VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Rais na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu,Benjamin William Mkapa almaarufu kama 'Mjuzi wa Ukoo' ameombwa kwenda kufunga alichokifungua Arumeru Mashariki.Hatahivyo,Mkapa ameonyesha dhahiri kusita kwenda huko kwa kujibu kwa mkato 'kwasasa nina mambo mengi ya kufanya zaidi ya hilo'. Hapo ni baada ya kufahamishwa na viongozi waandamizi wa CCM jana.Picha inaendelea...