....kuhusu ndugu kuna ka ukweli hapo, maana jamii zetu hizi nazo, mnh!
Usimkatalie kila jambo mkeo analokulalamikia....huenda ndio sababu kubwa anayohisi
humjali wala humsikilizi kiasi kwamba anaona labda akikwambia umuache utamuacha.
Miaka miwili ya ndoa ni muda mfupi sana. Changamoto za ndoa ndio hizi kaka,
ukisikia for better or worse ndio pamoja na haya....
hizi changamoto ni ndogo mon kwako wewe kuanza ku panic....
Mwenyezi Mungu akuzidishie mapenzi kwa mkeo, na baada ya miaka kumi na ushee nawe utasimama kifua
mbele kutoa
#Wosia kwa ndugu jamaa na marafiki zako ambao watakuwa wanaingia kwa mara ya kwanza kwenye maisha ya ndoa wakidhania ndoa ni
#Lelemama ...
Kila la kheri.