka ake nesi) amalize kesi mpaka kaishiwa pesa. Nesi akawa anataka jamaa auze nyumba mbili za ufukweni ili akamkomboe Kaka yake kwenye kesi. Jamaa akasema hiyo ni ngumu sana. Baadae akaja kusikia pale ufukweni kuna mtu kanunua nyumba moja kimya kimya. Jamaa kamfata mnunuzi kweli mnunuzi akakiri kauziwa na nesi.

Jamaa katufata kweli tukasema hapa shemej kakosea, inabd TU aambiwe ukweli. Nesi kuitwa kakiri kweli kauza nyumba moja ila kajitetea kua ilikuwa kwasababu ya kesi ya Kaka yake angefanyaje na nduguzake wote wameshaishiwa. Na mmewe anamweleza hatak kumuelewa. Tukamwambia hapa kweli meji umekosea,omba radhi.

Ila kwasababu Kaka yako alishatoka kwenye kesi kwa kulipiwa hiyo pesa, tukasema sio mbaya jela sio kuzuri, hizi pesa zinatafutwa msamehe TU mkeo hizo pesa watajichanga hao ndugu zake watarudisha kdg kdg. Jamaa akakubali na maisha yakaendelea kama kawaida.

Hawakukaa sana jamaa akaanza kuhisi mkewe kama anamcheat na yule mzazi mwenzie Dokta. Kwamba MKE anachelewa sana kurudi na kuna siku kachelewa kurudi akamtext jamaa kuwa kazi ni nyingi ataunganisha night shift mpaka asbh jamaa akakubali.

Ilipofika usiku simu ya mkewe ikawa haipatkani mpaka kunakucha. Alfajiri jamaa anaenda kazini kwa mkewe kuulizia akaambiwa mkewe hakua night shift aliondoka Jana yake saa mbili usiku na alibebwa kwenye gari na mfanyakazi mwenzie ambae Ni dokta wa pale pale (jina Ni yule yule mzazi mwenzie). Jamaa machale yakamcheza. Mkewe alikuja kurud nyumbani tayari ni saa 6 mchana
 
Alipomfata mkewe kumwambia mkewe akakazania kuwa yeye alikuwa kazini hayo ni maneno ya watu kama hamuamini basi TU, na Hana mawasiliano yoyote na huyo mzazi mwenzie. Labda kama anamtauftia visababu. Ila Kama amemchoka haina shida waachane TU haina shida kila mtu ashike hamsini zake na sio kutafutiana visababu bila ushahidi.

Jamaa alipokuja kuomba USHAUR tukamwambia cha kufanya Haina haja ya kumshupalia. Kama kweli anacheat itajulikana TU, wee mpeleleze tu utajua njia ya mwongo fupi. Baadae lawama za jamaa kwa mkewe zilipozidi sana tukamshauri kwanini asimhamishe kikazi mkewe akae mbali na huyo mzazi mwenzie maana unakoelekea utakuja kujiua au kuua mtu bure. Huu wivu umekuwa too much. Jamaa akasema atalishughulikia.

Baada ya kushughulikia uhamisho wa hospitali za hapa hapa Dar ikashindikana, tukamshaur kwanini asimfanye mama wa nyumbani tuondoe hizi Kelele kelele. Kwani huna wee Uwezo wa kuhudumia familia peke yako huna?

Jamaa akasema Uwezo anao ila hilo haliwezekani anaamini ktk MKE pia kufanya kazi maana anaweza kufariki watoto wake wakapata shida. Tukamwambia haina shida basi mtafutie hata biashara ndogo ndogo afanye maisha yasonge. Hilo Jamaa akaafiki. Hakukawia sana jamaa Katafuta location nzuri Sana akafungua pharmacy ya jumla na kumkabidhi huyo nesi mkewe aisimamie na kule Serikalini mkewe akawa kaacha kazi rasmi na amani ikawa imerejea kwenye ndoa yake. Mambo Ni fresh.

Kiukweli amani ilirejea kwenye familia Yao mpaka wote tukafurahi. Mahaba yakazidi mpaka Mkewe akawa ananunua chakula anampelekea lunchbox kazini kwa jamaa kiwandani. Wanatoka out kila Mara. Wanaenda vacation kila Mara, kupostiana status n.k

Sasa Kuna kipindi tuko bar tunakunywa na jamaa zetu wengine, jamaa akatoka mezani na kwenda kujibamiza chini kibarazani akiugulia maumivu ya tumbo. Tukajua Labda kwasababu jamaa hajazoea pombe kali, pombe kali imemchoma maini. Tukampa maji ya kunywa na kuongeza nyama mezani ili kilaji kiendelee. Jamaa akawa kama kapata nafuu. Alipokunywa Tena kama round mbili hivi jamaa akawa Kama kaanguka kazima.

Mambo ya ulevi,
Tukajua jamaa yetu pombe zimemzidia hebu tumpeleke kwake na kumkabidhi kwa mkewe. Kesho yake tukamjulia hali akasema anaskia mwili wote unauma. Tukamwambia zitakua ni hang over hizo ulilewa sana ila utakaa sawa TU. Siku ya 3 akasema kichwa kinauma, mgongo unauma na mbavuni bado panauma.

Tukamwambia hapo mbavun itakuwa ulipojibamiza kibarazani pale bar ulivolewa. Utapona TU usiwe na wasiwasi mwamba. Jamaa akasema sawa...
 
Siku ya 5 mkewe akatupigia kuwa jamaa kazidiwa na muda huu kalazwa kituo Cha afya jirani. Kweli tumeenda kumuona jamaa analalamika maumivu Yale Yale kichwa, mgongo na mbavu. Dokta akatwambia huyu jamaa itakua anasumbuliwa na ini maana mkewe kasema alikunywa pombe kali sana hivi karibuni. Tukakiri ni kweli dokta. Dokta akashauri inabidi apelekwe hospital kubwa anaweza kupata msaada zaidi. Kweli jamaa tukampeleka Aga Khan.

