Hawa wanasiasa majambazi hawakupewa malezi bora? Chuki yako dhidi ya watu walioamua kwa utashi wao kuhusu sexuality yao ni matokeo ya malezi kutoka kwa wazazi wako? Stop this nonsense. Yes malezi bora ni muhimu lakini sio 100% foolproof dhidi ya mabadiliko ya tabia.Naam. Ndio maana ya malezi. Tunawalea wanetu vizuri ili wasije tumbukia kwenye uhalifu wa aina zote.
Halafu ushoga sio maradhi wala maumbile, ni tabia. Ndio maana tunaupiga vita kwa sababu hauna faida yoyote.
Unaye mtoto wa kiume?
Hawa wanasiasa majambazi hawakupewa malezi bora? Chuki yako dhidi ya watu walioamua kwa utashi wao kuhusu sexuality yao ni matokeo ya malezi kutoka kwa wazazi wako? Stop this nonsense. Yes malezi bora ni muhimu lakini sio 100% foolproof dhidi ya mabadiliko ya tabia.
Oh malezi, what about kumfumba macho mwanao asione wavuta sigara maana bila hivyo huenda akaiga kama ambavyo akiwaona mashoga atawaiga... Na what about kumzuwia asiende shule ambako kuja uwezekano akakumbana na ulawiti?
Hapana, hiyo haikuruhusiwa.Mkuu
Unamaanisha kuwakamata kwa kuwataja majina hadharani??????
Kinachokuchosha ni ushoga wako ambao unajaribu kuuficha kwa kupambana dhidi ya haki za mashoga wenzako. Mtaani tunasema "tabia za kishoga."Hahah we jamaa sijui una umri gani lakini unajenga hoja kitoto sana. Sorry to say so.
CHUKI? Yaani unaanza kutoa maneno makali kisa nimesimamia upande wa sheria zetu na jamii kutoruhusu vitendo vya ushoga? Hii sio chuki, ni kurejeshana kwenye mstari tu.
FYI, shule zetu pamoja na mambo mengine, zinasimamia tabia njema za wanafunzi. Ni sehemu ya malezi. Na ndio maana kuna shule jana ilifanya igizo la kishoga, serikali ikaingilia kati.
Unanichosha tu. Huna hoja!
Hapo ndiyo anapokosea.Hapana, hiyo haikuruhusiwa.
Ndio maana Makonda akasema kama mtu anamfahamu mshukiwa yoyote, majina yake yatumwe privately kwake. Na namba ya simu akatoa.
Hata Konki Masta alivyoanza kutaja ile list, Makonda akampiga stop na aliitwa Polisi kuhojiwa.
Ipo sheria inaitwa Sodomy law kama sikosei, inayokataza matendo hayo ya ushoga na ulawiti.Hapo ndiyo anapokosea.
Utawezaje kumshuku mtu kuwa shoga na kumtuhumu? Yaani upigiwe simu kuwa mtu fulani ni shoga ili iweje?
Ashitakiwe kwa kifungu kipi cha sheria?
Na Waziri wa Mambo ya Ndani anaposema "mashoga Tanzania mpo salama" hafahamu kuhusu hiyo Sodomy Law?Ipo sheria inaitwa Sodomy law kama sikosei, inayokataza matendo hayo ya ushoga na ulawiti.
Kutuhumiwa ni jambo moja na kuhukumiwa ni jambo lingine.
Tuhuma sio hukumu. Ni shuku!
Tatizo husomi na kufuatilia mjadala vizuri.Na Waziri wa Mambo ya Ndani anaposema "mashoga Tanzania mpo salama" hafahamu kuhusu hiyo Sodomy Law? View attachment 935805
Tatizo husomi na kufuatilia mjadala vizuri.
Kusema mashoga wako salama ni sawa kabisa. Wanatakiwa wawe salama kama binadamu wengine. Hata mtu anayeshitakiwa na kufungwa ana haki ya kuwa salama. Si unajua?
Tuhuma ni adhabu, na ushoga ni tofauti na sodomy.Ipo sheria inaitwa Sodomy law kama sikosei, inayokataza matendo hayo ya ushoga na ulawiti.
Kutuhumiwa ni jambo moja na kuhukumiwa ni jambo lingine.
Tuhuma sio hukumu. Ni shuku!
Tafuta (ICCPR); International Covenant on Civil and Political Rights. United Nations TreatyBado napambania maslahi ya Mama Tanzania!
Wizara ya Mambo ya Nje ilikuja na taarifa kuhusu Tanzania kutambua ushoga. Yaani, inaheshimu mikataba ya Umoja wa Mataifa ambayo inataka Haki za Binadamu zitambuliwe na kutekelezwa. Taarifa hiyo iliambatana na kusema haiitambui operesheni ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda dhidi ya mashoga. Kwamba ni mawazo yake binafsi na sio msimamo wa Serikali!
Nimejipa muda kufuatilia. Sijaona mkataba wowote wa UN/Kimataifa unaotambua Ushoga kuwa ni sehemu ya Haki za Binadamu. Sasa huku kuufyata kuhusu ushoga kunatoka wapi?
Badala yake, nimeona Mikataba 2 ambayo inazungumza tofauti na hivyo.
