Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
yani mm mwenyewe napiga mahesabu hayaingii akili, na ukizingatia 2014 ndo kwanza imeanza sasa sijui hao watoto wamepishanaje loh
mi nakwambia huyo mwanamke anakimbia hzo mimba mfululizo,kila mwaka anazaa,hapati mda wa kupumzika,kale katoto ka kwanza hakajanyonya vya kutosha,kamekuja kengne,hata sasa nadhan ana mimba tena,hvyo vtoto utapiamlo utaviua.