Kumfikisha Aga Khan wakamchukua vipimo na kuonyesha kuwa jamaa anasumbuliwa zaidi na figo japo ini nalo linaonekana lina shida ila sio Sana Kama ilivyo kwa Figo. Tukauliza shida nini kwenye Figo dokta akasema Figo lake linaonyesha lina calcium oxalate kwa wingi hali inayomsababishia ugonjwa wa kuwa mawe kwenye figo (kidney stone). Hivyo wakampa dawa kadhaa na baada ya wiki Moja jamaa akaruhusiwa kurudi nyumbani na akashauriwa aachane na kunywa energy drinks au pombe kipindi hiki. Kweli jamaa karuhusiwa.

Baada ya kumrudisha jamaa nyumbani, wiki Moja tu baadae tukaskia kwamba jamaa karudishwa Tena Aga Khan. kazidiwa Tena. Kufika tukaambiwa jamaa hali Ni mbaya sana Figo zote mbili zote hazifanyi kazi. Hapa Anapaswa apelekwe Muhimbili afanyiwe dialysis, ikishindikana itabidi abadilishiwe Figo. Duh! Wote akili zikaturuka ...
 
Kweli wadau wake tukajichanga na jamaa kapelekwa Muhimbili kufanyiwa hiyo dialysis. Sasa Baada ya hiyo dialysis jamaa akarudishwa nyumbani akiwa na nafuu kiasi chake na baada ya kuruhusiwa tukaomba tupate daktari private wa figo wa kuwa anakwenda kumuangalia mara kwa mara pale nyumbani kwake. Kweli tukapata na akawa kila mara anaenda kwake kuangalia afya yake.

Hatukukaa sana yule daktari private akasema jamaa inavoonekana ana mchafuko mkubwa sana wa damu na tukizembea tunampoteza. Huyu arudishwe tena Muhimbili wajue shida nini. Huenda huo mchafuko ndio unasababisha hata ini nalo linaonekana kuwa na lina shida.

Kweli jamaa karudishwa Muhimbili, Muhimbili wakabaini mchafuko hauko kwenye figo TU, bali ni mwili mzima. Yaani Moyo, Figo, kongosho, ini na mapafu vyote vinafanya kazi chini ya kiwango kutokana na huo mchafuko wa damu. Hapa kama pesa ipo jamaa apelekwe Nairobi afanyiwe dialysis ya kusafishwa damu nzima ya mwili wake wote. Pale mashine hamna. Chap wadau wakajichanga Ikatafutwa ndege ya kukodi na jamaa kapelekwa Nairobi kwenye matibabu.

Kufikishwa Nairobi, Vipimo vikaonyesha kweli damu yake yote imechafuka sana.
Na sumu inayoonekana kwenye damu Ni ETHLEYE GLYCOL na imesambaa kwenye organ zote muhimu mpaka kwenye moyo. Madaktari wakasema huyu tulimchelewesha sana na kiwango cha calcium oxalate alichokuwa nacho kwenye figo hakikuwa na hatari sana kama hii ethylene glycol aliyonayo kwenye damu kwa sasa.

Cha haraka haraka huyu mgonjwa inabidi afanyiwe full bood dialysis ya mwili mzima.

Kweli jamaa wakaanza kumfanyia,
Katikati ya kumfanyia dokta akawa anauliza Hizi sumu kazipata wapi maana kesi za hivi ni adimu sana kutokea hasa kwani nchi zetu hizi.

Ikaulizwa kazi yake ni ipi, akaambiwa kwenye kiwanda Cha simenti mambo ya umeme. Ikaulizwa anapendelea kunywa energy drinks au pombe , akaambiwa ndio vyote anakunywa maana kweli jamaa pombe kali anapenda kuzimix na energy drink. Kwa siku jamaa alikuwa anaweza kugonga Hadi energy 4.

Basi dokta akahitimisha kuwa ile calcium oxalate huenda imetokana na mavumbi ya kiwandani ukimix na unywaji holela wa hizo energy drinks. Wote tukaduwaa.
 
Suala likabaki hii sumu ya ETHYLENE GLYCOL kaipataje pataje jamaa,
Sasa kwa maelezo ya Dokta hii sumu inapatikana sana kwenye mafuta ya breki au hydraulic fluid. Na kwa mazingira ya pale kazini kwake jamaa hajawai hata kuyashika mafuta ya breki, hajawahi hata kushika spana, hafanyi biashara ya spea za magari au pikipiki. Hili Suala likabaki vichwani kaipata pataje sumu Hii.

Sasa usiku ule ukapita jamaa Yuko kwenye mashine, ila aliyekuwa anamuuguza ni mkewe huyo nesi.
Kesho yake asubuhi Dokta yule aliyekuwepo akawa anakabidhi zamu kwa dokta mwingine na kumuachia majibu ya Hali aliyonayo mgonjwa sasa Baada ya dialysis ya Jana Yake kufanyika vizuri ili huyu aendelee na zoezi Hilo Tena leo hii.

Cha ajabu Sasa,
Dokta huyu mpya ikabidi apime kiwango cha sumu iliyoko kwenye damu ili ajue anakwenda kwa kasi ipi. Akakuta kiwango Cha ethylene glycol badala ya kupungua kimeongezeka zaidi. Ikabd kumpigia dokta aliemkabidhi zamu inakuaje hii. wakabishana Sana huyu akasema nakuja kuthibitisha mwenyewe kwa macho kama ni kweli maana niliacha sumu imepungua sana tu. Haiwezekani unambie imeongezeka.

Dokta yule kufika, kapima mwenyewe kakuta kweli kiwango kimeongezeka.
Ubishi ukaishia pale ila Akabaki na mshangao sana inawezekana vipi ethylene glycol iliyopungua ijiongeze automatic kwenye damu na Hakuna chochote mgonjwa huyu kala Wala mazingira ya humu hayako exposed na hiyo sumu. Anyway akabidi kuendelea na dialysis ili kuokoa kwanza maisha ya mgonjwa wake.

