Mkasi na Mrembo Kidoti

Mkasi na Mrembo Kidoti

Umaarufu mnawapa nyie wenyewe kisha mnawashangaa!...sina wivu nao kabisa lakini hawa jamaa bado wana njia ndefu ya kwenda
Humu humu Jf juzikati nimekuta watu wanamfagilia Vanessa Mdee kama vile mziki kaanza miaka ya 47,mara wapuuzi wengine oooooh kama nisingekuwa nimeoa ningemuoa,mara wengineee oooh ni msichana mrembo vibaya wakati hakuna lolote.Hii Bongo Mungu anisaidie niondoke haifanani na mimi kabsaaaaaaaa:bored:
 
Humu humu Jf juzikati nimekuta watu wanamfagilia Vanessa Mdee kama vile mziki kaanza miaka ya 47,mara wapuuzi wengine oooooh kama nisingekuwa nimeoa ningemuoa,mara wengineee oooh ni msichana mrembo vibaya wakati hakuna lolote.Hii Bongo Mungu anisaidie niondoke haifanani na mimi kabsaaaaaaaa:bored:
tatizo ukiwawleza kweli wanakuona mkama unawaonea wivu, au wanakuuliza wewe umetoa single gani? kama unaelewa umaarufu unaendana na mambo mengi ya msingi, ndiyo maana wenzetu wana ajiri mtu wa kumshauri kibiashara ( pamoja na matumizi ya pesaO) na kimawasiliano katika jamii
 
tatizo ukiwawleza kweli wanakuona mkama unawaonea wivu, au wanakuuliza wewe umetoa single gani? kama unaelewa umaarufu unaendana na mambo mengi ya msingi, ndiyo maana wenzetu wana ajiri mtu wa kumshauri kibiashara ( pamoja na matumizi ya pesaO) na kimawasiliano katika jamii

Kaka Mpelelezi umesema kweli kabisa
 
Kipindi kimerudiwa leo nikakiona kwa muda mfupi...lakini nilichokiona ni kituko. Jokate kaulizwa kama alisha kuwa na mahusiano na Hashim Thabeet akajibu kuwa hajui. Jibu ambalo sikutegemea kabisa kulisikia. Ni sawa na mkubwa mmoja aliulizwa kwanini nchi yako maskini na wakati ina rasilimali kibao akasema hajui. Dah

duh kweli huu umburula,nimesoma nae UDSM course ya Philosophy and DS....kila kitu alikuwa anakijua yeye..kiherehere kikizidi ni majanga.
 
We umeona kwenye mkasi tu kuna siku alikua wanawake live alikua anapayuka ovyo anajibu out of question dah but ndio mana alisoma sociology a.k.a elimu ya mapenzi
 
Humu humu Jf juzikati nimekuta watu wanamfagilia Vanessa Mdee kama vile mziki kaanza miaka ya 47,mara wapuuzi wengine oooooh kama nisingekuwa nimeoa ningemuoa,mara wengineee oooh ni msichana mrembo vibaya wakati hakuna lolote.Hii Bongo Mungu anisaidie niondoke haifanani na mimi kabsaaaaaaaa:bored:

hahahaaa...... Inaboa sana aisee maana tunapenda kusifia vitu visivyokuwa na quality yoyote!
 
Ndo tatizo mtu akishapigwa bomba sana anakuwa adhani kila wakati amekalia na kulichekelea tu!

Mapepe sana yule binti, haendani kabisa na muonekano wake.
 
Back
Top Bottom