Mkaja wa mama

Mkaja wa mama

Toffee

Member
Joined
Apr 21, 2013
Posts
80
Reaction score
25
Mjukuu wangu, sasa naona umekua mtu mzima. Kuna mambo ya muhimu kutambua. Unajua kuna mabadiriko mengi ktk mwili wako, kwa muonekano na mengine sio kwa muonekano wa nje. Kuna kitu nimewahi kusikia hapahapa kijiweni kwenu ingawa awali sikuelewa maana yake.

"TIMU VIBAMIA"
Baada ya kuelewa ilinifanya nirudi nyuma ki mawazo kutafakari nini sababu?
Nimewaza mengi sana nakujiuliza je, inamaana vijana wakiume sikuizi maungo yao ya uzazi, ndo tuseme yanaenda yana pungua? Je vijana wa kike maungo yao ya uzazi ndo tuseme yameongezeka?

Mjukuu wangu, sihitaji unipe jibu lakini hebu tutafakari kidogo kwa pamoja.
Nadhani unafahamu kale ka Peugeot ka Babu yako mpaka leo kapo vizuriii!
Unajua siri yake? Ni matunzo mjukuu wangu.

Aliwahi kuniambia ili Brock iendelee kua standard, inahitaji matunzo.
Vivo hivyo hata wewe nakushauri ujitunze, sio mara piston hii mara ile kwani ikitokea brock imepanuka huhitaji upate saizi yake. Na ikitokea umeolewa na kubahatika kupata ujauzito, kumbuka mara tu baada ya kujifungua utahitaji uangalizi ili ubaki na uhalisia wako.

"USIOGOPE MAJI YA MOTO NA KUFUNGA TUMBO LAKO"
Kwenye kipengele hiki wengi hufeli, na baadae wanakimbilia kulalama kana kwamba kweli kuna timu vibamia! Na akijiona tumbo halijarudi kama awali anakimbilia kuagiza dawa kupitia mitandao yakijamii ili kupunguza tumbo!

Usiwe mbishi mjukuu wangu! Huko kungine utakimbilia kujifungua kwa operation ingawa sikushauri hivyo!

Je, kwa upande wa tumbo, mimba utaibebea wapi?

Acheni ujuwaji
 
Wanadhani maumbo kama ya akina Zari yana-happen tu..hahahaha..wanawake wengi wanapenda kuridhika na ndipo wanapokosea. Mtu unajiachia..tako tako..kitambi kuleee...uso umejaa. Mume mpaka anaona shida kutoka na wewe kwenye shughuli za kiofisi.
 
Wanadhani maumbo kama ya akina Zari yana-happen tu..hahahaha..wanawake wengi wanapenda kuridhika na ndipo wanapokosea. Mtu unajiachia..tako tako..kitambi kuleee...uso umejaa. Mume mpaka anaona shida kutoka na wewe kwenye shughuli za kiofisi.
kwani umeolewa kwa ajili yake au kwa ajili shughuli za kiofisi
 
Mjukuu wangu, sasa naona umekua mtu mzima. Kuna mambo ya muhimu kutambua.
Unajua kuna mabadiriko mengi ktk mwili wako, kwa muonekano na mengine sio kwa muonekano wa nje.
Kuna kitu nimewahi kusikia hapahapa kijiweni kwenu ingawa awali sikuelewa maana yake.
"TIMU VIBAMIA"
Baada ya kuelewa ilinifanya nirudi nyuma ki mawazo kutafakari nini sababu?
Nimewaza mengi sana nakujiuliza je, inamaana vijana wakiume sikuizi maungo yao ya uzazi, ndo tuseme yanaenda yana pungua?
Je vijana wa kike maungo yao ya uzazi ndo tuseme yameongezeka?
Mjukuu wangu, sihitaji unipe jibu lakini hebu tutafakari kidogo kwa pamoja.
Nadhani unafahamu kale ka Peugeot ka Babu yako mpaka leo kapo vizuriii!
Unajua siri yake?
Ni matunzo mjukuu wangu.
Aliwahi kuniambia ili Brock iendelee kua standard, inahitaji matunzo.
Vivo hivyo hata wewe nakushauri ujitunze, sio mara piston hii mara ile kwani ikitokea brock imepanuka huhitaji upate saizi yake. Na ikitokea umeolewa na kubahatika kupata ujauzito, kumbuka mara tu baada ya kujifungua utahitaji uangalizi ili ubaki na uhalisia wako.
"USIOGOPE MAJI YA MOTO NA KUFUNGA TUMBO LAKO"
Kwenye kipengele hiki wengi hufeli, na baadae wanakimbilia kulalama kana kwamba kweli kuna timu vibamia!
Na akijiona tumbo halijarudi kama awali anakimbilia kuagiza dawa kupitia mitandao yakijamii ili kupunguza tumbo!
Usiwe mbishi mjukuu wangu!
Huko kungine utakimbilia kujifungua kwa operation
ingawa sikushauri hivyo!
Je, kwa upande wa tumbo, mimba utaibebea wapi?
Acheni ujuwaj

Watakuelewa wale wa kundi lako tu,ambao Bibi,Shangazi na Wazee wamama walikuwa wakishamuona Bint yao anaenda kwenye mabadiliko ya kimwili, anaanza kupewa shule ya mabadiliko ya mwili wake kivitendo kuanzia hapo.
Lakini wale wadada wa Instagram, Tweeter, Facebook, na sijui Ubuyu, ambao wakifika Miaka 8 wanapelekwa Nairobi, London, Johanesburg, ambao kwao kukutana na Mama,Bibi, Shangazi kwa Mwaka mara moja au wasikutane kabisa, sijui Kama watakuelewa.
Na ndio maana siku hizi si jambo la ajabu kumuona mdada kataharuki mtaani baada Rangi ya klabu ya Simba kuchafua hali ya hewa kwenye Suruali yake Nyeupe aliyotinga siku hiyo akiwa katika Mishe mishe zake za kila siku.
Umewaletea somo zuri sana, lakini ni somo ambalo watakuelewa ambao walishaanza kueleweshwa toka kitambo Kama ulivyoeleweshwa na Bibi yako, lakini wale wenzangu na mimi itakuwa sawa tu na kuchota ndoo moja ya Maji kutoka mto Ruvu ukaenda imwaga pale Kivukoni ukadhani utayabadilisha ladha Maji ya Bahari.
 
Daah, umenikumbusha mbali sana jamani. Mashangazi zangu Mungu awalinde, mlifanya kazi moja muhimu sana ambayo sitakaa niisahau Sijui kama siku hizi yapogo tena hayo ya kukalishwa na kufundwa maana ni mengi kuyasemea ya kizazi cha sasa
 
Kuna mengi sana watoto wa kike wanayakosa kuhusu namna sahihi ya kuishi kama mwanamke kwasababu ya kuiga umagharibi kuliko pitiliza.......
 
Watakuelewa wale wa kundi lako tu,ambao Bibi,Shangazi na Wazee wamama walikuwa wakishamuona Bint yao anaenda kwenye mabadiliko ya kimwili, anaanza kupewa shule ya mabadiliko ya mwili wake kivitendo kuanzia hapo.
Lakini wale wadada wa Instagram, Tweeter, Facebook, na sijui Ubuyu, ambao wakifika Miaka 8 wanapelekwa Nairobi, London, Johanesburg, ambao kwao kukutana na Mama,Bibi, Shangazi kwa Mwaka mara moja au wasikutane kabisa, sijui Kama watakuelewa.
Na ndio maana siku hizi si j
ambo la ajabu kumuona mdada kataharuki mtaani baada Rangi ya klabu ya Simba kuchafua hali ya hewa kwenye Suruali yake Nyeupe aliyotinga siku hiyo akiwa katika Mishe mishe zake za kila siku.
Umewaletea somo zuri sana, lakini ni somo ambalo watakuelewa ambao walishaanza kueleweshwa toka kitambo Kama ulivyoeleweshwa na Bibi yako, lakini wale wenzangu na mimi itakuwa sawa tu na kuchota ndoo moja ya Maji kutoka mto Ruvu ukaenda imwaga pale Kivukoni ukadhani utayabadilisha ladha Maji ya Bahari.
Labda kama ni kujitoa ufahamu, nje na hapo lzma mtu aelewe tuu!
Au ntakua naelewa tofauti?
Hebu fikiria hao Mama zetu huko nyuma, unakuta Mmama ana watoto hadi kumi lakini tumbo lipo kawaida.
Mwenzangumie umeshusha injini mara moja tu mtumbo kule,
ulsha anza kutafuta dawa kwenye mitandao ya kijamii kupunguza tumbo, ukishusha wa pili je!
Si utakua mtaalamu tiba mbadala?
Huko chini nako ukikutana na yuleyule fulani wako eti teari unaona kawa timu kibamia! kweli?
Kwa mtindo huo, ukishusha wa pili si utamwita timu ki Pilipili?
"Shubaamiti"
 
Ile kukanda maji ya moto inapunguza tumbo?
Ndio!
Pamoja nakufunga tumbo, ndio maana baadhi ya makabila kuna kipengele cha MKAJA WA MAMA.
Nikutokana na hilo zoezi lakufunga tumbo!
Usiniulize kwa kwa hawa ambao hawafungi iitweje!
ha ha ha!
 
Ndio!
Pamoja nakufunga tumbo, ndio maana baadhi ya makabila kuna kipengele cha MKAJA WA MAMA.
Nikutokana na hilo zoezi lakufunga tumbo!
Usiniulize kwa kwa hawa ambao hawafungi iitweje!
ha ha ha!
Okay thank you
 
Back
Top Bottom