sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,556
- 41,828
hahahah dubai kila mtu anaenda nipeleke paris this time...
Paris kule kuna wale IS.....
Huogopi
hahahah dubai kila mtu anaenda nipeleke paris this time...
washaondoka buana..acha kunitisha wewe andaa mpunga...nikale bataaparis kule kuna wale is.....
Huogopi
washaondoka buana..acha kunitisha wewe andaa mpunga...nikale bataa
heheee...kibo 10 asipaone hapa...ok.....
Mwaka mpya tutakuwa pamoja...paris
heheee...kibo 10 asipaone hapa...
ndo maana nakupendaga..mchepuko usio na madhara.. Heheeaha haaaa...
Kweli kabisa mana akiona nitakukosaaa.....
ndo maana nakupendaga..mchepuko usio na madhara.. Hehee
Huwa simuelewi mwanaume anaemsifia mwanamke iwe kwa zuri au baya hata nukta 1. Wanawake ni dhaifu % zote ndo maana umeanza na ANABADILIKA. Never trusst woman
hizo mimba wananunua mlimani city??
kizuri kula na mwenzako bibi wee unataka awewako peke yako umemuumba huyoo??
Kuwa mwanamke si kusamehe mwanaume akichepuka.
Na ndo wanafanyaga makusudi wakijua watasamehewa.
Me mwanaume akichepuka atembee kwa magoti mwenge hadi posta ndo nijue katubu.
Otherwise watu wanachepukaga makusudi kabisa hakuna cha shetani wala nini.
Ujinga mtupu! Acheni hoja zakitoto hapa JF. Lets be objective jamani, hizi hisia juu ya wanawake hazina tija. Ni hawahawa wanatoa mimba, wanatupa watoto chooni etc.
Kila kiumbe kina umuhimu wake jua hilo.