Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,010
- 2,604
Kwa hii bei sio mbaya kama akifanya marejesho ya 90,000/=tshmilion 2.4
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hii bei sio mbaya kama akifanya marejesho ya 90,000/=tshmilion 2.4
Nenda Kisemvule nasikia wanatoa za mkopo zikiwa zimefungwa GPS. Ukiibiwa wanalusaidia kukamata.Naitwa Nickson naishi dar es salaam maeneo ya tabata, Nina shida na pikipiki yaani niingie na mkataba na bosi atakaye ninunulia ntakuwa namlipa kwa wiki 70,000/= baada ya mwaka inakuwa yangu
Napatikana kwa namba 0714 064767
Nenda Kisemvule nasikia wanatoa za mkopo zikiwa zimefungwa GPS. Ukiibiwa wanalusaidia kukamata.
Hesabu 10,000 kwa siku.
Pikipiki Haojue.
Sina mawasiliano ya wahusika kwahiyo usiniulize maswali zaidi.
Liwe ni sharti la kupata leseni sioTuache utani. Kweli waendesha Pikipiki na hasa Boda Boda JKT au hata Mgambo muhimu sana!
Serikali inafaa kuliona hili.
Ngoja niigawe kwa 12 nione mzigo kwa mwezi unakuwaje70×4×12=3,360,000
Gharama ya pikipiki kwa sasa pamoja na usajili 2,300,000- 3,360,000=1,060,000
Kwamba faida nitapata 1,060,000 na hiyo hiyo uharibike ukamatwe nk nk
Kweli yataka moyo...
Mi ninakupa ulete malengo ila sio mkataba labda ulete Laki kwa wiki
Million 2 na lki tatu na nusuSorry,
Hivi hizi boxer kwa sasa bei gani?
Million 2 na lki tatu na nusu
Asee pkpk hii hii gharama hizo??Pikipiki = 2,350k
Bima comprehensive = 180k
Ownership transfer = 60k
GPS tracker ~ 100k
Jumla ~ 2.7M
Mapato 300k x 12 = 3.6M
Faida 3.6 - 2.7 = 900k
Hapo kama kila kitu kimeenda sawa.
Faida ndogo sana.Pikipiki = 2,350k
Bima comprehensive = 180k
Ownership transfer = 60k
GPS tracker ~ 100k
Jumla ~ 2.7M
Mapato 300k x 12 = 3.6M
Faida 3.6 - 2.7 = 900k
Hapo kama kila kitu kimeenda sawa.
Wakuu na mimi nina pikipiki imetumika mwaka mmoja tu na naitoa kwa mkataba wa miez minne tu kisha inakuwa yake. Pikipiki ipo kwenye hali nzur saana. Mawasiliano 0620704530Faida ndogo sana.
Wakuu na mimi nina pikipiki imetumika mwaka mmoja tu na naitoa kwa mkataba wa miez minne tu kisha inakuwa yake. Pikipiki ipo kwenye hali nzur saana. Mawasiliano 0620704530
Asee pkpk hii hii gharama hizo??