Mjue nyoka mwenye sumu kali Barani Afrika

Mjue nyoka mwenye sumu kali Barani Afrika

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,392
Reaction score
7,863
KOBOKO (BLACK MAMBA) Nyoka pekee mwenye spidi ya kasi kuliko nyoka wote duniani, ni nyoka wa kwanza kuwa na sumu kali barani Afrika na ni nyoka wa pili mrefu mwenye sumu kali baada ya King Cobra anayepatikana India.

Koboko anakuwa na kufika hadi urefu wa futi 14 na ana rangi ya kijivu na kahawia.

Sumu yake inau wezo wa kuua watu 20 kwa kuuma mara moja, koboko ni nyoka anapenda kuishi kwenye vichaka, vilima vyenye mawe mengi, mbugani na porini.

Ukikuta koboko wanapigana usiwafukuze utakuwa mtu moja mwenye bahati sana, kwa sababu mmoja akiumia mwingine anaenda kumtafutia dawa na kumletea mwenzake, ukimfatilia huyo anakwenda kufata dawa utakuwa umejua dawa ya sumu ya nyoka, inasemekana anachukua dawa aina tatu ila chunga sana asije akakuona unamfatilia atakukimbiza hadi akuume.

Kumuua nyoka huyu sio mchezo kwa sababu ni mwenye sumu kali sana na ni ambaye mwendo wake ni wa spidi ya kasi, ukifanikiwa kumuua hakikisha umemchimbia shimo refu na kumfukia kwa sababu mifupa yake ni Sumu ikikuchoma huponi.

FB_IMG_1626129497900.jpg
 
anaweza kusimama robo 3 ya mwili wake!na akakuangalia usoni..

sumu yake aina ya neurotoxin yenye protin nyingi.
akikuuma sumu yake inaenda kushut down nervous system ambayo hupelekea kuparalyze kisha mfumo wa hewa kushindwa kufanya kazi na kufa ndani nusu saa au lisaa!

ni nyoka mpole sana na hujiepusha na wanyama wakubwa kumzidi ikiwemo binadamu...
sababu hata akikuuma hawezi kukumeza!kwann akukimbize!

ukimuona porini kwa bahati mbaya we shika njia yako na yeye ataenda yake sababu hapendi ugomvi usiomuhusu
 
anaweza kusimama robo 3 ya mwili wake!na akakuangalia usoni..

sumu yake aina ya neurotoxin yenye protin nyingi.
akikuuma sumu yake inaenda kushut down nervous system ambayo hupelekea kuparalyze kisha mfumo wa hewa kushindwa kufanya kazi na kufa ndani nusu saa au lisaa!

ni nyoka mpole sana na hujiepusha na wanyama wakubwa kumzidi ikiwemo binadamu...
sababu hata akikuuma hawezi kukumeza!kwann akukimbize!

ukimuona porini kwa bahati mbaya we shika njia yako na yeye ataenda yake sababu hapendi ugomvi usiomuhusu
Ukitaka kujua mziki wake jifanye kama unataka kumdhuru....

Amin amin nakuambia chini ya nusu saa utakuwa umeshakuwa historia. Nyoka ana kisirani na roho ya kikatili kama Hittler.

Usithubutu kumfanyia masihara huyu nyoka laanakum kabisa...
 
KOBOKO(BLACK MAMBA) Nyoka pekee mwenye spidi ya Kasi kuliko Nyoka wote duniani, Ni Nyoka wa kwanza kuwa na Sumu kali barani Afrika na ni Nyoka wa pili mrefu mwenye Sumu kali baada ya King cobra anayepatikana India. Koboko anakuwa na kufika Hadi urefu wa futi 14 na ana rangi ya kijivu na kahawia.

Sumu yake inauwezo wa kuua watu 20 kwa kuuma mara moja, koboko ni Nyoka anapenda kuishi kwenye vichaka, vilima vyenye mawe mengi, mbugani na porini.

Ukikuta koboko wanapigana usiwafukuze utakuwa mtu moja mwenye bahati sana,kwasababu moja akiumia mwingine anaenda kumtafutia dawa na kumletea mwenzake, ukimfatilia huyo anakwenda kufata dawa utakuwa umejua dawa ya Sumu ya nyoka,inasemekana anachukua dawa aina tatu Ila chunga Sana asije akakuona unamfatilia atakukimbiza hadi akuume.