Hakukawia sana kumbe tayari sumu ishasambaa mpaka kwenye ubongo na ishakuwa too late mgonjwa wetu yule akafariki dunia.
 
Baada ya dokta kutupa taarifa ya jamaa kufariki, akatwambia hii sio hali ya kawaida. Anashauri uchunguzi ufanyike nini kimepelekea sumu ya ethylene glycol iongezeke huenda Kuna mtu humu ndani alikuwa anaiongeza kwa mgonjwa.

Wote tukamtizama MKE wa jamaa na dokta kwa mshangao maana mke wa jamaa na dokta ndo walikuwa na mgonjwa huko chumban muda wote, sisi hatuhusiki.

Anyway wenye busara zao wakashauri lishatokea la kutokea turudishe TU msiba Dar. Haifai kulaumiana na kunyoosheana vidole mtaleta uadui bure na marehemu hata hajapumzishwa. Kweli msiba ukarudishwa Dar.

Cha kushangaza Sasa,
Siku maiti imefikishwa Airport Dar MKE wa jamaa akaja kupokewa na mzazi mwenzie yule dokta. Na heka heka za msiba mpaka maiti inafikishwa nyumbani kisha makaburini mjane wa marehemu akawa hayuko na mtu mwingine bali MuDA wote yuko na yule mzazi mwenzie Dokta na ndo anambembeleza huku kapiga TU miwani yake nyeusi hata chozi hadondoshi. Watu wakaona minong'ono ikawepo wenye hekima tukapotezea

Sasa tukiwa makaburini tunazika.
Kuna jamaa mmoja wa kawaida sana akauliza "hivi mna uhakika aliefariki kweli ndo mume wa huyo dada mwenye miwani nyeusi?"
Tukasema "ndo mumewe, tena wa ndoa kabisa huyo"

Jamaa akabisha na kusema sio kweli huyo alienae pembeni ndo mumewe maana aliwahi kuwakamata wanafanya mapenzi ndani ya gari kwenye parking ya shopping mall Moja maarufu sana hapa mjini kama miezi kadhaa imepita wakasema wao ni wanandoa na wakampoza elfu 10 jamaa akakausha zake mpaka wakamaliza haja zao.

Anyway hatukutaka majibizano mengi tukakubali TU maana tuhuma za jamaa kumhisi mkewe alishawai kutwambia tukapotezea. Minong'ono mingi ya hivi msibani haileti afya ni kuwaumiza wafiwa hebu tumuache marehemu apumzike zake.

Sasa Baada ya msiba na watu kutawanyika, hakukua na vikao vingi sana maana jamaa hakuacha wosia wowote ule na Mali nyingi za marehemu hazikujulikana haraka na nyingine zilikuwa zimetawanyika sana.
Ndugu Wakajipa MuDA kuwa zitafuatiliwa zijulikane zote zilipo na madeni yote ya marehemu yakusanywe.

Kisha ndo kikao cha mirathi kikae wapange na wagawe vitu vinavyoeleweka.
Ila Kwa sasa Mke wa jamaa ndio kapewa rungu la kusimamia mali zilizopo zinazojulikana za marehemu.
Na Kaka mkubwa wa marehemu akapewa rungu la kufuatilia mali zote na madeni yote ya marehemu Kisha atatuita tukae kikao cha pamoja cha mirathi ili wagawe mali ili maisha mengine yaendelee. Tukasema "POA"

Sasa Kuna ndugu yake mmoja marehemu alikuja kutoka ughaibuni tayari tushazika na watu washasambaa. Ikabidi atutafute Watu wake marehemu tuliokuwa na mpaka dkk za mwisho. Akapewa taarifa ya marehemu mpaka Kaka yake anafariki dunia ila jamaa akaitilia sana mashaka. Akaambiwa Hali ya mjane na yule mzazi mwenzie pale msibani, akaunganisha na maneno ya yule mlinzi wa shopping mall siku ile msibani.

Basi akatuita tena jamaa zake wa karibu na marehemu kaka yake akatuomba mwongozo na ushaur inakuaje inakuaje, nasi tukamwambia yote hayo tunayajua kaka ila tunashauri tumwache tu marehemu apumzike.

Jamaa Akampigia dokta wa Nairobi aliyemtibu mara ya mwisho kaka yake naye majibu aliyompa yakamtilia zaidi mashaka ndugu yake kafa kifo cha utata sana. Basi jamaa akaahidi uchunguzi utafanyika kwa gharama yoyote ile. Kama Kuna foul play yoyote ile imefanyika basi waliohusika lazima wa PAY THE PRICE.

Sasa wiki 2 tangu jamaa azikwe,
Msimamizi wa mirathi Kaka mkubwa wa marehemu akaleta malalamiko kuwa kuna nyumba ya marehemu iko ufukweni kaenda kuifatilia kaambiwa imeshauzwa tayari tena wiki hii hii msiba bado unaendelea hata maturubai ya msiba bado hawajarudisha. Anasema alipomfata Mjane wa marehemu kaja juu wakajibizana mbovu, maelewano hayakuepo.

Ikabidi wadau tumfate Mjane wa marehemu wamuite na kumhoji inakuaje kuaje anauza mali za marehemu hata 40 haijaisha wala mirathi hajageiwa.
Mjane akajitetea kuwa nyumba hiyo ilishauzwa tayari na marehemu mwenyewe wiki hii ndo jamaa kamalizia hela yake anayodaiwa iliyobaki.

Tukamwambia shemeji hicho kitu ni uongo, nyumba za ufukweni zilikua mbili, wewe uliuza nyumba moja ili kumkomboa Kaka yako aliyekuwa jela. Na tunakumbuka uliibuka ugomvi mkubwa sana na wengi hapa tulikuwepo tukisuluhisha. Ufukweni tunajua Ilibaki nyumba moja tu pale na tunajua haikuuzwa mpaka jamaa anaumwa na kufariki dunia.

