Mke anadai tuachane mara kwa mara

Mke anadai tuachane mara kwa mara

yani mm mwenyewe napiga mahesabu hayaingii akili, na ukizingatia 2014 ndo kwanza imeanza sasa sijui hao watoto wamepishanaje loh

mi nakwambia huyo mwanamke anakimbia hzo mimba mfululizo,kila mwaka anazaa,hapati mda wa kupumzika,kale katoto ka kwanza hakajanyonya vya kutosha,kamekuja kengne,hata sasa nadhan ana mimba tena,hvyo vtoto utapiamlo utaviua.
 
kwa uelewa wangu jamaani msaliti na anamdharau sana huyu mwanamke na ana promise nyingi ambazo hajazitimiza.pia kuishi na mtoto wawatu miaka nenda rudi amemzalisha watoto 2 bila ndoa alafu nyodo juu ndi kisa cha huyu mwanamke kuona bora ajiondokee!!!

si Kweli sina dharau kabisa I respect her. Ndoa halali tumefunga 2012.
 
mi nakwambia huyo mwanamke anakimbia hzo mimba mfululizo,kila mwaka anazaa,hapati mda wa kupumzika,kale katoto ka kwanza hakajanyonya vya kutosha,kamekuja kengne,hata sasa nadhan ana mimba tena,hvyo vtoto utapiamlo utaviua.

Mtoto wangu wakwanza ni wa 2011 na wapili ni 2014
 
Kwan unaishi nae wazaz'ke na wako wanajua.?.kama unaona ye anazingua shirikisha wazee lakn kama unamjali ila kama unaona anakuzingua unamuacha tu juu ya kulea watoto mtakubaliana
 
hana ndoa na huyo dada!wapi aliposema wanaishi kihalali kama mke na mme amezaa naye tu.so jamaa anajiona bado bachelor free molecule he ca do what ever .mimi nawajua vizuri wanaume wa aina ya huyu tabia na maneno yao .i know them very well

we got married in Dar, 2012. I am her husband please
 
Nakuelewa lakini jiulize nafsi yako jee utakubali kuchukua machungu kwa sababu ya watoto? wewe ndio mtafutaji nadhani
yani uhangaike kutafuta pesa na ukirudi nyumbani unategemea pawe tulivu ndio nako kuna moto na excuse unasema watoto,watoto wananini? au huo ugomvi wa kila siku hao watoto hawaoni? samahani kama ntakua nimesema sana..
ila nakuonea huruma....

si mbaya ulivisema I am seriously considering your advice
 
Mtoto wangu wakwanza ni wa 2011 na wapili ni 2014

unajaribu kukwepa jambo ambalo liko waz,umesema mwenyewe kua ulianza kuishi nae mwaka 2012 baada ya kumpa mimba ,sasa unasema mtoto wako wa kwanza 2011,ok,2011 mtoto wa kwanza,2012 mimba,sio?
 
unajaribu kukwepa jambo ambalo liko waz,umesema mwenyewe kua ulianza kuishi nae mwaka 2012 baada ya kumpa mimba ,sasa unasema mtoto wako wa kwanza 2011,ok,2011 mtoto wa kwanza,2012 mimba,sio?

nikwepe ili iweje? August 2011 I got my 1st born please! bt we didn't live together until 2012
 
Elewa sentensi nzima anasema wameanza kuishi 2012.sio walizaa mtoto wa kwanza 2012

ww ndo hujaelewa, kwa maelezo yake,kasema wameanza kuishi 2012 baada ya kumpa mimba,mimba ndo imesababisha waish pamoja,hutakiwi kwenda mbali kujiuliza hyo mimba itakua ya ngapi,ni ya kwanza.
 
Hahahaaaa.. Karibu. Bado sijaoa aisee. ila nikioa na Mungu akanipa uzao, hii habari ya kuacha gap la miaka kumi na tano siiwezi

unatakiwa ukioa uache gap la kutosha bwana
mtoto umpe nafasi ya kutosha kukua kiakili na kimwili kabla ya kumpatia mdogo wake
 
nikwepe ili iweje? August 2011 I got my 1st born please! bt we didn't live together until 2012

ungekua mahakaman ungefungwa kwa kujikanganya,mi naomba unijibu frm your first(original)statements uliopost,mwaka 2012 uliish nae kwa baada ya kumfanyaje?
 
Tumebahatika kujenga ndugu, kama Kuna mabadiliko ni sababu ya hivi viuogomvi tu.

maisha ya ndoa ni kuvumiliana mkuu, tatizo bora kukosea kujenga nyumba kuliko kukosea mwanamke wa kuoa!
 
Wewe utakuja memenda watoto sijui bebenda au bemenda kitu kama hicho, kuwa makini mbeleni usiwe unapiga mashambulizi mfululizo mpe muda mwenzio
 
Tutapanga mwaya usihofu. Yule jamaa wa maua kule Chit chat asipite hapa tafadhali.
unatakiwa ukioa uache gap la kutosha bwana
mtoto umpe nafasi ya kutosha kukua kiakili na kimwili kabla ya kumpatia mdogo wake
 
ungekua mahakaman ungefungwa kwa kujikanganya,mi naomba unijibu frm your first(original)statements uliopost,mwaka 2012 uliish nae kwa baada ya kumfanyaje?

haya mkuu ushauri nasubiri. Asante
 
wazo na neno huumba,kwa kauli yake kuwa muachane ameshaumba tendo la kuachana,ni suala la wakati tu,kila anapotamka tuachane anakata "kiuzi" kimoja kinachoshikilia ndoa yenu...."kiuzi" cha mwisho utakikata wewe utakaposema sasa basi imetosha na ndoa itafika tamati
 
Back
Top Bottom