Mke ana VVU mume hana. Naomba ushauri

fisi 2

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
3,273
4,626
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
 
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
Mwambie aendelee kula tu kama hajui vile maana wasingepima je
 
Ni hali ya kawaida, na wala hiyo sio mara ya kwanza na sio kwao tu..

Ninaye Ndugu, yeye mkewe mpaka alianza kuumwa magonjwa nyemelezi, katika kupima ndio ikagundulika mkewe anao. Mume( ndugu) hana, Mke akakataa kutumia Dawa, akawa chapombe, Ni miaka mitano toka amegundulika na miaka mitatu toka amefariki. Akaacha watoto.

Hivo kwa inshu yenu

Mke wa Jamaa aendelee na Dozi vzuri , Kula vzuri.

Jamaa awe karibu yake, amkumbushe mke kutumia dawa, klinik n.k

Wakubaliane kua waendelee kulana lkn kwa matumizi ya kondom.


Kwa mimba zijazo , Mechi itapigwa kavu na isiyo yakukamiaa, huku mke akiendelea na Dozi




Ona maajabu sasa.. Hapo jamaa alikua hajajua kama mkewe yuko na maambukizi akawa anapiga tu vzur na ametoka salama...

Ila saizi amejua, akisema aendelee kupiga kavu, mechi tatu sio nyingi anaukwaa pia.
 
Normally kupata HIV ni rahisi kwa mwanamke kuliko Mwanaume kwa sababu ya maumbile..

Kama mwanaume hana michubuko njia pekee ya umeme kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanamke ni Tundu ya mkojo which is not that easy...

Ila mwanamke manii ikiingia tu basi posibility inakuwa kubwa sana.

Mwanamke anaweza kupata HIV in first encounter ila kwa mwanaume kati ya encouters 1250 basi 1 ndio transmission hutokea...

As long status ya mmoja inajulikana ni rahisi kujikinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hali ya kawaida, na wala hiyo sio mara ya kwanza na sio kwao tu..

Ninaye Ndugu, yeye mkewe mpaka alianza kuumwa magonjwa nyemelezi, katika kupima ndio ikagundulika mkewe anao. Mume( ndugu) hana, Mke akakataa kutumia Dawa, akawa chapombe, Ni miaka mitano toka amegundulika na miaka mitatu toka amefariki. Akaacha watoto.

Hivo kwa inshu yenu

Mke wa Jamaa aendelee na Dozi vzuri , Kula vzuri.

Jamaa awe karibu yake, amkumbushe mke kutumia dawa, klinik n.k

Wakubaliane kua waendelee kulana lkn kwa matumizi ya kondom.


Kwa mimba zijazo , Mechi itapigwa kavu na isiyo yakukamiaa, huku mke akiendelea na Dozi




Ona maajabu sasa.. Hapo jamaa alikua hajajua kama mkewe yuko na maambukizi akawa anapiga tu vzur na ametoka salama...

Ila saizi amejua, akisema aendelee kupiga kavu, mechi tatu sio nyingi anaukwaa pia.
Hakuna ukimwi ni hofu tu.
 
Normally kupata HIV ni rahisi kwa mwanamke kuliko Mwanaume kwa sababu ya maumbile..

Kama mwanaume hana michubuko njia pekee ya umeme kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanamke ni Tundu ya mkojo which is not that easy...

Ila mwanamke manii ikiingia tu basi posibility inakuwa kubwa sana.

Mwanamke anaweza kupata HIV in first encounter ila kwa mwanaume kati ya encouters 1250 basi 1 ndio transmission hutokea...

As long status ya mmoja inajulikana ni rahisi kujikinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hii ni tofauti kabisa,Kuna jamaa yangu Mume ana HIV lakini Mke hana kabisa,sasa hii sujui inakuwaje?
 
Hiyo ipo ila ni nadra sana, na mala nyingi bahati hiyo huwa nayo watu wenye group O- la damu!! Huyo hata kama akiendelea kufanya mapenzi bila ya kinga hawezi pata maambukizi kamwe!!
Mmmh mkuu, inamaana watu wenye group O huwa hawapati ngoma ?
 
Ona maajabu sasa.. Hapo jamaa alikua hajajua kama mkewe yuko na maambukizi akawa anapiga tu vzur na ametoka salama...

Ila saizi amejua, akisema aendelee kupiga kavu, mechi tatu sio nyingi anaukwaa pia.
Na mtu akishajua ameukwaa ndo anaanza kuumwa ovyo na kukonda tofaut kabisa akiwa hajui afya yake, sjui n sayansi ya wap h
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom