Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Usikurupuke na kuandika jambo ambalo halipo, hebu weka ushahidi wa pale ambapo nilimeza maneno yangu. Lowassa kwangu mimi bado ni fisadi na hakustahili kukaribishwa CHADEMA.

Hadi wewe!!!
Hata hivo una roho ngumu mkuu, kama ulijikaza ukameza maneno yako!!
 
Unasemaaaaa?
 
Acha ujinga wewe CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowassa na itaendelea kuwepo baada ya Lowassa. Kwanini nihamie vyama ambavyo sikubaliani navyo? Kwa taarifa yako kama ambavyo waliokuja na Lowassa baadhi wameamua kurudi CCM Lowassa naye anaweza kabisa kufanya hivyo. Mimi siungi mkono chama kutokana na mtu A au B bali ni sera za chama. Hivyo kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu. Na siku akiamua kurudi CCM nitakuwa wa kwanza kushangilia.

Alikaribirishwa mkuu na wewe ukiwemo huko huko UKAWA.
Sasa nithibitshe nini wakat jambo linaeleweka!!?
Unless uniambie ulienda CCM au ulihamia ACT
 
Acha ujinga wewe CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowassa na itaendelea kuwepo
Wewe ndio mjinga halafu BAK hakuna ujinga mbaya kama wakujiona uko sahihi, na ndio ujinga ulio nao wewe asee, ndio maana nakwambia umeza maneno yako, Jamaa alipita na kebehi zote ulizo mtolea najua lazma ulimsapot tu na bila aibu tena unaendelea kubisha, bora hata ungekausha ningekuona wa maana, sasa kama hukuona sababu ya kumleta mbona alikuja!!? Na umeiona sababu kuwa yeye anafuata sera za chama!!? Sasa si unajipinga mwenyewe hapo ndio maana nakushangaa
 
Bavicha bana, kwa hiyo ulitaka fisadi awe rais.!!
 

Mbowe anapenda watu kama ninyi ,msiojua mnachotaka
 
Eti, wasema Lowasa bado ni fisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…