MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Mkapa si familia ya Nyerere...
Mkapa ni familia ya Mramba.
Watuu eeeee...Nini? ina maana wame share mke siyo??? Thithemmi
Mkapa si familia ya Nyerere...
Mkapa ni familia ya Mramba.
mbona umeng'ang'ana sana kuwa mkapa ni mwanafamilia ya nyerere ? Na ninani aliyemutia suluhu km si yeye aliyejipendekeza?Ikiwa makabila yenu hayana mila za kula Yamini ya Undugu basi bora mkae kimya kuliko kuchangia vitu msivyovijua. Watu wa Mara na hasa Wazanaki ukilishwa Yamini na kuingizwa ktk familia Unakuwa mwana ndugu. Na ndio maana Wanzagi alisema Mkapa ataitwa ktk FAMILY MEETING kujibu tuhuma hizo.. Angekuwa sii mwana ndugu asingeitwa wala kuhudhulia kikao chochote cha familia.. Jifunzeni mila na tamaduni zetu, mnapotezwa sana na hizi za kizungu lazima kuoa au kuzaliana ndio undugu.
Una hakika, alichosema Mkapa ni kwamba Vicent sio mtoto wa mwalimu? Mbona karudia maneno yake akiomba samahani kwa Mama Maria ya kwamba hakujua kwamba Vicent ni mwana familia?..Jamani mbona mnakuwa mawakili wa vitu msivyovojua ili mradi tu kumsafisha mtu.Tatizo hapa mnachanganya kati ya uzao wa Mwalimu na familia ya mwalimu. Wote tunafahamu kwamba kuwa mwanafamilia si lazima uwe uzao wa baba wa familia. Mtoto wa kuasili (adopted child) anakuwa moja kwa moja mwanafamilia. Na kwa ushahidi uliopo kwenye vyombo vingi vya habari MKapa aliasiliwa na Familia ya Mwalimu (hakuasiliwa na Ukoo wa kina Nyerere) na familia nzima inamchukulia kama ni mtoto wa "nyumbani"
Kwa hiyo MKapa si wa ukoo wa Nyerere lakini ameasiliwa (adopted) na Familia ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania. Na kwa ufahamu wangu alichosema yeye ni kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu (Kwa hili yuko sahihi kabisa) lakini hakuna sehemu amesema Vincent si wa ukoo wa Nyerere!!
Ikiwa makabila yenu hayana mila za kula Yamini ya Undugu basi bora mkae kimya kuliko kuchangia vitu msivyovijua. Watu wa Mara na hasa Wazanaki ukilishwa Yamini na kuingizwa ktk familia Unakuwa mwana ndugu. Na ndio maana Wanzagi alisema Mkapa ataitwa ktk FAMILY MEETING kujibu tuhuma hizo.. Angekuwa sii mwana ndugu asingeitwa wala kuhudhulia kikao chochote cha familia.. Jifunzeni mila na tamaduni zetu, mnapotezwa sana na hizi za kizungu lazima kuoa au kuzaliana ndio undugu.
Duh mkuu wangu umerukia treni kwa mbele...Haya cheza James Bond chini kwa chini urudi nyuma utalipata jibu..Mkuu Mkandara'
Heshima kwako.Hivi chifu wanzagi kasema lini atamwita mkapa,tupe source basi ya habari hiyo ili tuweze kuthibitisha unachokisema.Na huko kula yamini kulifanyika lini na kuna kumbukumbu zozote?
Mkapa si familia ya Nyerere...
Mkapa ni familia ya Mramba.
Tatizo hapa mnachanganya kati ya uzao wa Mwalimu na familia ya mwalimu. Wote tunafahamu kwamba kuwa mwanafamilia si lazima uwe uzao wa baba wa familia. Mtoto wa kuasili (adopted child) anakuwa moja kwa moja mwanafamilia. Na kwa ushahidi uliopo kwenye vyombo vingi vya habari MKapa aliasiliwa na Familia ya Mwalimu (hakuasiliwa na Ukoo wa kina Nyerere) na familia nzima inamchukulia kama ni mtoto wa "nyumbani"
Kwa hiyo MKapa si wa ukoo wa Nyerere lakini ameasiliwa (adopted) na Familia ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania. Na kwa ufahamu wangu alichosema yeye ni kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu (Kwa hili yuko sahihi kabisa) lakini hakuna sehemu amesema Vincent si wa ukoo wa Nyerere!!
Ukoo (clan) na familia (family) ni vitu viwili tofauti kabisa Mkandara. Vincent si mwanafamilia wa Mwalimu lakini wako Ukoo mmoja, lakini Mkapa aliasiliwa (adopted) na familia ya Mwalimu Nyerere!!Una hakika, alichosema Mkapa ni kwamba Vicent sio mtoto wa mwalimu? Mbona karudia maneno yake akiomba samahani kwa Mama Maria ya kwamba hakujua kwamba Vicent ni mwana familia?..Jamani mbona mnakuwa mawakili wa vitu msivyovojua ili mradi tu kumsafisha mtu.
Mkapa an adopted child at 60+?....gimme a break......unajua adoption process ilivyo kisheria?
Familia ya NYERERE hakuna mahala imesemwa familia ya MWALIMU..wala Mkapa hakusema familia ya mwalimu... ati adopted...ubishi wa nini mkuu wangu?Ukoo (clan) na familia (family) ni vitu viwili tofauti kabisa Mkandara. Vincent si mwanafamilia wa Mwalimu lakini wako Ukoo mmoja, lakini Mkapa aliasiliwa (adopted) na familia ya Mwalimu Nyerere!!
Familia ya NYERERE hakuna mahala imesemwa familia ya MWALIMU..wala Mkapa hakusema familia ya mwalimu... ati adopted...ubishi wa nini mkuu wangu?
Nimetumia lugha rahisi ya kueleweka badala kusema "amechaguliwa" na wanafamilia wa Familia ya Mwalimu kuwa mwanafamilia mwenzao nikaamua kuandika "ameasiliwa" jambo ambalo ni sahihi kabisa. Kama inawezekana ku - adopt tabia tukiwa na miaka 60+ inashindikanaje ku-adopt ndugu katika umri huo?
It does according to Kigarama yeye anataka kulazimisha kwamba Mkapa kasema Vicent sio mwana familia wa Mwalimu wakati kinachozungumziwa ni familia ya NYERERE.. Hamuwezi kumsafisha hata kidogo jitihada zote hizi Mkapa mwenyewe (mropokaji) anawajibu na kaomba msamaha kwa kutoelewa, licha ya hivo Madaraka asingeingilia kati....it doesn't matter!!!
Mkuu Mkandara'
Heshima kwako.Hivi chifu wanzagi kasema lini atamwita mkapa,tupe source basi ya habari hiyo ili tuweze kuthibitisha unachokisema.Na huko kula yamini kulifanyika lini na kuna kumbukumbu zozote?
Hivi unajua YAMINI ni nini na maana yake?Nimetumia lugha rahisi ya kueleweka badala kusema "amechaguliwa" na wanafamilia wa Familia ya Mwalimu kuwa mwanafamilia mwenzao nikaamua kuandika "ameasiliwa" jambo ambalo ni sahihi kabisa. Kama inawezekana ku - adopt tabia tukiwa na miaka 60+ inashindikanaje ku-adopt ndugu katika umri huo?