MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
Siku za hapo nyuma tulielezwa kuwa mkuu baada ya kufanya ziara ya gafla na kumtumbua yule mama wa hazina alitoa maagizo madai ya kampuni ya bam yalipwe. Sasa mbona leo kwenye taarifa ya habari saa mbili azam tv, kuna habari kuwa mkandarasi ametoa notisi ya kusitisha ujenzi. Swali la kujiuliza ni kuwa hakukuwa na mawasaliano kati ya mkulu na hazina kama fedha zipo?