Ubishi ulivozidi,
Ikabidi pale pale yule aliyeuziwa aitwe aje aseme ukweli, alieuziwa alipokuja akaja na statement tofauti kabisa kuwa yeye kalipa cash, hakujawai kuwepo mauziano yoyote ya awali. Basi mjane akaja juu sana kuwa sisi marafiki wa marehemu na ndugu wa marehemu tumemuazimia tunamuwinda kila kona na kikao kile kikawa kimevunjika.

Sasa Baada ya kikao kile Kaka marehemu aliyetoka ughaibuni akatuita wachache pembeni akasisitiza kuwa hapa lazima Kuna foul play, hii Kasi ya kuuza mali za marehemu Kaka yake, mahusiano na mzazi mwenzie hii sio hali ya kawaida.

Mghaibuni Akaenda kuripoti moja kwa Moja polisi ili uchunguzi uanze Mara Moja. Kweli polisi wakaanza Mara moja uchunguzi wa kifo Cha marehemu Kaka yake.
 
Breki ya kwanza uchunguzi wakaanzia kwenda kusachi kwenye nyumba ya huyo marehemu Kaka yake.
Kule wakapata vifuatavyo:-
  • Risiti ya manunuzi ya Gari jipya BMW X3 na kadi yake kabisa kwenye dressing table yao.
  • Kikopo kdg cha 250mls Cha hydraulicfluid kwenye begi la mjane lile alilotoka nalo Nairobi
  • Mabaki ya nguo za marehemu zimechomwa kwenye shimo la taka
  • Risiti za ya manunuzi ya blender yani kusagia juice miezi 3 marehemu hajafariki.
  • Post card ya kimapenzi kutoka kwa yule dokta ambae mzazi mwenzie

Sasa Baada ya hivyo vitu ikabidi mjane aitwe polisi kuhojiwa inakuaje kuaje,

a) Kuhusu ile BMW X3
Akasema ni kweli alinunua ili imsaidie mizunguko ya hapa na pale maana gari aliyonayo inamsumbua iko chini Sana na hizi mvua inagusa mno. Alipoulizwa gari ilipo akasema kwa sasa iko garage inafanyiwa service. Wakamwambia Mbona wanajua anayo dokta mzazi mwenzio na ndie anaitumia toka MDA. Akasema atakuwa keshaichukua maana hivi karibuni aliomba kuazima na alishamwambia iko garage ikitoka atampa kwasababu ya uchungu wa msiba ndo maana hajaifuatilia. Itakuwa dokta kaichukua BMW mwenyewe garage bila kumwambia yeye. Ikaacha question mark kibao.

b) Kuhusu kikopo cha hydraulic fluid 250mls
Alipoulizwa akajitetea kuwa ile sio hydraulic ni mafuta anayochanganyia losheni yake kujipaka. Akaulizwa kwanini alienda nayo Nairobi. Akasema ndio alienda nayo maana loshen yake anaenda nayo popote kujipaka. Akaulizwa uliinunua duka gani maana hizi hazipatikani Maduka ya vipodozi ni kwenye spea za magari na mashine tu, akajitetea kuwa huwa anaagiza online na Istagram. Alipoulizwa kuhusu huyo anayemuagizia hydraulic akasema kamsahau jina. Namba yake hajasevu. Basi maaskari wakasema watayapeleka kwa mkemia yakapimwe kama kweli ni hydraulic au ni kipodozi. Basi hyo interview ikaacha question mark kibao.

C) Kuhusu risiti ya blenda la juice
Alipoulizwa akasema ilinunuliwa zamani na aliitumia kutengeneza juice ya mgonjwa pale nyumbani kipindi chote anaumwa maana alishauriwa matunda kwa wingi.

D) Kuhusu post card ya kimapenzi kutoka kwa yule Dokta
Alipoulizwa akasema ni mzazi mwezie Hawana mahusiano yoyote, Ni card ya kawaida sana hasa kipindi hiki ambacho kafiwa na mumewe. Na sio hiyo TU Zinakuja post card nyngi sana za pole pale kwake.

E) Alipoulizwa kwanini kachoma nguo za marehemu mapema shimoni hata 40 haijaisha akasema kaambiwa ugonjwa wa ini unaambukiza haraka, maana hata marehemu mwenyewe mtoto wake na alikufa kwa hilo hilo ini. Maaskari wakaweka question mark.

Sasa Kaka wa ughaibuni aliporudishiwa mrejesho wa mahojiano, ikabidi ampigie dokta wa Nairobi kuuliza kuhusu ini kuambukizwa kwa nguo. Nae akasema hiyo haipo na akasisitiza kuwa hata mwanae kama alikufa kwa ini huenda ikawa ni hiyo hiyo sumu ya ethylene glycol. Huenda Kuna foul play pia hapo kwa huyo mtoto. Uchunguzi ufayike.

Basi uchunguzi ukaenda hadi hospitali aliyolazwa yule mtoto wa marehemu. Dokta wa pale akasema hakumpima Moja kwa moja kuthibitisha alisumbuliwa na ini kivip bali alitibiwa kutokana na dalili hadi pale umauti ulivomkuta mtoto yule. Alipopewa mrejesho ule yule dokta wa Nairobi akashauri kama uwezekano upo mtoto afukuliwe na mifupa ile iletwe Nairobi ipimwe maana kama ethylene glycol IPO itajulikana tu. Polisi wakaona hapana hebu kwanza uchunguzi wa baba mtu ukamilike ndo tutafuata huo wa mtoto.

Ikabidi afuatwe mzazi mwenzie na mjane, yaani yule dokta nae ahojiwe. Dokta kaulizwa khs ile gari BMW, akasema ile gari ni yake mwenyewe. Alipoulizwa kuhusu kadi na umiliki alete athibitishe akasema kuwa alinunua kwa mtu ila hajaimalizia hela ndo maana hajapewa kadi yake rasmi.

Polisi walipomwonesha nakala za risiti ya malipo na kadi ya umiliki majina yanasoma yule mjane, dokta akasema huyo ndo alimuuzia ila hajammalizia hela yake yote.

Wakamuuliza kuhusu kuwa mahusiano nae kimapenz, dokta akakana kata kata. Alipoambiwa kuhusu kukutwa parking wakifanya mapenzi akakana, Hadi alipoitwa mlinzi wa parking dokta akamkana kuwa hamjui anasingiziwa.

Akaulizwa kuhusu jumbe yoyote ya kimapenzi, akasema hajawai mtumia. Basi polisi wakamwonesha ile post card na ndani imeandikwa kwa mkono wake mwenyewe. Pale dokta akawa mpole akasema yule mjane kweli napiga ila ni kisela maana ni mzazi mwenzangu kama mnavojua, ila sihusiki na mauaji yoyote ya huyo marehemu mme wake. Maaskari wakamwambia atulie tuli bado uchunguzi wake unaendelea.

Basi maafande ikabidi waende kazini kwa jamaa kiwandani nako kufanya mahojiano. Kule wakaambiwa kuwa marehemu alikuwa akiletewa juice ya matunda na mkewe kila Mara. Wakaulizwa kama kuna yeyote aliwahi hata kuinywa kdg. Akajitokeza kijana mmoja na secretary wake marehemu walkuwa wanamiminiwa kwenye glass wanakunywa siku moja moja. Basi wakakumbuka kuhusu lile Blenda la juice na pia kule Nairobi MKE wa jamaa alienda nalo.

Kingine wakazikumbuka sifa za hydraulic fluid kuwa huwa haina harufu yoyote, haina rangi yoyote, ila ina ladha ya utamu utamu kiasi kwamba ukiimix na juice ya matunda ni ngumu sana mtu akiinywa kugundua Kama kuna kitu umechanganyiwa ndani. Ila madhara yake kwenye organ za mwili ni hatari sana Ila dozi ikizidi sana unakufa haraka sana.

Askari Mwingne akahoji,
Vipi Kama mfano jamaa aliamua kuinywa ili ajiue kusudi kwa sababu mbalimbali Labda?. Hoja ikaja kwamba Hii ukiipiga non stop unakufa onspot. Na kwa marehemu sumu aliyokutwa nayo Kama angekuwa kainywa yote kujiua hata Nairobi wasingemfikisha angeshafia njiani. Hii sumu marehemu alikuwa anapewa kidogo kidogo ndo maana kaumwa muda mrefu. Halafu kingine hata madaktari kule Nairobi walishalitilia mashaka inakuaje sumu inaongezekea hospitali?. Basi ikabidi uchunguzi uendelee.

Basi ikabidi wale jamaa waliokunywa pia ile juice nao wapewe appointment waende kituoni ili wapelekwe hospitali wachukuliwe sampuli zao za damu ziende haraka nazo zikapimwe.

Sasa Baada ya majibu ya sampuli kurudi ikaonesha wote wawili waliokunywa ile juice tayari wanayo ethylene glycol kwenye damu yao. Wakapimwa na ambao hawakuiywa, wakaonekana wako salama.

Basi yule secretary wake na marehemu ndo ikaonekana iko nyingi zaidi na akapelekwa Nairobi kwa michango ya watu wengi wengi kwa ajili ya hemodialysis na yule kijana nae ikaonekana imo ila ndogo Sana yeye kalazwa pale Muhimbili wengi wamemchangia na anaendelea na matibabu vizuri.

Arrest warrant ikatoka MKE na yule dokta mzazi mwenzie wakamtwe kwa tuhuma za kesi ya kumuua jamaa kwa sumu kidogo kidogo na kutaka kuwaua wale jamaa wa kiwandani wawili. Dokta alivopewa mrejesho ule kuwa sasa wanapelekwa mahakamani kweli akakiri kuwa hausiki labda yule mwanamke pekee.

Dokta ktk panic akasema kuwa yule mwanamke alikuwa akisema mara nyingi kuwa anataka mume wake afutike duniani ili waishi wote kwa raha, sema yeye hakulitilia maanani.

Dokta akaongeza kuwa mwanamke yule aliwahi pia kumwambia kuwa mtu yeyote akimvuruga yeye haoni tabu kumuua na kuna siku waligombana mwanamke yule akamchoma dokta kisu cha tumbo akaponea chupu chupu alama ya kovu ipo akaionesha ,ila hakuiripoti popote alichukulia ni wivu tu wa kawaida kwenye mapenzi.

Upelelezi ukaenda mbali zaidi walipopekua Simu ya mjane wa marehemu wakagundua namba ya fundi gari mmoja, alipopigiwa akajitambulisha kuwa yeye ndio fundi gari wa familia ile ya marehemu. Akaulizwa kuhusu zile calls akasema alipigiwa na mjane wakakague gari yard ambayo ndo ile BMW.

Fundi alipoulizwa ya hydraulic fluid akasema aliwahi kuuliziwa tu na mjane wa marehemu kuwa atayapataje ila fundi akamuelekeza tu kwenye duka yanakouzwa. Polisi Walipoenda kwenye lile duka muuzaji akamwambia kweli anamjua mjane wa marehemu huwa anapeleka gari lake garage ile ya yule fundi ila aliwai kuja kuulizia hydraulic fluid ila nilimuunganisha na duka la jirani maana sampuli ya hydraulic aliyokuwa anaitaka sikuwa nayo mimi. Alikuwa nayo jirani yangu.

