tupostie bana nyie mtaniane kwengineFanya kama utani tu ndugu mimi siku hizi nipo diriaz sichekagi kifalafala shauri yako.Hata yule lofa mwenzako anayejiita Mikwara Ya Andunje anichekeshi kwa lolote.
Mtu ambaye anaweza kunichekesha ni @chaliifransisko na Mr Miller pekee nyie wengine malofa tu
Wanume wa Dar na viswali vyao !!!!wewe ni jinsia gani?
mwanaumewewe ni jinsia gani?
nimesharekebisha angalia vizuri mkuu maana nilikuwa naandika huku nina stress za Taifa Stars na kutekwa kwa Moh"
Nilikuwa sijaoa bado lakini nilikuwa katika maandalizi ya kutafuta mchumba.
Ndege tuliyosafiri nayo ilifika Comoro saa kumi jioni."
·
·
·
·
·
"Tangu wakati ule sikuwahi tena kurudi Moroco."
UROJO
Umeshatoka kanisani?Acha story mkui weka vitu
Wewe wa Mbagala,Gongolamboto,tegeta au mwananyamala?Hii ni hadithi au stori kijiwe cha kahawa cha wanaume wa Dar
Halafu unajibu comment yangu huku unajichekesha.Hahaaa kwahiyo una wary wajo special Wa kukuchekesha?
Wasalimie jamaa zako wa mwananyamalandio mimi mwenyewe
wanakusalimia sana wanauliza baada ya kuwapa salam kipi kiendeleeWasalimie jamaa zako wa mwananyamala
Ngojja niende fb kwako nikachekeHalafu unajibu comment yangu huku unajichekesha.
Kuwaga siriaz ipo siku utakuja kutongozwa na wanawake shsuri yako