1. Mkataba wa Haki za Kiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni (the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights):
Kifungu cha kwanza cha makataba huu kinatambua haki ya kila jamii kujiamulia yenyewe bila kuingiliwa mambo yao ya kiuchumi, kijamii na kiutamaduni (Article 1: All peoples have the right of self-determination. By virtue of that right they freely determine their political status and freely pursue their economic, social and cultural development.). Ndivyo mkataba huu unavyosema. Sio maneno yangu!
Sasa iweje leo nchi yetu ilazimishwe kufuata mifumo ya uchumi ya wengine? Iweje leo tulazimishwe tuishi kwa mila za wengine? Kwanini leo tulazimishwe tuige utamaduni wa wengine? Kwanini huu mkataba hauheshimiwi?
Kwa kuzingatia mkataba huu tunayo kila sababu kama wanachama wa UN kukataa mashinikizo yote yanayoingilia uhuru wetu wa kujiamulia tuishije kiuchumi, kijamii na kiutamaduni. Wale wenye dhamana wawakumbushe hawa jamaa kuwa kuna mkataba wa UN unatupa haki yetu ya kuamua tuishije kiuchumi, kijamii na kiutamaduni. Ni mpaka hapo mkataba huu utakapofutwa ndio watakuwa na uwezo huo.
2. Mkataba wa haki za kiraia na kisiasa (the International Covenant on Civil and Political Rights).
Mkataba huu umetoa haki kwa mtu au binadamu mmoja mmoja. Hakuna kipengele hata kimoja kimempa mtu au binadamu uhuru wa kuingiliana kinyume na maumbile. Kama kipo naomba nionyeshwe. Hakipo! Na hakipo kwa kuwa mwaka 1966 mkataba huu uliporidhiwa watu hawakuitambui hii kama haki ya kijamii na ya kisiasa ya binadamu! Hata kwenye kifungu 23 haki hii haikutambuliwa.
Mkataba huu bado uko hai. Haukutambua ushoga, usagaji, kujibadili viungo kama moja ya haki za kiraia na kisiasa za mwanadamu. Mkataba huu umetambua ndoa ya watu wanaoweza kupata watoto. Mkataba huu umetambua familia kama muungano wa mwanamke na mwanaume wanaoweza kuzaa. Na hakuna mkataba wowote wa umoja wa mataifa ulioridhiwa ambao umehalalisha ushoga na hayo mengine. Hawa wanaodai ushoga, usagaji na uchafu mwingine ni haki ya binadamu wanatoa hoja yao kwenye mkataba upi wa UN?
Nijuavyo mimi, baadhi ya nchi zimehalalisha mambo hayo kwenye sheria za nchi zao. Tunalazimikaje kufuata maagizo yatokanayo na sheria ya nchi nyingine? Ni vyema wenye dhamana wawakumbushe kuhusu uhai wa huu mkataba. Wakitaka waufute kwanza. La sivyo wanakiuka mkataba wa UN kutulazimisha mambo ambayo hayapo kwenye huu mkataba!
Nimalizie kwa kuwahimiza vijana na wanadiplomasia wetu wajenge utamaduni wa kusoma kwa umakini mikataba ya UN ambayo ndiyo kila mara wapiga debe wanaitumia kutaka tufuate uovu.
Hakuna mkataba wa UN umehalalisha ushoga, usagaji na hayo mengine, yaani LGBT kwa ujumla.
NB: Bernard Membe alipokuwa Waziri wa Mambo ya Nje, aliwahi kusema walivyoenda kwenye Mikutano ya Umoja wa Mataifa, walijadiliana kuhusu Haki za Binadamu na kukubaliana mambo kadhaa. Suala la Ushoga halikuwepo kwenye ajenda na hata viongozi wa mataifa flani walipojaribu kuwashawishi (pembeni) wakubali kuitambua LGBT, waligoma.
Yaani nimeshangaa sana leo hii Serikali ya Tanzania kuingia kingi kizembe kwenye mtego huu!
Nadhani Mkuu una tatizo la kugeuzia wenzio kibao! Wengi humu Jf wako hivyo. Hasa wasiopenda facts zinazotolewa katika lugha wasiyoimudu!Umeshindwa kuthibitisha hoja, unabaki kushambulia.
Nimeonesha Mikataba ya UN ambayo inaruhusu kila nchi mwanachama kuendesha masuala yake bila intervention kwenye masuala ya kitamaduni na kijamii. Na jamii ya Watanzania imekataa ushoga na hata sheria zake.
Huo mkataba unaoruhusu ushoga uko wapi? Unaleta resolutions za UN zinazosisitiza juu ya haki za binadamu ambazo zipo applicable hata kwa murderers..
Ushoga ni nini? Elezea mana ya Ushoga Kwanzaa ili tuelewe vizuri.
Huyu jamaa ameandika gazeti bila kuweka substance yenye mashiko.
Exactly!wapi ulipoambiwa uhalalishe ushoga kwenye sheria zako?
unachoambiwa nikulinda haki za binadamu
alichokianzisha makonda ni kufanya msako ambao tulianza kuona waisiwa wa ushoga wakikimbizwa mitaani kutaka kudhuriwa
kwa nini ufuate vyumbani kutaka kujua mambo wanayofanya watu huko?
wala haujaambia uhalalishe/ufungishe ndoa zao
unatakiwa kuwalinda kama binadamu na kama una ushahidi mpeleke mahakamani na sio mob justice
nafikiri nimejaribu kuelezea