Mke anashindana kila kitu na mimi!

Mke anashindana kila kitu na mimi!

Mna mapenzi ya kitoto, hata hao watoto hawako hivyo, c bora msingeoana tu ukawa unamgegeda, akizingua unakwenda kwingine, naona kama unajitekenya kisha unacheka mwenyewe
 
Ndoa/ kuoa sio kuingiza dude lako kunako nyetini kwa mwanamke wako tu, ni pamoja na kutumia akili kuishi maisha ya ndoa
 
we na mkeo bado hamjakuwa kabisa, yani kama mpo kwenye scene ya vituko show, eti mkeo nae kamsimamisha mtu kaanza kuongea nae na kumshika mkono, get serious hayo si mambo ya kitoto kabisa mkuu
 
We id yako nyingine ni ipi??

Naona hii ndo yakuletea chai na vitumbua
 
Wadau, Mu hali gani?

Kumekuwapo na sintofahamu kati yangu na my wife wangu.
najaribu kutaka kumuelewa lakini nabaki njiapanda kama ilivyo kawaida yao ni ngumu sana kumuelewa mwanamke na itabaki hivyo hadi baragumu lipulizwe!

Ni muda sasa kila jambo nikifanya hata dogo kiasi gani analipiza yaani jinsi anavyonifanyia kama vile mimi mke mwenzake!nikiweka profile whatssup ya picha yangu nimeweka pozi na yeye anaweka kaweka pozi tena pozi matata!

Kuna siku kanikuta na kidemu nakisaundisha hapo kitaa cha ajabu akauchuna nikajua hiyo imepita hivi khaaa haijapita muda kaniona narudi eti na yeye akamsimamisha mpita njia eti anaongea nae huku kamshika mkono!nikapita kama sijaona na nikapotezea!

Yote tisa kumi kilichonifanya hadi kuja kuandika huu uzi hapa ni hili baada ya kurudi kutoka safari majirani wakamtonya kwamba toka asafiri kwa muda wa wiki mbili zote mimi sijalala nyumbani!

Ni kweli nilihamia kwa mchepuko katika hicho kipindi cha mpito!lakini nikamkatalia kwamba siku zote mimi nililala homu nikamuonyesha na mafuta ya mgando yalikuwa mapya ila yamebaki nusu kwa kupigia puchu maana akisafiri anajua mimi nakuwa napiga puli!

Ila bado hanielewi na ameondoka tena homu simu yake haipatikani kwa ndugu wote nimezunguka hayupo hadi nimechoka kumtafuta polisi wameniambia nisubiri siku 4 badala ya saa 24 yaani hapa nimedata mchepuko unataka nikatulie tu kwake ila sijiskii kabisa naombeni ushauri jamani maana kama kisasi iko siku tutauana sasa!
achana naye bwana nenda kaishi kwa mchepuko wako akipiga hapo simu aambiwe unakuja home kubadili nguo tu nakuondoka atarudi faster na heshima juu
 
Ngoja na yeye akaombe ushauri fb ili tuthibitishe Kama kweli anakulipizia.

Sent from mTalk
 
Wadau, Mu hali gani?

Kumekuwapo na sintofahamu kati yangu na my wife wangu.
najaribu kutaka kumuelewa lakini nabaki njiapanda kama ilivyo kawaida yao ni ngumu sana kumuelewa mwanamke na itabaki hivyo hadi baragumu lipulizwe!

Ni muda sasa kila jambo nikifanya hata dogo kiasi gani analipiza yaani jinsi anavyonifanyia kama vile mimi mke mwenzake!nikiweka profile whatssup ya picha yangu nimeweka pozi na yeye anaweka kaweka pozi tena pozi matata!

Kuna siku kanikuta na kidemu nakisaundisha hapo kitaa cha ajabu akauchuna nikajua hiyo imepita hivi khaaa haijapita muda kaniona narudi eti na yeye akamsimamisha mpita njia eti anaongea nae huku kamshika mkono!nikapita kama sijaona na nikapotezea!

Yote tisa kumi kilichonifanya hadi kuja kuandika huu uzi hapa ni hili baada ya kurudi kutoka safari majirani wakamtonya kwamba toka asafiri kwa muda wa wiki mbili zote mimi sijalala nyumbani!

Ni kweli nilihamia kwa mchepuko katika hicho kipindi cha mpito!lakini nikamkatalia kwamba siku zote mimi nililala homu nikamuonyesha na mafuta ya mgando yalikuwa mapya ila yamebaki nusu kwa kupigia puchu maana akisafiri anajua mimi nakuwa napiga puli!

Ila bado hanielewi na ameondoka tena homu simu yake haipatikani kwa ndugu wote nimezunguka hayupo hadi nimechoka kumtafuta polisi wameniambia nisubiri siku 4 badala ya saa 24 yaani hapa nimedata mchepuko unataka nikatulie tu kwake ila sijiskii kabisa naombeni ushauri jamani maana kama kisasi iko siku tutauana sasa!


Ukimpa mchepuko wako ujauzito halafu mkeo akafahamu nitaomba umpe mkeo namba yangu ya simu, nakutumia PM.
 
Wewe huna ndoa hapo,kama mwenzio kasafiri wiki 2 tu tayari umehamia kwa mchepuko hii ni hatari sana kijana,hapo heshima ya ndoa haipo,pia dishi lako halishki mtandao sawa2
 
Hizi ndoa zinazofungishwa as long as watu wako above 18, inabidi zisitishwe na waangali je watu wana ukomavu wa akili maana kwa thread hii
 
Back
Top Bottom