McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi.
Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September mwaka huu 2025 nyumbani kwa mwananchi huyo anayeishi ujiji.
Baada ya tukio hilo mwananchi huyo alifika kituo cha polisi na kuripoti tukio hilo na kisha kupatiwa RB NUMBER kwaajili ya kufuatilia kesi hiyo.
Niwakumbushe tu Wakuu, kuwa media hii inamilikuwa na Baba Levo ambaye anachuana na Zitto kwenye nafasi ya Ubunge katika jimbo hilo la Kigoga Mjini.
Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi.
Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September mwaka huu 2025 nyumbani kwa mwananchi huyo anayeishi ujiji.
Baada ya tukio hilo mwananchi huyo alifika kituo cha polisi na kuripoti tukio hilo na kisha kupatiwa RB NUMBER kwaajili ya kufuatilia kesi hiyo.
Niwakumbushe tu Wakuu, kuwa media hii inamilikuwa na Baba Levo ambaye anachuana na Zitto kwenye nafasi ya Ubunge katika jimbo hilo la Kigoga Mjini.