Mke anasababisha kuchepuka kwa Mume

Mke anasababisha kuchepuka kwa Mume

kumbe ili nisichepuke lzm muke wangu awe ananipa nyama kila siku eeee
 
Hataitatokea michepuko ikakosekana, maana hao wanawake wenyewe pia wanapenda kuwa mipango ya kando kwa asilimia kubwa.
 
Hilo unawasingizia wanawake.
Haya maumbile tuliyopewa na M/Mungu wakati mwingine raha wakati mwingine ni mateso

Unatoka gest muda huu, unaingia road uko na mtu wako cha ajabu unaona demu mwingine unamtamani.
Kumbuka dakika 5 zilizopita umetoka kupiga show kali
 
Mara leo sijiskii, kesho nimechoka, kesho kutwa tumba linauma. Kweli tutaacha kuchepuka? Hakika mwanamke akikutana na mme wake kwa wiki kama mara nne. Si rahisi kwa Mume kuchepuka hovyo.
Jua hili ndugu ukioa sio umfanye mkeo kama punda mwanamke akuzalie akupikie akufanyie usafi bado akufulie bado awaogeshe watoto wale wavae akawachukue shule.
Halafu ijioni akupe huna akili wewe jiongeze enzi za mababu watu wanasaidiana.
So kuwa na msichana mbichi sio shida shida nyie wasiku hizi hamna kuficha mnawadharau wanawake zenu.
Wengine wanawapiga nakuwatolea matusi hii inshu ni yakimya kimya mwanamke asijue kuwa anasaidiwa .
Ila nyie siri ni kuficha hamjui mpaka ajue tu.
Ukishaoa jenga familia kuduu tafuta wakuduu tu.
 
Mara leo sijiskii, kesho nimechoka, kesho kutwa tumba linauma. Kweli tutaacha kuchepuka? Hakika mwanamke akikutana na mme wake kwa wiki kama mara nne. Si rahisi kwa Mume kuchepuka hovyo.
Nakwambia mimi ni mwanamke..... Nikuulize kitu..... Mkeo unamuandaa kisaikolojia na kimatendo? Au unafanya kumvamia dakika 5 - 7 umemaliza ..... unakoroma?

Haki....Kama ni kwa dizaini hii tumbo haliwezi kuacha kuuma kila siku maana unachofanya hapo ni kumchafua pekee. Anachoka. Anajiona uvivu tuu.
 
Nakwambia mimi ni mwanamke..... Nikuulize kitu..... Mkeo unamuandaa kisaikolojia na kimatendo? Au unafanya kumvamia dakika 5 - 7 umemaliza ..... unakoroma?

Haki....Kama ni kwa dizaini hii tumbo haliwezi kuacha kuuma kila siku maana unachofanya hapo ni kumchafua pekee. Anachoka. Anajiona uvivu tuu.

Asante kwa nyongeza. atakuwa kaisha fahamu ngoja akafanye training atuletee mrejesho.
 
Nyie watu ngoja niwambie, hakuna kitu raha kama kuchepuka si kwa mwanaume ama mwanamke. Maana kwa mwanaume anasikia raha sababu mwanamke anayechepuka naye anakuwa keshajiandaa kati ya siku nne hadi masaa 24 kwamba anaenda kuto mbwa siku flan, hivyo kama ni chupi atavaa ile nzuri kabisa nyeupeeeee, pengine mpya, tait atavaa inayovuyia nyeupeeeee, nguo nzuri ataoga vizuri na kiakili atakuwa keshajiandaaa muda sana. Hapa naongelea mabinti single na wake za watu pia. Ss katika hali kama hii lazima K ya mwanamke iwe tam tu na ipo tait. Sasa kama shoo ya nyumbani, mwanaume anarudi na ham zake ile mnalala ndo mwanamke anajulishwa kuwa anatakiwa kutoa mzigo, anjiandaa ndani ya nusu saaa mkiwa kitandani, wallah wala hainogi. Unapiga kimoja tu ham inakuishia kabisa, unamwacha mkeo ndo wazungu wanakaribia njiapanda, na ujue wazungu wanakuja kwa vituo sana wakifika njiapanda wanashusha mizigo kupumnzika kidogo. Ila kama amejiandaa toka mda , wazungu wanakuwa wameshasogea kabisa na kuvuka njiapanda. Ukigusa tu hao.
 
Asante kwa nyongeza. atakuwa kaisha fahamu ngoja akafanye training atuletee mrejesho.
Imejengeka kisaikolojia kuwa mwanamke ndio wa kumstarehesha mumewe..... Mwanamume amesahau kabisa kuwa na mwanamke pia anatakiwa kustarehe.

Dunia inakwenda kasi ya ajabu. Hivi mwanamke anapokuwa anafurahia tendo la Ndoa na anamfurahia mumewe.... Anaanzaje kusema amechoka, kichwa, tumbo linauma kila siku.... 😂
 
Mara nne?mbona chache sana,mi nikajua mara 15 na kuendelea,wewe ni mwanamme kamili kweli? Mara nne ni chache sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom