Mke anaitajika haraka sana

Mke anaitajika haraka sana

Yani hilo tangazo mie hoi...kweni mashine au gari
 
habari wana jf,ni mvulana umr 28,naish kibaha,ni graduate bado sja ajiriwa,ila kuna sehem najitolea,natafuta mke wakuoa elimu form 4-masters,awe wakawaida sina ubaguz wa kabila,din wala rangi.atakaye kua tayari anipm ili baadae tusaidiane kutafuta kaz kuendesha maisha yetu.


Kuhusu hiyo heading yako mke hatafutwi kwa haraka sana kiasi hicho. Anyway kama wewe ni mkurya sikulaumu maana hiyo ni lugha ya kawaida kwenu "mke anaitajika haraka sana"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom