Ona jinsi akili yako ilivyokuwa fupi.. Kwa hiyo watoto pekee nd'o wenye bikra?Bikra?
Damu ni Damu.
Acha ujinga unataka utuharibie watoto Kenge wewe
Asante mkuu, nimeelewa.Hapo uwezekano wa kupata ni asilimia kubwa labda uwe ulitumia kinga
Shukrani nimejifunza kitu hapo.Inategemea na wewe kama kulikuwa na Bodly fluid exchange...
Only kama Ile damu ilingia kwenye mfumo wako wa mwili...
Kupata umeme sio rahisi sana... But kujichunga lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kitu cha umuhimu sana ,ila hakuna aliekinoteMke Atumie ARV, viral load kwenye damu ikiwa ndogo hawezi muambukiza mme wake
Ilibidi iwe hivyo Mkuu,siunajua kasheshe la hili zimwi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo nyinyi ndugu mkawaingilia hadi kwenye maamuzi ya mambo ya chumbani?
Huwa napata kigugumizi Sana kwenye statement Kama hii.Mke Atumie ARV, viral load kwenye damu ikiwa ndogo hawezi muambukiza mme wake
Watu wameoa watu wenye ukimwi na wanaishia nao mpaka leo na hawajaambukizwa kupitia statement niliyotoaHuwa napata kigugumizi Sana kwenye statement Kama hii.
Ikiwa yangu inakuuma nini? PumbafuHii stori ni yako wewe
Bro tuandikie JF ni kisima cha Maarifa.Umeandika kitu cha umuhimu sana ,ila hakuna aliekinote
Humu wanadanganyana tuuu mara group O ...sijui hagawi gemu,
Hawajui DISCORDANT COUPLE.....nikitulia nitawachambulia hii ishu inakuwaje,na wanatakiwa kufanya nini
Ngedere wewe,ukoo wenu na makaburi ya kwenu,Ona jinsi akili yako ilivyokuwa fupi.. Kwa hiyo watoto pekee nd'o wenye bikra?
Hujawahi kukutana na msichana wa 20+ mwenye bikra?
Ngedere wa mwisho wewe.
Kunya Boga kama wewe mjanja mattercore yahkoWe mbwa naona unawashwa sio! hilo swali uliulizwa wewe hapa. Kiherehere na shobo zako si ndo zimekufanya udandie treni kwa mbele.
Kama unatafuta Top humu sio mahala pake.
Pungasese wewe!
Nyie ni miongoni mwa ndugu wajinga wajinga kwanini mnaingilia faragha za watu wazima yaani sipendi madungu ya dizaini yenuAnatoa game vizuri tuu,mpaka ndugu tukaingilia kati kuwa wawe wanatumia Kinga na sidhani kama wanatekeleza.