andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
Usiniambie hapo ulipo hujui hata ulipata matokeo gani ya kidato chako cha sita. Isije ikawa humu JF tunajibizana na MISUKULE wajemeni!
nimemaliza kidato cha sita miaka ishirini iliyopita nikaondoka Tz. kila siku mambo yanabadilika. nisije nikaweka mahesabu yangu ya enzi zile ikawa siyo hivyo. ndio maana nikauliza nasio kukurupuka na kuweka calculation zangu humu za miaka ishirini iliyopita. kwa mimi kama mtu angeuliza swali kama langu humu, ningejiuliza maswali mengi kwa nini huyu mtu ameuliza hivi. na I m sure ningekuwa na jibu zuri kuliko hilo ulilolitoa hapo juu. Mambo yanabadilika kila siku ndugu yangu.