Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
pamoja na mapungufu yake yote, Rais mstaafu Ben Mkapa kutokana na kutumia kiswahili fasaha katika hotuba zake, alituachia maneno mengi ameyaingiza katika matumizi ya kila siku ya lugha yetu ya kiswahili ambayo uko nyuma yalikuwa hayatumiki.
Mfano: Miundombinu, mipango endelevu, mipango shirikishi, utandawazi, wigo wa uchumi na mengineyo.
Kilugha, hotuba za muheshimiwa huyu zilikuwa na mvuto sana iwe kiswahili au kiingereza.
Mfano: Miundombinu, mipango endelevu, mipango shirikishi, utandawazi, wigo wa uchumi na mengineyo.
Kilugha, hotuba za muheshimiwa huyu zilikuwa na mvuto sana iwe kiswahili au kiingereza.