Duka la jirani alipofatwa na kuulizwa akaambiwa kuwa mjane wa marehemu keshakuja pale mara nyingi sana kununua sema hakujua kama yalikwenda kufanyiwa uhalifu. Anasema alimwambiaga tu kuwa kuna gari yake moja akiipaki Zaidi ya wiki inasumbua sana hydraulic kwa hiyo lazima amwage na aweke mpya ndo inatulia. kwa hiyo alikuwa anamuuzia TU.

Alipoulizwa fundi gari wa familia ya marehemu kuhusu shida yoyote kwenye gari za familia ile, fundi akasema hajawai kukumbana na tatizi hilo kwenye gari yoyote ile ya nyumba ile na yeye ndo uzifanyia service gari zao zote hata hiyo BMW kaifanyia service yeye mwenyewe.

Pia Simu ya mjane ikaonesha marehemu saa moja kabla hajafariki na MuDA mfupi baada ya kufariki alimpigia Dokta mzazi mwenzie. Dokta kaulizwa mlikuwa mnaongea nini.
Dokta kajitetea kuwa nusu saa kabla alinambia kuna kitu nimefanya, nilipomuuliza ni kipi akasema atanipigia baadae kisha akakata simu. Nusu saa baada ndo akanambia kuwa jamaa kafariki. Polisi wakahoji wee ni nani upewe taarifa za marehemu kabla ya watu wake wote. Ikaacha question mark.

Sasa Mpaka tunaongea dakika hii
Yule mjane wa marehemu na mzazi mwenzie yule dokta wako selo wanaandaliwa hati ya mashtaka na mashahidi ndo kama hao wengi TU kama waliotajwa hapo juu kwenye story nzima na muda wowote nesi mjane na mzazi mwenzie dokta watapelekwa mahakamani kujibu tuhuma zao zinazowakabili.

Ila Sasa za chini chini ni kwamba

1. Hata mume wa kwanza wa huyu nesi mjane wa marehemu alikufa kifo cha magumashi sana maana taarifa zinasema kuwa marehemu alikunywa sumu akajiua kwa wivu wa kimapenzi.
Ndugu wa yule mume nao wamekuja juu wanahitaji uchunguzi maana baada ya Jamaa kufariki MKE aliuza baadhi ya Mali za marehemu kisha akaingia mitini. Ndugu hawakufatilia sana.

2. Kifo cha mtoto wa mtoto wa marehemu kuhusu kuumwa ini na kufa nacho wanataka kichunguzwe. Mifupa ifukuliwe ikapimwe huenda alimpa sumu Hii hii ya ETHLEYE GLYCOL.

3. Kifo cha MKE wa marehemu mjamzito khs mimba yake kutoka gafla na kuumwa mpaka kufa yeye na hicho kichanga chake nacho wadau wanataka kichunguzwe. Maiti ifukuliwe mifupa ikapimwe huenda nao walinyweshwa sumu kidogo kidogo.

Kiukweli hii kitu imenistua Sana,

Imenifanya niwaze mengi Sana kuhusu mustakabari wetu wanaume kuhusu familia, Michepuko, mahusiano,ndoa na maisha mengine kiujumla.

Nawasilisha wakuu
 
Breki ya kwanza uchunguzi wakaanzia kwenda kusachi kwenye nyumba ya huyo marehemu Kaka yake.
Kule wakapata vifuatavyo:-
-risiti ya manunuzi ya Gari jipya BMW X3 na kadi yake kabisa kwenye dressing table yao.
-kikopo kdg cha 250mls Cha hydraulicfluid kwny begi la mjane lile alilotoka nalo nairobi
-mabaki ya nguo za marehemu zimechomwa kwenye shimo la taka
-risiti za ya manunuzi ya blender yani kusagia juice miez 3 marehemu hajafarik.
-post card ya kimapenz kutoka kwa yule dokta ambae mzazi mwenzie

Sasa Baada ya hivyo vitu ikabd mjane aitwe polisi kuhojiwa inakuaje kuaje,

a) khs ile bmw X3
akasema Ni kweli alinunua ili imsaidie mizunguko ya hapa na pale maana gari aliyonayo inamsumbua iko chini Sana na hizi mvua inagusa mno. Alipoulizwa gari ilipo akasema kwa sasa iko garage inafanyiwa service. Wakamwambia Mbona wanajua anayo dokta mzazi mwenzio na ndie anaitumia toka MDA,
akasema atakua keshaichukua maana hivi karibun aliomba kuazima na alishamwambia iko garage ikitoka atampa kwasababu ya uchungu wa msiba ndo maana hajaifatilia. Itakua dokta kaichukua bmw mwnyw garage bila kumwambia yeye. Ikaacha question mark kibao.

b) khs kikopo Cha hydraulic fluid 250mls
Alipoulizwa akajitetea kua ile sio hydraulic Ni mafuta anayochanganyia losheni yake kujipaka. Akaulizwa kwann alienda nayo Nairobi. Akasema ndio alienda nayo maana loshen yake anaenda nayo popote kujipaka. Akaulizwa uliinunua duka gan maana hizi hazipatkan Maduka ya vipodoz Ni kwenye spea za magar na mashine TU akajitetea kua huwa anaagiza online na istagram. Alipoulizwa khs uyo anayemuagizia hydraulic akasema kamsahau jina. Namba yake hajasevu.
Basi maaskal wakasema watayapeleka kwa mkemia yakapimwe Kama kweli Ni hydraulic au Ni kipodozi. Basi hyo interview ikaacha question mark kibao.

C) khs risiti ya blenda la juice
Alipoulizwa akasema ilinunuliwa zaman na aliitumia kutengeneza juice ya mgonjw pale nyumbn kipind chote anaumwa maana alishauriwa matunda kwa wingi.

D) khs post card ya kimapenz kutoka kwa yule dokta
Alipoulizwa akasema Ni mzaz mwezie Hawana mahusiano yyt Ni card ya kawaida sana hasa kipind hiki ambacho kafiwa na mumewe. Na sio hiyo TU Zinakuja post card nyng sana za pole pale kwake.

