Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,392
- 7,863
KOBOKO (BLACK MAMBA) Nyoka pekee mwenye spidi ya kasi kuliko nyoka wote duniani, ni nyoka wa kwanza kuwa na sumu kali barani Afrika na ni nyoka wa pili mrefu mwenye sumu kali baada ya King Cobra anayepatikana India.
Koboko anakuwa na kufika hadi urefu wa futi 14 na ana rangi ya kijivu na kahawia.
Sumu yake inau wezo wa kuua watu 20 kwa kuuma mara moja, koboko ni nyoka anapenda kuishi kwenye vichaka, vilima vyenye mawe mengi, mbugani na porini.
Ukikuta koboko wanapigana usiwafukuze utakuwa mtu moja mwenye bahati sana, kwa sababu mmoja akiumia mwingine anaenda kumtafutia dawa na kumletea mwenzake, ukimfatilia huyo anakwenda kufata dawa utakuwa umejua dawa ya sumu ya nyoka, inasemekana anachukua dawa aina tatu ila chunga sana asije akakuona unamfatilia atakukimbiza hadi akuume.
Kumuua nyoka huyu sio mchezo kwa sababu ni mwenye sumu kali sana na ni ambaye mwendo wake ni wa spidi ya kasi, ukifanikiwa kumuua hakikisha umemchimbia shimo refu na kumfukia kwa sababu mifupa yake ni Sumu ikikuchoma huponi.
Koboko anakuwa na kufika hadi urefu wa futi 14 na ana rangi ya kijivu na kahawia.
Sumu yake inau wezo wa kuua watu 20 kwa kuuma mara moja, koboko ni nyoka anapenda kuishi kwenye vichaka, vilima vyenye mawe mengi, mbugani na porini.
Ukikuta koboko wanapigana usiwafukuze utakuwa mtu moja mwenye bahati sana, kwa sababu mmoja akiumia mwingine anaenda kumtafutia dawa na kumletea mwenzake, ukimfatilia huyo anakwenda kufata dawa utakuwa umejua dawa ya sumu ya nyoka, inasemekana anachukua dawa aina tatu ila chunga sana asije akakuona unamfatilia atakukimbiza hadi akuume.
Kumuua nyoka huyu sio mchezo kwa sababu ni mwenye sumu kali sana na ni ambaye mwendo wake ni wa spidi ya kasi, ukifanikiwa kumuua hakikisha umemchimbia shimo refu na kumfukia kwa sababu mifupa yake ni Sumu ikikuchoma huponi.
