Safi sana. Elimu haina mwisho..Hiyo sio degree yake ya kwanza, sema kaamua kupiga tena shule ya uzeeni kunoa ubongo
View attachment 1637184Katimiza ndoto yake
View attachment 1637158
Vickie Ambwene Joab Kakuyu Makani amehitimu masomo yake katika chuo cha Tumaini kampas ya Dar Es Salaam akiwa na miaka 74.
Huyu ni mke wa hayati Bob Makani na pia mama yake Grace Makani Tarimo, Tume Anthony Makani, Dr. Julie Makani Simba na Richard Kakuyu Makani.
Kwani elimu huwa iinatumika wapi?Sijui hio elimu ataitumia wapi
Unadhani amesomea njaa kama sisi? Yeye amesoma kwa kupenda tu wala hajasukumwa na njaa.Sijui hio elimu ataitumia wapi
Hongera yakeHongera kwake kwa kutimiza ndoto zake