walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Watanzania walio wengi vipato vyao vidogo sana ivyo upelekea kumudu kununua mkaa wa 500 mpaka wa 1000 ambao utumika mpaka jioni, sasa uku kwenye gesi shida pale inapoisha ndio ugumu unapoanzia pesa ndani huna lazima utanunua tu mkaa hili maisha yaendelee. Ila sasa kwenye hizi gesi kuna mitungi midogo na mikubwa shida kwenye hii mikubwa sasa ikitokea gesi imeisha na ndani huna hata mia itabidi uuweke pembeni sijui mpk baada ya mwezi mmoja au miwili hata mitano ushuuda ninao wapo wengi sana mitungi mikubwa imewashinda ushaur kama unaona kipato chako cha shida nunua kamtungi kadogo tu maisha yaendelee
