Mjumbe wa halmashauri kuu, awaomba Kikwete, Rostam wasimjibu Polepole

Mjumbe wa halmashauri kuu, awaomba Kikwete, Rostam wasimjibu Polepole

mahojiano ya mmiliki wa taifa gas tunayapata youtube kweli?
 
02 September 2025

CHONDE CHONDE POLEPOLE ASIJIBIWE ASEMA KIGOGO WA CCM

KIMEUMANA! CCM WACHARUKA SONGWE, WAMJIBU VIKALI POLEPOLE, "NI MNAFIKI, ANALETA TAHARUKI NCHINI"​


View: https://m.youtube.com/watch?v=NqHXXRL3-bI
Baada ya mazungumzo ya Humphrey Polepole kuwa gumzo na kufuatiliwa kuliko kampeni za CCM kumnadi mgombea wao wa urais, Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa CCM asema Humphrey Polepole apuuzwe

Majibu yenyewe wanayo basi?
 
Maji kuvuka mto hayapimwi Kwa ugoko

Pole yao
 
Mayowe yasiyokoma yanasikika kote katika safu za wanachama wa chama dola kongwe kufuatia bandika bandua ya mazungumzo ya Humphrey Polepole na waTanzania.
 
Maadui watatu wakuu wa hii nchi ni umasikini, Elimu na Kikwete tukimtokemeza adui mmoja kati ya hao kuna uwezekano mkubwa wa kupiga hatua hasa adui kikwete
 
Back
Top Bottom