E)
Alipoulizwa kwann kachoma nguo za marehem mapema shimon hata 40 haijaisha akasema kaambiwa ugonjwa wa ini unaambukiza haraka,maana hata marehemu mwnye mtoto wake na alikufa kwa Hilo Hilo ini. Maaskali wakaweka question mark.

Sasa Kaka wa ughaibun aliporudishiwa mrejesho wa mahojiano, ikabd ampigie dokta wa Nairobi kuuliza khs ini kuambukizwa kwa nguo. Nae akasema hiyo haipo na akasisitiza kua hata mwanae kama alikufa kwa ini huenda ikawa ni hiyo hiyo sumu ya ethylene glycol. Huenda Kuna foul play pia hapo kwa uyo mtoto. Uchunguz ufayike.

Bas uchunguz ukaenda Hadi hospital aliyolazwa yule mtoto wa marehemu. Dokta wa pale akasema hakumpima Moja kwa moja kuthibitisha alisumbuliwa na ini kivip Bali alitibiwa kutokana na dalili Hadi pale umauti ulivomkuta mtoto yule. Alipopewa mrejesho ule yule dokta wa nairobi akashaur Kama uwezekano upo mtoto afukuliwe na mifupa ile iletwe nairobi ipimwe maana Kama ethylene glycol IPO itajulikana tu .polisi wakaona hapana hebu kwanza uchunguz wa baba mtu ukamilike ndo tutafta huo wa mtoto.

Ikabd afatwe mzazi mwenzie na mjane, yaani yule dokta nae ahojiwe.
Dokta kaulizwa khs ile gar bmw, akasema ile gari Ni Yake mwnyw.
Alipoulizwa khs kadi na umiliki alete athibitishe akasema kua alinunua kwa mtu ila hajaimalizia Ela ndo Mana hajapewa kadi yake rasmi.
Polisi walipomwonesha nakala za risiti ya malipo na Kadi ya umiliki majina yanasoma yule mjane, dokta akasema huyo ndo alimuuzia ila hajammalizia ela yake yote.
Wakamuuliza khs kua mahusiano nae kimapenz, dokta akakana kata kata. Alipoambiwa khs kukutwa parking wakifanya mapenz akakana, Hadi alipoitwa mlinzi wa parking dokta akamkana kua hamjui anasingiziwa.
Akaulizwa khs jumbe yoyote ya kimapenz, akasema hajawai mtumia.
Basi polisi wakamwonesha ile post card na ndan imeandikwa kwa mkono wake mwnyw. Pale dokta akawa mpole.Akasema yule mjane kweli napiga ila ni kisela maana Ni mzazi mwenzangu kama mnavojua,
ila sihusiki na mauaji yoyote ya huyo marehemu mme wake.
Maaskal wakamwambia atulie tuli bado uchunguz wake unaendelea.

Basi maafande ikabd waende kazin kwa jamaa kiwandan nako kufanya mahojiano.Kule wakaambiwa kua marehemu Alikua akiletewa juice ya matunda na mkewe kila Mara. Wakaulizwa Kama Kuna yeyote aliwahi hata kuinywa kdg. Akajitokeza kijana mmoja na secretary wake marehemu walkua wanamiminiwa Kenny glass wanakunywa siku Moja Moja. Basi wakakumbuka khs Lile Brenda la juice na pia kule Nairobi MKE wa jamaa alienda nalo.

Kingine wakazikumbuka sifa za hydraulic fluid kua huwa haina harufu yoyote,haina rangi yoyote, Ila Ina ladha ya utamu utamu Kias kwamba ukiimix na juice ya matunda Ni ngumu Sana mtu akiinywa kugundua Kama Kuna kitu umechanganyiwa ndani.
Ila madhara yake kwny organ za mwili ni hatar sana Ila dozi ikizidi sana unakufa haraka sana.

Askal Mwingne akahoji,
Vipi Kama mfano jamaa aliamua kuinywa ili ajiue kusudi kwa sababu mbalimbali Labda?. Hoja ikaja kwamba Hii ukiipiga non stop unakufa onspot. Na kwa marehemu sumu aliyokutwa nayo Kama angekua kainywa yote kujiua hata Nairobi wasingemfikisha angeshafia njiani.
Hii sumu marehemu Alikua anapewa kdg kdg ndo maana kaumwa MDA mrefu. Afu kingine hata madaktar kule Nairobi walishalitilia mashaka inakuaje sumu inaongezekea hospitali?. Basi ikabd uchunguz uendelee.

Basi ikabdi wale jamaa waliokunywa pia ile juice nao wapewe appointment waende kituoni ili wapelekwe hospital wachukuliwe sampuli zao za damu ziende haraka nazo zikapimwe.

Sasa Baada ya majibu ya sampuli kurudi ikaonesha wote wawili waliokunywa ile juice tayar wanayo ethylene glycol kwny damu yao. Wakapimwa na ambao hawakuiywa, wakaonekana wako salama.
Basi Yule secretary wake na marehemu ndo ikaonekana iko nyingi zaidi na akapelekwa Nairobi kwa michango ya watu wengi wengi kwa ajili ya hemodialysis na yule kijana nae ikaonekana imo ila ndogo Sana yeye kalazwa pale muhimbili wengi wamemchangia na anaendelea na matibabu vizur.

Arrest warrant ikatoka MKE na yule dokta mzazi mwenzie wakamtwe kwa tuhuma za kesi ya kumuua jamaa kwa sumu kidogo kidogo na kutaka kuwaua wale jamaa wa kiwandani wawili. Dokta alivopewa mrejesho ule kua sasa wanapelekwa mahakamani kweli akakiri kua hausiki Labda yule mwanamke pekee.

Dokta ktk panic akasema kua yule mwanamke Alikua akisema Mara nyingi kua Anataka mume wake afutike duniani ili waishi wote kwa raha, Sema yeye hakulitilia maanani.

