Tuende kidende mtani tuinjike nzukweni.. Teh.Viazi hivi....
agiza Pepsi kubwa mdau...bill on meeeeUna umri gani mkuu? Jinsi uluvyo andika naona kama kidogo ubongo ulipata tilt husound kama matured man
Sina uhakika kama haya ninayoandika yatakusaidia maana wana dot.com mnajua kila kitu duniani.Wadau, Mu hali gani?
Kumekuwapo na sintofahamu kati yangu na my wife wangu.
najaribu kutaka kumuelewa lakini nabaki njiapanda kama ilivyo kawaida yao ni ngumu sana kumuelewa mwanamke na itabaki hivyo hadi baragumu lipulizwe!
Ni muda sasa kila jambo nikifanya hata dogo kiasi gani analipiza yaani jinsi anavyonifanyia kama vile mimi mke mwenzake!nikiweka profile whatssup ya picha yangu nimeweka pozi na yeye anaweka kaweka pozi tena pozi matata!
Kuna siku kanikuta na kidemu nakisaundisha hapo kitaa cha ajabu akauchuna nikajua hiyo imepita hivi khaaa haijapita muda kaniona narudi eti na yeye akamsimamisha mpita njia eti anaongea nae huku kamshika mkono!nikapita kama sijaona na nikapotezea!
Yote tisa kumi kilichonifanya hadi kuja kuandika huu uzi hapa ni hili baada ya kurudi kutoka safari majirani wakamtonya kwamba toka asafiri kwa muda wa wiki mbili zote mimi sijalala nyumbani!
Ni kweli nilihamia kwa mchepuko katika hicho kipindi cha mpito!lakini nikamkatalia kwamba siku zote mimi nililala homu nikamuonyesha na mafuta ya mgando yalikuwa mapya ila yamebaki nusu kwa kupigia puchu maana akisafiri anajua mimi nakuwa napiga puli!
Ila bado hanielewi na ameondoka tena homu simu yake haipatikani kwa ndugu wote nimezunguka hayupo hadi nimechoka kumtafuta polisi wameniambia nisubiri siku 4 badala ya saa 24 yaani hapa nimedata mchepuko unataka nikatulie tu kwake ila sijiskii kabisa naombeni ushauri jamani maana kama kisasi iko siku tutauana sasa!
Wanaume ni katika viumbe wanaopotea kwa kasi sana. Huyo mleta mada ndizo samples zilizobaki.Pole sana
Daah! Nimejisikia vibaya sana, uliposema Mkeo akiondoka sijui unafanya kitu gani na anajua! Daah
Me ni dume lakini Mwanamke wako umemkosea mwenyewe.
Punguza, siyo kila weekness lazima ajue. Halafu daaah. Ndoa yako ngumu Mkuu. Upendo umetoweka,
Ushauri: Mwoneshe ule upendo wa kwanza wakati unamfukuzia ili uone itakuwaje
Mkuu, hayo maneno hukutakiwa Kuya' bold' ulitakiwa uyaandike kwa wino wa dhahabu kila mwanaume ayaone.Sina uhakika kama haya ninayoandika yatakusaidia maana wana dot.com mnajua kila kitu duniani.
Mzee wangu mmoja[hivi sasa ni marehemu] aliwahi kuniambia kwamba matatizo yetu mengi ni ya kujitakia. Alisema kuwa 'Ndani ya nyumba kunapaswa kuwe na suruali moja na gauni moja na kama ukimuachia mkeo avae suruali basi itabidi mume uvae hilo gauni maana hakuna nguo nyingine ya kuvaa'
AhsanteMkuu, hayo maneno hukutakiwa Kuya' bold' ulitakiwa uyaandike kwa wino wa dhahabu kila mwanaume ayaone.
Apumzike kwa amani mzee wetu huyo.
Mmeshakua mwili mmoja kwahiyo mnyofanya yanafanana kuwa mpole tu ndio maishaWadau, Mu hali gani?
Kumekuwapo na sintofahamu kati yangu na my wife wangu.
najaribu kutaka kumuelewa lakini nabaki njiapanda kama ilivyo kawaida yao ni ngumu sana kumuelewa mwanamke na itabaki hivyo hadi baragumu lipulizwe!
Ni muda sasa kila jambo nikifanya hata dogo kiasi gani analipiza yaani jinsi anavyonifanyia kama vile mimi mke mwenzake!nikiweka profile whatssup ya picha yangu nimeweka pozi na yeye anaweka kaweka pozi tena pozi matata!
Kuna siku kanikuta na kidemu nakisaundisha hapo kitaa cha ajabu akauchuna nikajua hiyo imepita hivi khaaa haijapita muda kaniona narudi eti na yeye akamsimamisha mpita njia eti anaongea nae huku kamshika mkono!nikapita kama sijaona na nikapotezea!
Yote tisa kumi kilichonifanya hadi kuja kuandika huu uzi hapa ni hili baada ya kurudi kutoka safari majirani wakamtonya kwamba toka asafiri kwa muda wa wiki mbili zote mimi sijalala nyumbani!
Ni kweli nilihamia kwa mchepuko katika hicho kipindi cha mpito!lakini nikamkatalia kwamba siku zote mimi nililala homu nikamuonyesha na mafuta ya mgando yalikuwa mapya ila yamebaki nusu kwa kupigia puchu maana akisafiri anajua mimi nakuwa napiga puli!
Ila bado hanielewi na ameondoka tena homu simu yake haipatikani kwa ndugu wote nimezunguka hayupo hadi nimechoka kumtafuta polisi wameniambia nisubiri siku 4 badala ya saa 24 yaani hapa nimedata mchepuko unataka nikatulie tu kwake ila sijiskii kabisa naombeni ushauri jamani maana kama kisasi iko siku tutauana sasa!
Ngoja nidha turughe vothe, halafu tueshinjiaTuende kidende mtani tuinjike nzukweni.. Teh.

eti na yeye akamsimamisha mpita njia eti anaongea nae huku kamshika mkono!nikapita kama sijaona na nikapotezea!
Ila bado hanielewi na ameondoka tena homu simu yake haipatikani kwa ndugu wote nimezunguka hayupo