Kumuua Nyoka huyu sio mchezo kwasababu ni Nyoka mwenye Sumu kali Sana na ni Nyoka ambaye mwendo wake ni wa spidi ya kasi, ukifanikiwa kumuua hakikisha umemchimbia shimo refu na kumfukia kwasababu mifupa yake ni Sumu ukikuchoma huponi.

View attachment 1851195
Haka kathread kanajirudia sana hapa JF..
 
Stori nyingi kuhusu nyoka zimetiwa chumvi sana.

Na nyingi zaidi ni UONGO.

Ingia YouTube, andika neno hili; Dingo Dinkelman, halafu fuatilia video zake huyo jamaa...
Utangundua tumelishwa matango pori sana!

Jamaa ni jirani yetu wa South Afrika tu hapo!
 
Ukitaka kujua mziki wake jifanye kama unataka kumdhuru....

Amin amin nakuambia chini ya nusu saa utakuwa umeshakuwa historia. Nyoka ana kisirani na roho ya kikatili kama Hittler.

Usithubutu kumfanyia masihara huyu nyoka laanakum kabisa...
Vice versa,...nyoka ni kiumbe humble na mpole na mwoga kuliko viumbe vingne vyote..na ndomana anaish kwa kujificha sana akiogopa kifo..huwez mwona kizembe kama unavyoona mende au kuku...ni sabab anajua akionekana tu ni anauwa..na ndomana muda wote huwa anajificha jificha maskin ya mungu.
 
Vice versa,...nyoka ni kiumbe humble na mpole na mwoga kuliko viumbe vingne vyote..na ndomana anaish kwa kujificha sana akiogopa kifo..huwez mwona kizembe kama unavyoona mende au kuku...ni sabab anajua akionekana tu ni anauwa..na ndomana muda wote huwa anajificha jificha maskin ya mungu.
Yawezekana uko sahihi. Labda huyu koboko sio nyoka. Atakuwa ndo yule kiumbe alimdanganya Hawa akampa tunda Adam...
 
KOBOKO(BLACK MAMBA) Nyoka pekee mwenye spidi ya Kasi kuliko Nyoka wote duniani, Ni Nyoka wa kwanza kuwa na Sumu kali barani Afrika na ni Nyoka wa pili mrefu mwenye Sumu kali baada ya King cobra anayepatikana India. Koboko anakuwa na kufika Hadi urefu wa futi 14 na ana rangi ya kijivu na kahawia.

Sumu yake inauwezo wa kuua watu 20 kwa kuuma mara moja, koboko ni Nyoka anapenda kuishi kwenye vichaka, vilima vyenye mawe mengi, mbugani na porini.

Ukikuta koboko wanapigana usiwafukuze utakuwa mtu moja mwenye bahati sana,kwasababu moja akiumia mwingine anaenda kumtafutia dawa na kumletea mwenzake, ukimfatilia huyo anakwenda kufata dawa utakuwa umejua dawa ya Sumu ya nyoka,inasemekana anachukua dawa aina tatu Ila chunga Sana asije akakuona unamfatilia atakukimbiza hadi akuume.

Kumuua Nyoka huyu sio mchezo kwasababu ni Nyoka mwenye Sumu kali Sana na ni Nyoka ambaye mwendo wake ni wa spidi ya kasi, ukifanikiwa kumuua hakikisha umemchimbia shimo refu na kumfukia kwasababu mifupa yake ni Sumu ukikuchoma huponi.

View attachment 1851195
Askari wa JWTZ anaua uyo nyoka vizuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua mziki wake jifanye kama unataka kumdhuru....

Amin amin nakuambia chini ya nusu saa utakuwa umeshakuwa historia. Nyoka ana kisirani na roho ya kikatili kama Hittler.

Usithubutu kumfanyia masihara huyu nyoka laanakum kabisa...
Labda hajakutana na mjeda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Nat Geo Wild, inayopatikana kwenye Dstv (Snakes in the City) jamaa anaitwa Simon, pamoja na mchumba wake wanawakamata sana hawa nyoka koboko na yeye mwenyewe anasema huwa hawaogopi Koboko kama anavyowaogopa Mozambiqan spitting cobra.
 
Back
Top Bottom