Dokta akaongeza kua mwanamke yule aliwahi pia kumwambia kua mtu yeyote akimvuruga yeye haoni tabu kumuua na Kuna siku waligombana mwanamke yule akamchoma dokta kisu Cha tumbo akaponea chupu chupu alama ya kovu ipo akaionesha ,ila hakuiripoti popote alichukulia ni wivu tu wa kawaida kwny mapenzi.

Upelelezi ukaenda mbali zaidi walipopekua Simu ya mjane wa marehemu wakagundua namba ya fundi gari mmoja, alipopigiwa akajitambulisha kua yeye ndio fundi gari wa familia ile ya marehemu. akaulizwa khs zile calls akasema alipigiwa na mjane wakakague gari yard ambayo ndo ile bmw.

Fundi alipoulizwa ya hydraulic fluid akasema aliwahi kuuliziwa tu na mjane wa marehemu kua atayapataje ila fundi akamuelekeza tu kwenye duka yanakouzwa.
Polisi Walipoenda kwny Lile duka muuzaji akamwambia kweli anamjua mjane wa marehemu huwa anapeleka gari lake garage ile ya yule fundi ila aliwai Kuja kuulizia hydraulic fluid ila nilimuunganisha na duka la jiran maana sampuli ya hydraulic aliyokua Anaitaka sikua nayo mimi. Alikua nayo jiran yangu.

Duka la jiran alipofatwa na kuulizwa akaambiwa kua mjane wa marehemu keshakuja pale Mara nyingi sana kununua Sema hakujua kama yalikwenda kufanyiwa uhalifu.
Anasema alimwambiaga tu kua kuna gar yake moja akiipaki Zaid ya wiki inasumbua sana hydraulic kwaiyo lazima amwage na aweke mpya ndo inatulia. Kwaiyo Alikua anamuuzia TU.

Alipoulizwa fundi gari wa familia ya marehemu khs shida yyt kwny gar za familia ile, fundi akasema hajawai kukumbana na tatiz Hilo kwny gar yyt ile ya nyumba ile na yeye ndo uzifanyia service gar zao zote hata hiyo BMW kaifsnyue service yeye mwnyw.

Pia Simu ya mjane ikaonesha marehemu saa moja kabla hajafariki na MDA mfupi baada ya kufariki alimpigia dokta mzazi mwenzie. Dokta kaulizwa mlikua mnaongea nn.
Dokta kajitetea kua nusu kabla alinambia Kuna kitu nmefanya, nilipomuuliza Ni kipi akasema atanipigia baadae Kisha akakata Simu. Nusu saa baada ndo akanambia kua jamaa kafariki. Polisi wakahoji wee Ni Nani upewe taarifa za marehemu kabla ya watu wake wote. Ikaacha question mark.

Sasa Mpaka tunaongea dkk Hii
Yule mjane wa marehemu na mzazi mwenzie yule dokta wako selo wanaandaliwa hati ya mashtaka na mashahidi ndo kama hao wengi TU kama waliotajwa hapo juu kwny story nzima na muda wowote nesi mjane na mzazi mwenzie dokta watapelekwa mahakamani kujibu tuhuma zao zinazowakabili.

Ila Sasa za chini chini ni kwamba

1. Hata mume wa kwanza wa huyu nesi mjane wa marehemu alikufa kifo Cha magumashi sana maana taarifa zinasema kua marehemu alikunywa sumu akajiua kwa wivu wa kimapenzi.
Ndugu wa yule mume nao wamekuja juu wanahitaj uchunguzi maana baada ya Jamaa kufariki MKE aliuza baadhi ya Mali za marehem Kisha akaingia mitini. Ndugu hawakufatilia Sana.

2. Kifo Cha mtoto wa mtoto wa marehemu khs kuumwa ini na kufa nacho wanataka kichunguzwe. Mifupa ifukuliwe ikapimwe huenda alimpa sumu Hii hii ya ETHLEYE GLYCOL.

3. Kifo Cha MKE wa marehemu mjamzito khs mimba yake kutoka gafla na kuumwa mpk kufa yeye na hicho kichanga chake nacho wadau wanataka kichunguzwe. Maiti ifukuliwe mifupa ikapimwe huenda nao walinyweshwa sumu kidg kidg.

Kiukweli hii kitu imenistua Sana,

Imenifanya niwaze mengi Sana khs mustakabr wetu wanaume khs familia, Michepuko, mahusiano,ndoa na maisha mengine kiujumla.

Nawasilisha wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama j anaijua hii?
 
Jamaa yetu mmoja baada ya kumalizana elimu ya kidato Cha nne,Kisha kupitia veta kusomea mambo ya umeme aliamua kujiunga jeshi la wananchi. Miaka 8 tu baada kukaa jeshini akafukuzwa jeshini kwa matatizo ya kinidhamu.

Baada ya kurud mtaani maisha yakawa magumu Kias chake ukzingatia alkua na MKE na mtoto mmoja na hakujiandaa kivyovyote Kama angeweza kuachishwa kazi.

Mungu Si athuman ktk omba omba kazi uku na kule kwa vyeti vyake vya veta akaja kufanikiwa kupata kazi kwny kiwanda kimoja Cha simenti Hapa dar. Alifanya kazi Kama mtu wa chini kwa miaka 4 baadae akaja pandishwa cheo na kuanza kulipwa vizur pale kiwandan na maisha yake na familia yake yakaenda Safi.

Kuna kipind akaja kuumwa sana appendix, ikabd akafanyiwe operation. Miongon mwa waliokua karibu nae hospital pale akiuguzwa alkua Ni nesi mmoja ni single mother Yuko kwny early 30s. Wakajikuta wamependana sn, mpk jamaa anapona anaruhusiwa pale hospital tayar yule nesi keshakua Mchepuko wake.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba kufehemu, unaripoti jalada la ucbunguzi au tukae mkao wa ubeche tutirike na story ya kusisimua?
 
Back
Top Bottom