Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Leo hii raisi mstaafu,Benjamini Mkapa,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi ktk mahafali ya tatu ya chuo kikuu cha st. Johns hapa Dodoma maeneo ya Kikuyu.Maandaliza yanakwenda vizuri na sherehe inatarajiwa kuanza saa 8 mchana huu.
Hapa wengine cha msingi, ni kutaka tu kusikia leo anakuja na kauli gani kwa wahitimu wa chuo kikuu hiki na wa vyuo vingine kwa ujumla.Bila shaka atakuja na kauli za kisiasa kuhusu soko la ajira kwa wahitimu wa vyuo mbali mbali nchini.
Ngoja tumsubiri atasema nini.
Hapa wengine cha msingi, ni kutaka tu kusikia leo anakuja na kauli gani kwa wahitimu wa chuo kikuu hiki na wa vyuo vingine kwa ujumla.Bila shaka atakuja na kauli za kisiasa kuhusu soko la ajira kwa wahitimu wa vyuo mbali mbali nchini.
Ngoja tumsubiri atasema nini.