Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,371
- 29,937
kwa ujumbe wako nimeweza kuelewa,narudi mkuu namalizia kijikaz flan apa then napost tena,,wewe ndio umefanya narud tena
Welcome baaack brother! Msilianzshe tena jaman story iishe
kwa ujumbe wako nimeweza kuelewa,narudi mkuu namalizia kijikaz flan apa then napost tena,,wewe ndio umefanya narud tena
Brother nimeamua kuachana nayo hii simulizi,watu wanauzi sana utazani wananilipa muda naopoteza kuandika hapa,see you next time..
HABARI;nimeamua kuachana na hii simulizi yangu sababu watu wanaona kama natunga ama naandika kitu ambacho ni hadithi,,siwezi kuwa mchowo kwa wote ila kama unaitaji mwendelezo zaid nicheki inbox ntakutumia usome kwa wakati wako,,niwatakie jion njema
kwa ujumbe wako nimeweza kuelewa,narudi mkuu namalizia kijikaz flan apa then napost tena,,wewe ndio umefanya narud tena
Anayeshughulika nakupiga watu ban ni nani amuweke kizuizin huyu mtu...maana huu ni utoto uliochanganyikana na ujike ndani yake...huwezi taka watu wawe na mawazo kama yako...hii ni story unatoa na siyo majadala kuwa upate majibu...wewe weka story,habar ya mapozi kama unataka upate kuombwa nini sijui...huu ni utoto ulio na ujike ndan yake...
HABARI;nimeamua kuachana na hii simulizi yangu sababu watu wanaona kama natunga ama naandika kitu ambacho ni hadithi,,siwezi kuwa mchowo kwa wote ila kama unaitaji mwendelezo zaid nicheki inbox ntakutumia usome kwa wakati wako,,niwatakie jion njema
hizo tabia za kina mama unazoleta....Acha usengerema boya wewe.
Welcome baaack brother! Msilianzshe tena jaman story iishe
njo tayari
asante mkuu nashindwa kucoment kuhusu story coz imeshatokea... Acha nisubir mwisho ndio niulize maswali yangu
Waweza uliza tu mkuu kwa hapa napofikia,unajua nashindwa kuandika yote kwa wakati mmoja sababu napokaa sana kwenye simu macho yanauma kinoma sijui ni kwann,,na hata apa nimeandika jana nusu then nimekuja kumalizia asubui
usimsemee ngoja tusubiriUnaweza ukasubiria mpaka yesu atakaporudi