Mkapa, Vincent na Madaraka: What Else?

sina hakika kama unajua hesabu mkuu mwalim aliekufa 1989 ni yupi? kama nyerere ni 1999 hyo ni mwalim wako wa primary au? tupeni jibu sisi 2tajuaje kama alikufa kwa canser au sumu? cha msingi nkpa atupe jibu sahihi

Mkuu umenifanya nicheke usiku huu, sijui watu wengine huwa wanapost vitu gani humu.
 
Duh yaani leo narushiwa virus kwenye Pc hadi mwenyewe nashika adabu...Jamani nazungumza kipi hadi mnaniwekea cookie ya ku trace na worms na kadhalika..tujadili tu wakubwa hakuna sababu ya kuharibiana Pc..
mkuu nipe na mm hayo maujanja, wanatupia vp hivyo virusi isije ikawa na mm huku wanavileta bila kujua maana naona pc yangu inasinzia sinzia km imekunywa dawa ya usingizi.
 
Well put.
 
mkuu nipe na mm hayo maujanja, wanatupia vp hivyo virusi isije ikawa na mm huku wanavileta bila kujua maana naona pc yangu inasinzia sinzia km imekunywa dawa ya usingizi.
Dah sii umeona sikuwepo kwa karibu masaa manne.. natumia Anti virus tu mkuu lakini kila dakika napata warning..
 
Do you mean CCM primaries? ninavyojua January alipita bila kupingwa.
 
Usdijibu PM za watu humu..... kuna mambo ya ajabu yamenitokea. But nawaambia mnapoteza muda.
Ma virus na malwarebytes..... acheni hizo!!
 
Time is the best teacher, but unfortunately, it kills all of its students. Sasa wewe kwa kutumia uzamani unataka watu wasiseme? Kuna kesi huwa zinakaa hadi miaka 100 lakini watu wanazifufua, nina imani hata VN asingesema lazima tu kuna mtu angekuja kusema. Kesi hasa za mauaji huwa hazina muda maalumu unaweza kuua ukajificha ukafikiri umepona. Hujasikia mifupa imefukuliwa na kuhukumiwa.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli mkapa alipewa undugu wa akina nyerere kwasababu za kisiasa na hivyo undugu wa mkapa kwa akina madaraka hauna nguvu ila vicent atabaki kuwa mwanafamilia hiyo haiwezi kupingwa hata aje nani, vicent ni mtoto wa mwl full stop!
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli mkapa alipewa undugu wa akina nyerere kwasababu za kisiasa na hivyo undugu wa mkapa kwa akina madaraka hauna nguvu ila vicent atabaki kuwa mwanafamilia hiyo haiwezi kupingwa hata aje nani, vicent ni mtoto wa mwl full stop!

Kwani Mkapa aliwaomba awe ndugu yao?
 


hakuna cha familia wala nini!!! mbona jk anatembelea iringa wahehe wanamvalisha kikwete mavazi ya kichifu na kusema kuwa kuanzia leo jk ni miongoni mwa machifu wetu je jk anabalika kutoka UKWERE kwenda UHEHE? Lahasha!!! kwa minajili hiyo Mkapa kapewa title tu na hakuna uhalisia
 

Mkuu, umeniacha nikasimama nikisoma bila kujijua! sasa kama mambo ndiyo haya Tanzania tutapona kweli? Laana hii si hatari?
Lakini dalili za mvua ni mawingu. Mungu huonyesha ishara za vitu lakini binadamu mgumu kuelewa au dhaifu kutafakari. Mtu unashika nchi, meli inageuka juu chini kama ndoo kule Victoria maelfu wanaangamia tunaangalia hivi hivi? Hatukuweza kufanya lolote kuokoa hata binadamu mmoja? Loh!
 

Wakuu, Mkapa ana undugu wa "heshima" katika ukoo wa Nyerere aliotunukiwa mwaka 2000, nadhani ni kwa sababu hii aliweza kuwa na confidence hata akasema hamtambui Vicent...ilhali ndiye aliyemkabidhi pesa za ubani wa msiba wa mdogo wake Mwalimu mwaka 2000....
 
Ha ha ha, mkapa-nyerere, mhhhhhh nyerere-mkapa. Tutawapima dna sasa.

Julius kambarage nyerere
benjamini willium mkapa

labda kama waliwahi kuoa nyumba moja, ila kwa hili- mkapa atafute ndugu wengine, sio nyerere.
 

Mkapa kalikoroga kwa sababu hakutaka kwenda Arusha........
 
Huu ni mwisho wa ccm.Mtaona mengi sana.Maana Mwenyezi mungu ameona sasa hawa jamaa basi.Kwa hiyo watanzania .tupambane watoke hawa jamaa,mafisadi.Waana sera za zamani sana.Wameishiwa nini waseme.
 
Watu wanashangaa hili, Basi niwaambie jingine.. Watu wa Mara kimila anaweza kuoa mke kisha huyo mke akatembea nje ya ndoa na kuzaa mtoto, huyo mtoto bado atakuwa wa mume ktk ndoa japo sii damu yake..
 
I have feelings that former Pres. Mkapa was kinda drunk.. (kwa wale mnaomfahamu kwa karibu mtaelewa)! Kama angekuwa sober asingeweza kuongea kipuuzi kwenye mkutano wa kampeni kama alivyofanya.. He is too experienced to behave like that!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…