Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,670
- 218,173
Hamna wengine hadi aende huyu mzee aliyetimuliwa kusuluhisha Burundi .Katumwa kutuwakilisha
Hamna wengine hadi aende huyu mzee aliyetimuliwa kusuluhisha Burundi .Katumwa kutuwakilisha
Achana nao Simple minds ndo wapo hivyo. By the way hawafahamu historia ya huyu baba na jinsi alivyoifanya Botswana kuwa nchi ya heshima na tajiri. For your Information huyu mzee aliwachukua wasomi wa TZ waliokuiwa wamechoka na siasa za bongo na ndo wameifanya nchi ile iwe kama ilivyo wakati sisi tumebaki na siasa zetu.
Hoja dhaifu sana ! Kwani Kikwete na Mwinyi siyo wastaafu ?Rais mtaafu
Ni kweli lakini si kwa mnafiki kama Mkapa kuiwakilisha TanzaniaAchana nao Simple minds ndo wapo hivyo. By the way hawafahamu historia ya huyu baba na jinsi alivyoifanya Botswana kuwa nchi ya heshima na tajiri. For your Information huyu mzee aliwachukua wasomi wa TZ waliokuiwa wamechoka na siasa za bongo na ndo wameifanya nchi ile iwe kama ilivyo wakati sisi tumebaki na siasa zetu.
Tatizo si Makonde, tatizo ni cha Pombe sababu Tuna Waziri wa mambo ya nje mzuri tu angeongozana na mzee Salim Ahamed Salim ingekuwa safi. Alitaka Rais mstaafu lakini mbona mzee Mwinyi angefaa tu? Hawa wawili ni ndege wenye ....... malizia msemo.Ni kweli lakini si kwa mnafiki kama Mkapa kuiwakilisha Tanzania
Pinga kila kitu awakosekani mkuuUnaelewa maana ya diplomasia.
Political engineers(HKL, HGK, HGL), social engineers (HKL,HGK,HGL)...kaazi kwelikweli, hii nchi tutafika tuSizonje hata haelewii mambo ya diplomasia!! Kwanza umtajie hilo jina Masire atasema atasema kuna ri nchi huko kusini rimeendereaa rinaitwa masire......haelewi lolote!! Sadam wa Kuwait
Kumbuka kuwa katika utawala wa awamu ya kwanza Mkapa alikuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka mingi na hii ilimfanya kumkua Masire personally.Hoja dhaifu sana ! Kwani Kikwete na Mwinyi siyo wastaafu ?
Huyu kipindi chake kimeisha apumzike .
Nafahamu , lakini pamoja na kutoa sana tongotongo mbona bado Mkapa ana mambo ya kishamba sana ?Kumbuka kuwa katika utawala wa awamu ya kwanza Mkapa alikuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka mingi na hii ilimfanya kumkua Masire personally.
Hivi Mkapa anaenda kama nani ?
Mimi ni member wa Jf , mahali ilipoletwa taarifa hii .Kama Raisi mstaafu!!! Na je wewe umeuliza kama nani?!